1 Beresosɛm 2 – AKCB & NEN

Akuapem Twi Contemporary Bible

1 Beresosɛm 2:1-55

Israel Awo Ntoatoaso

1Israel mmabarima yɛ Ruben, Simeon, Lewi, Yuda, Isakar, Sebulon, 2Dan, Yosef, Benyamin, Naftali, Gad ne Aser.

Yuda Asefo

3Yuda ne Kanaannibea Bat-Sua woo mmabarima baasa.

Na wɔn din de Er, Onan ne Sela.

Nanso na abakan Er no yɛ omumɔyɛfo nti, Awurade kum no.

4Akyiri no, Yuda ne nʼase kunafo Tamar woo nta. Na wɔn din de Peres ne Serah.

Enti Yuda woo mmabarima baanum.

5Na Peres mmabarima din de

Hesron ne Hamul.

6Serah mmabarima din de

Simri, Etan, Heman, Kalkol ne Dara; wɔyɛ baanum.

7Akar a ɔyɛ Karmi babarima ne Serah asefo no mu baako nam fa a ɔfaa asade a wogyaw maa Awurade no so, de amanehunu baa Israelfo so.

8Na Etan babarima ne

Asaria.

Efi Yuda Nana Barima Hesron So Kosi Dawid So

9Hesron mmabarima din de Yerahmeel, Ram ne Kaleb.

10Ram yɛ Aminadab agya.

Aminadab yɛ Nahson a na ɔyɛ Yuda ntuanoni no agya.

11Nahson yɛ Salma agya.

Na Salma nso yɛ Boas agya.

12Boas yɛ Obed agya.

Obed yɛ Yisai agya.

13Yisai abakan yɛ Eliab nea ɔto so abien yɛ Abinadab na nea ɔto so abiɛsa yɛ Simea. 14Na nea ɔto so anan yɛ Netanel na Radai to so anum. 15Ne babarima a ɔto so asia no din de Osem na Dawid na na ɔto so ason. 16Na wɔn nuabeanom din de Seruia ne Abigail.

Na Seruia woo mmabarima baasa a wɔn din yɛ Abisai, Yoab ne Asahel.

17Abigail waree ɔbarima bi a ne din de Yeter a ɔyɛ Ismaelni na wɔwoo ɔbabarima a wɔtoo no din Amasa.

Hesron Babarima Kaleb Asefo

18Na Hesron babarima Kaleb wɔ yerenom baanu a wɔne Asuba ne Yeriot. Na Asuba mmabarima din de Yeser, Sobab ne Ardon.

19Asuba wu akyi no, Kaleb waree Efrata. Wɔwoo ɔbabarima too no din Hur.

20Hur woo Uri. Uri nso woo Besaleel.

21Bere a Hesron dii mfe aduosia no, ɔwaree Gilead nuabea a na ɔyɛ Makir babea. Wɔwoo ɔbabarima too no din Segub.

22Segub woo Yair a odii nkurow aduonu abiɛsa so wɔ Gilead asase so no.

23(Akyiri no, Gesur ne Aram gyee Yair nkurow, san gyee Kenat ne ne nkuraa aduosia a atwa ho ahyia no nyinaa.)

Na eyinom nyinaa yɛ Makir a ɔyɛ Gilead agya no asefo.

24Hesron wuu wɔ kurow Kaleb-Efrata mu akyi no, ne yere Abia woo ɔbabarima a wɔtoo no din Asur (Tekoa agya).

Hesron Ba Yerahmeel Asefo

25Hesron abakan Yerahmeel mmabarima a ɔwoo wɔn no din yɛ

Ram (abakan), Buna, Oren, Osem ne Ahiya. 26Na Yerahmeel wɔ ɔyere a ɔto so abien a wɔfrɛ no Atara, na ɔno na ɔwoo Onam.

27Ram a ɔyɛ Yerahmeel abakan no mmabarima yɛ

Maas, Yamin ne Eker.

28Onam mmabarima yɛ

Samai ne Yada.

Na Samai mmabarima yɛ

Nadab ne Abisur. 29Na Abisur ne ne yere Abihail mmabarima yɛ Ahban ne Molid.

30Na Nadab mmabarima yɛ

Seled ne Apaim. Seled wui a wanwo mma;

31na Apaim de, ɔwoo ɔbabarima a wɔfrɛ no Yisi.

Na Yisi woo Sesan. Na Sesan nyaa nʼaseni bi a wɔfrɛ no Ahlai.

32Na Samai nuabarima Yada woo

Yeter ne Yonatan. Na Yeter wui a wanwo ba biara,

33nanso Yonatan woo mmabarima baanu a na wɔfrɛ wɔn

Pelet ne Sasa.

Na eyinom nyinaa yɛ Yerahmeel asefo.

34Na Sesan annya mmabarima, onyaa mmabea.

Na ɔwɔ Misraimni somfo bi a ne din de Yarha. 35Sesan de ne mmabea no mu baako maa Yarha aware na wɔwoo ɔbabarima too no din Atai.

36Atai woo Natan

na Natan woo Sabad.

37Sabad woo Efial.

Efial woo Obed.

38Obed woo Yehu

na Yehu woo Asaria.

39Asaria woo Heles.

Heles woo Eleasa.

40Eleasa woo Sisemai

na Sisemai woo Salum.

41Salum woo Yekamia,

na Yekamia woo Elisama.

Hesron Babarima Kaleb Asefo

42Yerahmeel nua Kaleb

babarima piesie ne Mesa a ɔyɛ Sif agya.

Na Kaleb babarima a ɔto so abien din de Maresa a ɔyɛ Hebron agya.

43Na Hebron mmabarima yɛ

Kora, Tapua, Rekem ne Sema.

44Na Sema woo Raham.

Raham woo Yorkeam.

Na Rekem woo Samai.

45Na Samai woo Maon.

Maon woo Bet-Sur.

46Na Kaleb mpena Efa woo

Haran, Mosa ne Gases.

Na Haran woo Gases.

47Na Yahdai mmabarima yɛ

Regem, Yotam, Gesan, Pelet, Efa ne Saaf.

48Kaleb mpena foforo bi a wɔfrɛ no Maaka woo

Seber ne Tirhana.

49Ɔsan woo Saaf a na ɔyɛ Madmana agya

ne Sewa a na ɔyɛ Makbena ne Gibea agya.

Na Kaleb woo ɔbabea a ne din de Aksa.

50Eyinom nyinaa yɛ Kaleb asefo.

Kaleb Babarima Hur Asefo

Kaleb yere Efrata abakan Hur mmabarima yɛ

Sobal a ɔyɛ Kiriat-Yearim agya 51Salma a ɔyɛ Betlehem agya ne Haref a ɔyɛ Bet-Gader agya.

52Sobal a ɔyɛ Kiriat-Yearim agya no mmabarima yɛ

Haroe a ne fa yɛ Manahatini 53na ne fa a aka no fi Kiriat-Yearim mmusua mu. Sobal asefo a wɔka ho ne Yitrifo, Putifo, Sumatifo ne Misraimfo, wɔn mu na Sorafo ne Estaolfo fi.

54Salma asefo yɛ

Betlehem, Netofafo, Atrot-Bet-Yoabfo, Manahatafo fa bi, Sorifo, 55ne akyerɛwfo mmusua a wɔte Yabes no, Tirafo, Simeafo ne Sukatfo. Eyinom nyinaa yɛ Kenifo, Hamat a ɔyɛ Rekab agya no asefo.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 2:1-55

Wana Wa Israeli

12:1 Mwa 32:28; 35:10; Kut 32:13; Hes 1:5-15; 13:4-15; Mwa 29:32; 1Fal 18:31Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli:

Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zabuloni, 2Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.

Yuda

Hadi Wana Wa Hesroni

32:3 Mwa 29:35; 38:2; Hes 26:19Wana wa Yuda walikuwa:

Eri, Onani na Shela. Hawa watatu walizaliwa kwake na mkewe Mkanaani, binti wa Shua. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu machoni pa Bwana, kwa hiyo Bwana alimuua. 42:4 Mwa 38:11-30; 11:31; 38:29Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.

52:5 Mwa 46:12; Hes 26:21; Rut 4:18Wana wa Peresi walikuwa:

Hesroni na Hamuli.

62:6 1Fal 4:31Wana wa Zera walikuwa:

Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Dara. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano.

72:7 Yos 7:1; 6:18; 1Nya 4:1Mwana wa Karmi alikuwa:

Akari,2:7 Akari maana yake Taabisha; pia anaitwa Akani (Yos 6:1-26; 22:20). ambaye alileta taabu kwa Waisraeli kwa kukiuka onyo la kutokuchukua vitu vilivyokuwa vimewekwa wakfu.

8Mwana wa Ethani alikuwa:

Azariya.

92:9 Hes 26:21Wana wa Hesroni walikuwa:

Yerameeli, Ramu na Kalebu.

Kuanzia Ramu Mwana Wa Hesroni

102:10 Lk 3:32-33; Kut 6:23; Hes 1:7; Rut 4:19Ramu alimzaa

Aminadabu, na Aminadabu akamzaa Nashoni, kiongozi wa kabila la Yuda. 11Nashoni akamzaa Salmoni, Salmoni akamzaa Boazi, 122:12 Rut 2:1; 4:17Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.

132:13 Rut 4:17; Isa 16:6Yese akawazaa

Eliabu mwanawe wa kwanza; wa pili Abinadabu, wa tatu Shimea,2:13 Au: Shima, maana yake Sifa njema (pia 1Sam 16:9; 17:13). 14wa nne Nethaneli, wa tano Radai, 15wa sita Osemu, na wa saba Daudi. 162:16 1Sam 26:6; 2Sam 2:18; 2:13Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na Asaheli. 172:17 2Sam 17:25Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.

Kalebu Mwana Wa Hesroni

18Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni. 192:19 1Nya 2:42, 50Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri. 202:20 Kut 32:2; 35:30; 2Nya 1:5Huri akamzaa Uri, Uri akamzaa Bezaleli.

212:21 Hes 21:1Hatimaye, Hesroni akakutana kimwili na binti wa Makiri babaye Gileadi (ambaye alimwoa alipokuwa na umri wa miaka sitini), naye akamzaa Segubu. 22Segubu akamzaa Yairi, ambaye alitawala miji ishirini na mitatu katika Gileadi. 232:23 Hes 32:41; 32:42; Yos 13:30; Kum 3:14(Lakini Geshuri na Aramu wakateka miji ya Hawoth-Yairi, pamoja na Kenathi na viunga vyake; jumla ilikuwa miji sitini.) Wote hawa walikuwa wazao wa Makiri babaye Gileadi.

242:24 1Nya 4:5; 2Nya 11:6; 20:20; 2Sam 14:2; Neh 3:5; Yer 6:1Baada ya Hesroni kufa huko Efrathi, Abiya mjane wa Hesroni akamzalia Ashuru, aliye baba wa Tekoa.

Yerameeli Mwana Wa Hesroni

25Wana wa Yerameeli mzaliwa wa kwanza wa Hesroni walikuwa:

Ramu mzaliwa wake wa kwanza, Buna, Oreni, Osemu na Ahiya. 26Yerameeli alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara, aliyekuwa mama yake Onamu.

27Wana wa Ramu mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli walikuwa:

Maasi, Yamini na Ekeri.

28Wana wa Onamu walikuwa:

Shamai na Yada.

Wana wa Shamai walikuwa:

Nadabu na Abishuri.

29Mke wa Abishuri aliitwa Abihaili, ambaye alimzalia Abani na Molidi.

30Wana wa Nadabu walikuwa

Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa bila kuzaa watoto.

31Apaimu akamzaa:

Ishi ambaye alikuwa baba wa Sheshani.

Sheshani akamzaa Alai.

32Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa:

Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa bila kuzaa watoto.

33Wana wa Yonathani walikuwa:

Pelethi na Zaza.

Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yerameeli.

34Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila wasichana tu.

Alikuwa na mtumishi Mmisri aliyeitwa Yarha. 35Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.

362:36 1Nya 11:41Atai akamzaa Nathani,

Nathani akamzaa Zabadi,

37Zabadi akamzaa Eflali,

Eflali akamzaa Obedi,

38Obedi akamzaa Yehu,

Yehu akamzaa Azaria,

39Azaria akamzaa Helesi,

Helesi akamzaa Eleasa,

40Eleasa akamzaa Sismai,

Sismai akamzaa Shalumu,

41Shalumu akamzaa Yekamia,

naye Yekamia akamzaa Elishama.

Koo Za Kalebu

42Wana wa Kalebu nduguye Yerameeli walikuwa:

Mesha mzaliwa wake wa kwanza alimzaa Zifu, naye mwanawe Maresha akamzaa Hebroni.

43Hebroni alikuwa na wana wanne:

Kora, Tapua, Rekemu na Shema. 44Shema alikuwa baba yake Rahamu na Rahamu alikuwa baba wa Yorkeamu na Rekemu alikuwa baba wa Shamai. 452:45 Yos 15:55; 15:58Shamai akamzaa Maoni na Maoni akamzaa Beth-Suri.

46Efa, suria wa Kalebu alikuwa mamaye Harani, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa Gazezi.

47Wana wa Yadai walikuwa:

Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa na Shaafu.

48Maaka suria wa Kalebu alikuwa mamaye Sheberi na Tirhana. 492:49 Yos 15:31; 15:16Pia Maaka akamzaa Shaafu babaye Madmana, na Sheva babaye Makbena na Gibea. Kalebu alikuwa na binti jina lake Aksa. 502:50 1Nya 4:4; 2:19Hawa ndio waliokuwa wazao wa Kalebu.

Wana wa Huri, mzaliwa mkuu wao wa Efrathi, walikuwa:

Shobali akamzaa Kiriath-Yearimu, 51Salma akamzaa Bethlehemu, naye Harefu akamzaa Beth-Gaderi.

52Wazao wa Shobali, baba yake Kiriath-Yearimu, walikuwa:

Haroe, nusu ya wakazi wa mji wa Menuhothi, 532:53 2Sam 23:38pamoja na koo za Kiriath-Yearimu ambazo ni: Waithiri, Waputhi, Washumathi na Wamishrai. Kutokana na watu hawa walizaliwa Wasorathi na Waeshtaoli.

542:54 Ezr 2:22; Neh 12:28Wazao wa Salma walikuwa:

Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, nusu ya Wamanahathi, Wasori, 552:55 Mwa 15:19; Amu 1:16; Yos 19:35; 2Fal 10:15, 23; Yer 35:2-19; Amu 4:11; Hes 24:21-22pamoja na koo za waandishi zilizoishi katika mji wa Yabesi: yaani Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Hawa ndio Wakeni waliotokana na Hamathi, baba wa nyumba ya Rekabu.