Zaburi 97
Mungu Mtawala Mkuu
197:1 Kut 15:18; Za 93:1; 96:10; 99:1; 96:11; Isa 24:23; 52:7Bwana anatawala, nchi na ifurahi,
visiwa vyote vishangilie.
297:2 Ay 22:14; Kut 19:9; Za 89:14Mawingu na giza nene vinamzunguka,
haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake cha enzi.
397:3 Dan 7:10; Hab 3:5; Isa 9:19; Yoe 1:19; 2:3; Hab 3:5; 2Sam 22:9Moto hutangulia mbele zake
na huteketeza adui zake pande zote.
497:4 Ay 36:30; 2Sam 22:8; Za 18:7; 104:32; Ufu 6:12Umeme wake wa radi humulika dunia,
nchi huona na kutetemeka.
597:5 Za 46:2, 6; 22:14; Yos 3:11Milima huyeyuka kama nta mbele za Bwana,
mbele za Bwana wa dunia yote.
697:6 Za 50:6; 98:2; 19:1Mbingu zinatangaza haki yake,
na mataifa yote huona utukufu wake.
797:7 Kut 12:12; 20:4; Isa 37:18, 19; 42:17; Law 26:1; Kum 5:8; Yer 10:14; Ebr 1:6; Za 16:4Wote waabuduo sanamu waaibishwa,
wale wajisifiao sanamu:
mwabuduni yeye, enyi miungu yote!
897:8 Za 9:2; 48:11Sayuni husikia na kushangilia,
vijiji vya Yuda vinafurahi
kwa sababu ya hukumu zako, Ee Bwana.
997:9 Ay 34:29; Efe 1:21; Za 7:8; 47:9Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, ndiwe Uliye Juu Sana kuliko dunia yote;
umetukuka sana juu ya miungu yote.
1097:10 Ay 28:28; Mit 2:8; Za 145:20; 31:23; 101:3; 37:28, 40; 34:7; Yer 15:21; 20:13; Dan 3:28; 6:16; 1Sam 2:9; Rum 12:9; 7:15; Amo 5:15Wale wanaompenda Bwana na wauchukie uovu,
kwa maana yeye hulinda maisha ya waaminifu wake
na kuwaokoa kutoka mkononi mwa mwovu.
1197:11 Ay 22:28; Za 11:5; 7:10Nuru huangaza wenye haki
na furaha kwa watu wanyofu wa moyo.
1297:12 Ay 22:19; Flp 4:4; Kut 3:15; Isa 41:16; Za 99:5; 104:34Furahini katika Bwana, ninyi mlio wenye haki,
lisifuni jina lake takatifu.
第97篇
上帝是至高的統治者
1耶和華掌權,大地要歡欣!
眾海島要快樂!
2密雲和黑暗環繞在祂周圍,
公義和公平是祂寶座的根基。
3烈火做祂的先鋒,
燒滅祂周圍的仇敵。
4祂的閃電照亮世界,
大地看見就顫抖。
5在天下之主耶和華面前,
群山如蠟熔化。
6諸天述說祂的公義,
萬民瞻仰祂的榮耀。
7願一切祭拜偶像、
以神像誇口的人都蒙羞。
所有的神明啊,
你們都要向耶和華下拜。
8耶和華啊,聽見你的審判,
錫安就歡喜,
猶大的城邑就快樂。
9因為你耶和華是普世的至高者,
淩駕於萬神之上。
10愛耶和華的人都要憎恨罪惡,
因為祂保護敬虔人的生命,
從惡人手中解救他們。
11光照亮義人,
心底正直的人有喜樂。
12你們義人要以耶和華為樂,
稱謝祂的聖名。