Zaburi 96
Mungu Mfalme Mkuu
(1 Nyakati 16:23-33)
196:1 Za 30:4; 33:3; 40:4; 98:1; 144:9; Isa 42:10; Ufu 5:9Mwimbieni Bwana wimbo mpya;
mwimbieni Bwana dunia yote.
296:2 Isa 42:10; Ufu 5:9; Za 68:4; 27:1; 71:15Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake;
tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.
396:3 Za 8:1; 71:17; 15:3Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,
matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.
496:4 Za 48:1; 89:7; 95:3; Kum 28:58; 1Nya 16:25Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;
yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.
596:5 Mwa 1:1; Isa 42:5; 41:24; Law 19:4; Yer 10:11; 2Nya 2:12; Hab 2:18-20; Mdo 19:26; 1Kor 8:4, 5Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,
lakini Bwana aliziumba mbingu.
696:6 Za 21:5; 29:1; 89:17Fahari na enzi viko mbele yake;
nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.
796:7 Za 29:1; 22:27Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa,
mpeni Bwana utukufu na nguvu.
896:8 Za 45:12; 51:19; 72:10; 65:4; 84:10; 92:13; 100:4Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;
leteni sadaka na mje katika nyua zake.
996:9 Kut 15:14; 23:25; Yon 1:9; Za 93:5; 114:7; 33:8Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake;
dunia yote na itetemeke mbele zake.
1096:10 Za 97:1; 24:2; 78:69; 119:90; 93:1; 58:11; 67:4; 98:9Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.”
Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa;
atawahukumu watu kwa uadilifu.
1196:11 Ufu 12:12; Za 97:1; Isa 49:13Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;
bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;
1296:12 Isa 44:23; 55:12; Eze 17:24; Za 65:13mashamba na yashangilie,
pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.
Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;
1396:13 Ufu 19:11; Za 7:11; Mdo 17:31; Za 86:11itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja,
anakuja kuihukumu dunia.
Ataihukumu dunia kwa haki,
na mataifa katika kweli yake.
Песнь 96
1Вечный царствует!
Пусть ликует земля
и возрадуются многочисленные острова!
2Тучи и тьма вокруг Него;
на праведности и правосудии основан Его престол.
3Пламя идёт перед Ним
и сжигает Его врагов вокруг.
4Молнии Его освещают мир,
земля видит и трепещет.
5Холмы тают, подобно воску, при виде Вечного,
при виде Владыки всей земли.
6Небеса возвещают о Его праведности,
и все народы видят Его славу.
7Устыдитесь, все, кто служит истуканам,
хвалится идолами.
Поклонитесь Ему, все боги!
8Сион услышал и обрадовался,
города Иудеи возликовали
о Твоих судах, Вечный.
9Ведь Ты, Вечный, превыше всей земли,
превознесён высоко над всеми богами.
10Кто любит Вечного, пусть ненавидит зло!
Он хранит души верных Ему
и избавляет их от рук нечестивых.
11Свет сияет на праведника,
и радость у правых сердцем.
12Радуйтесь, праведные, о Вечном,
возносите хвалу, вспоминая о Его святости.