Psalms 120 – NIV & NEN

New International Version

Psalms 120:1-7

Psalm 120

A song of ascents.

1I call on the Lord in my distress,

and he answers me.

2Save me, Lord,

from lying lips

and from deceitful tongues.

3What will he do to you,

and what more besides,

you deceitful tongue?

4He will punish you with a warrior’s sharp arrows,

with burning coals of the broom bush.

5Woe to me that I dwell in Meshek,

that I live among the tents of Kedar!

6Too long have I lived

among those who hate peace.

7I am for peace;

but when I speak, they are for war.

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 120:1-7

Zaburi 120

Kuomba Msaada

Wimbo wa kwenda juu.

1120:1 2Sam 22:7; Za 18:1; 118:5Katika dhiki yangu namwita Bwana,

naye hunijibu.

2120:2 Za 31:18; 52:4Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo

na ndimi za udanganyifu.

3Atakufanyia nini,

au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?

4120:4 Kum 32:23Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa,

kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.

5120:5 Mwa 25:13; 2:10; Yer 2:10; 49:28; 1Sam 25:1Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki,

kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!

6Nimeishi muda mrefu mno

miongoni mwa wale wanaochukia amani.

7Mimi ni mtu wa amani;

lakini ninaposema, wao wanataka vita.