Бытие 8 – NRT & NEN

New Russian Translation

Бытие 8:1-22

Прекращение потопа

1Но Бог вспомнил о Ное и о всех диких животных и скоте, которые были с ним в ковчеге, и Он послал ветер на землю, и воды стали убывать. 2Источники бездны и окна неба закрылись, и дождь перестал литься с неба. 3Вода медленно уходила с земли, а через 150 дней она убыла сильно. 4На семнадцатый день седьмого месяца ковчег остановился на Араратских горах. 5Воды продолжали убывать до десятого месяца, и в первый день десятого месяца стали видны вершины гор.

6Через 40 дней Ной открыл окно, которое он сделал в ковчеге, 7и выпустил ворона, и тот улетал и прилетал обратно до тех пор, пока вода на земле не высохла. 8Потом Ной выпустил голубя, чтобы увидеть, сошла ли вода с поверхности земли, 9но голубь не нашел сухого места, чтобы опуститься, и вернулся к Ною в ковчег, потому что вода покрывала всю землю. Ной протянул руку и взял голубя обратно к себе в ковчег. 10Спустя семь дней он опять выпустил голубя из ковчега. 11Когда вечером голубь вернулся, в клюве у него был свежесорванный оливковый лист. Тогда Ной понял, что вода сошла с земли. 12Он подождал еще семь дней и снова выпустил голубя, и на этот раз голубь не вернулся.

13К первому дню первого месяца, когда Ною был 601 год, земля высохла от воды. Ной поднял крышу ковчега, выглянул и увидел, что земля сухая. 14К двадцать седьмому дню второго месяца земля стала совершенно сухой.

15Тогда Бог сказал Ною: 16«Выйди из ковчега ты, и твоя жена, и твои сыновья, и их жены. 17Выведи наружу все живые существа, которые с тобой, — птиц, зверей и всех пресмыкающихся, чтобы они могли расти числом, и плодиться, и размножаться на земле».

18И Ной вышел из ковчега вместе со своими сыновьями, женой и женами своих сыновей. 19Все звери, и все пресмыкающиеся, и все птицы — всё, что движется по земле, — вышли из ковчега, один вид за другим.

20Ной построил Господу жертвенник и принес на нем жертву всесожжения из всех видов чистых животных и птиц. 21Господь почувствовал приятный запах и сказал в сердце Своем: «Никогда впредь не стану Я проклинать землю из-за человека, хотя8:21 Или: проклинать землю из-за человека, потому что. всякое помышление его сердца порочно с детства. И никогда впредь не уничтожу всех живых существ, как в этот раз.

22Пока существует земля,

не прекратятся сев и жатва,

холод и зной,

лето и зима,

день и ночь».

Kiswahili Contemporary Version

Mwanzo 8:1-22

Mwisho Wa Gharika

18:1 Mwa 9:15; 19:29; 21:1; 30:22; Kut 2:23-24; Ay 12:15; 14:13; Rut 4:13; Nah 1:4; 1Sam 1:11, 19; 2Fal 20:3; 1Nya 16:15; Neh 1:8; 5:19; 13:11-31; Hes 10:9; Za 66:6; 105:42; 106:4; Lk 1:54, 72; Kut 14:21; Yos 2:10; 3:16; Isa 11:15; 44:27Mungu akamkumbuka Noa na wanyama wote wa porini na wa kufugwa waliokuwa naye ndani ya safina, akatuma upepo ukavuma katika dunia, nayo maji yakaondoka. 28:2 Mwa 7:4, 11Zile chemchemi zilizo chini sana ya ardhi pamoja na malango ya mafuriko ya mbinguni yakawa yamefungwa nayo mvua ikawa imekoma kunyesha kutoka angani. 38:3 Mwa 7:24Maji yakaendelea kupungua taratibu katika nchi. Kunako mwisho wa siku ya 150, maji yalikuwa yamepungua, 48:4 Mwa 7:11, 20; 2Fal 19:37; Yer 51:27katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua katika milima ya Ararati. 5Maji yakaendelea kupungua hadi mwezi wa kumi, na siku ya kwanza ya mwezi wa kumi, vilele vya milima vikaonekana.

6Baada ya siku arobaini Noa akafungua dirisha alilokuwa amelifanya katika safina 78:7 Amu 11:15; Kum 14:14; 1Fal 17:4-6; Ay 38:41; Za 147:9; Mit 30:17; Isa 34:11; Lk 12:24na akamtoa kunguru, akawa akiruka kwenda na kurudi mpaka maji yalipokwisha kukauka juu ya nchi. 88:8 Ay 30:31; Za 55:6; 74:19; Wim 2:12-14; Isa 38:14; 59:11; 60:8; Yer 48:28; Eze 7:16; Nah 2:7; Hos 7:11; 11:11; Mt 3:16; 10:16; Yn 1:32Kisha akamtoa hua ili aone kama maji yameondoka juu ya uso wa ardhi. 9Lakini hua hakupata mahali pa kutua kwa kuwa maji yalienea juu ya uso wa dunia yote, kwa hiyo akarudi kwa Noa ndani ya safina. Noa akanyoosha mkono akamchukua yule hua akamrudisha ndani ya safina. 10Noa akangojea siku saba zaidi kisha akamtoa tena hua kutoka safina. 11Wakati hua aliporejea kwa Noa jioni, alikuwa amechukua katika mdomo wake jani bichi la mzeituni, lililochumwa wakati ule ule! Ndipo Noa akajua ya kuwa maji yameondoka juu ya uso wa dunia. 12Akangojea siku saba zaidi na akamtuma tena hua, lakini wakati huu hua hakurudi tena kwa Noa.

138:13 Mwa 5:32Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka 601, wa kuishi kwake Noa, maji yalikuwa yamekauka duniani. Kisha Noa akafungua mlango wa safina akaona ya kuwa uso wa ardhi ulikuwa umekauka. 148:14 Mwa 7:11Katika siku ya ishirini na saba ya mwezi wa pili dunia ilikuwa imekauka kabisa.

15Ndipo Mungu akamwambia Noa, 168:16 Mwa 7:13“Toka ndani ya safina, wewe na mkeo na wanao na wake zao. 178:17 Mwa 1:22Utoe nje kila aina ya kiumbe hai aliye pamoja nawe: Ndege, wanyama na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi, ili wakazae, na kuongezeka na kuijaza tena dunia.”

188:18 1Pet 3:20; 2Pet 2:5Kwa hiyo Noa akatoka nje pamoja na mkewe, wanawe na wake zao. 19Wanyama wote na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi na ndege wote, kila kitu kiendacho juu ya nchi, aina moja baada ya nyingine vikatoka katika safina, kila aina ya kiumbe, kimoja baada ya kingine.

Noa Atoa Dhabihu

208:20 Mwa 12:7-8; 13:18; 22:9; 26:25; 33:20; 35:7; 7:8; 22:2-13; Kut 17:15; 24:4; 10:25; 20:24; 40:29; Ay 42:8; Law 1:3; 4:29; 6:8-13; Hes 6:11; Amu 6:26; 11:31; 1Sam 20:29Kisha Noa akamjengea Bwana madhabahu, akachukua baadhi ya wale wanyama na ndege wote walio safi, akatoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu. 218:21 Kut 29:18, 25; Law 1:9, 13; 2:9; 4:31; Hes 15:3, 7; 2Kor 2:15; Mwa 3:17; 6:5; 9:11-15; Yer 17:9; Za 51:5; Mt 15:19; Rum 1:21; Yer 44:11; Isa 54:9Bwana akasikia harufu nzuri ya kupendeza, naye akasema moyoni mwake, “Kamwe sitailaani tena ardhi kwa sababu ya mwanadamu, hata ingawa kila mwelekeo wa moyo wake ni mbaya tangu ujana. Kamwe sitaangamiza tena viumbe hai vyote kama nilivyofanya.

228:22 Yos 3:15; Za 67:6; 74:17; Yer 5:24; Zek 14:8; Mwa 1:14“Kwa muda dunia idumupo,

wakati wa kupanda na wa kuvuna,

wakati wa baridi na wa joto,

wakati wa kiangazi na wa masika,

usiku na mchana

kamwe havitakoma.”