Zaburi 91 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 91:1-16

Zaburi 91

Mungu Mlinzi Wetu

191:1 Kut 33:2; Isa 49:2; Mao 4:20; Za 63:7Yeye akaaye mahali pa salama pake Yeye Aliye Juu Sana,

atadumu katika uvuli wake Mwenyezi.91:1 Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.

291:2 Za 9:9; 91:9; 2Sam 22:2, 3Nitasema kumhusu Bwana, “Yeye ndiye kimbilio langu na ngome yangu,

Mungu wangu, ambaye ninamtumaini.”

391:3 Za 124:7; Mit 6:5; 1Fal 8:37Hakika yeye ataniokoa na mtego wa mwindaji,

na maradhi ya kuambukiza ya kuua.

491:4 Za 61:4; 17:8; 35:2; Rum 2:12; Kum 32:10; Isa 27:3; 31:5; Zek 12:8Atakufunika kwa manyoya yake,

chini ya mbawa zake utapata kimbilio,

uaminifu wake utakuwa ngao na kinga yako.

591:5 Ay 5:21; 5:19; Mit 3:23; Isa 43:2Hutaogopa vitisho vya usiku,

wala mshale urukao mchana,

6wala maradhi ya kuambukiza

yanayonyemelea gizani,

wala tauni iharibuyo adhuhuri.

7Ijapo watu elfu wataangukia kando yako,

kumi elfu mkono wako wa kuume,

lakini haitakukaribia wewe.

891:8 Za 37:34; 58:10; Mal 1:5Utatazama tu kwa macho yako

na kuona adhabu ya waovu.

9Kama ukimfanya Aliye Juu Sana kuwa makao yako:

naam, Bwana ambaye ni kimbilio langu,

1091:10 Mit 1:33; 12:21; 2The 3:3; 2Pet 2:9basi hakuna madhara yatakayokupata wewe,

hakuna maafa yataikaribia hema yako.

1191:11 Mwa 32:1; Ebr 1:14; Lk 4:10; Za 34:7; Mt 4:6Kwa kuwa atawaagiza malaika zake kwa ajili yako,

wakulinde katika njia zako zote.

1291:12 Lk 1:10, 11; Ay 5:23; Mt 4:6; Za 37:24Mikononi mwao watakuinua,

ili usijikwae mguu wako kwenye jiwe.

1391:13 Dan 6:22; Lk 10:19Utawakanyaga simba na nyoka wakali,

simba mkubwa na nyoka utawaponda kwa miguu.

1491:14 1Sam 2:30; Yn 12:26; Ay 22:27; Za 18:3; Yer 33:3; Zek 13:9; Ebr 5:7Bwana asema, “Kwa kuwa ananipenda, nitamwokoa;

nitamlinda, kwa kuwa analikiri Jina langu.

1591:15 Za 43:2; 1Sam 2:30Ataniita, nami nitamjibu;

nitakuwa pamoja naye katika taabu,

nitamwokoa na kumheshimu.

1691:16 Kum 6:2; Za 21:4; 50:23Kwa siku nyingi nitamshibisha

na kumwonyesha wokovu wangu.”

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

詩篇 91:1-16

第91篇

上帝是我們的保護者

1安居在至高者隱秘處的人,

必蒙全能者的蔭庇。

2我要對耶和華說:

「你是我的避難所,我的堡壘,

是我所信靠的上帝。」

3祂必救你脫離獵人的網羅和致命的瘟疫。

4祂必用祂的羽毛遮蓋你,

你必在祂翅膀下蒙庇護,

祂的信實是你的盾牌和壁壘。

5你必不懼怕黑夜的恐怖,

或白日的飛箭,

6或黑暗中橫行的瘟疫,

或正午肆虐的災難。

7儘管千人仆倒在你左邊,

萬人仆倒在你右邊,

你必安然無恙。

8你必親眼目睹惡人受懲罰。

9因為你以耶和華為避難所,

以至高者為居所,

10禍患不會臨到你身上,

災難不會靠近你的帳篷。

11因為祂必吩咐祂的天使隨時隨地保護你。

12他們會用手托住你,

不讓你的腳碰在石頭上。

13你必將獅子和毒蛇踩在腳下,

你必踐踏猛獅和巨蛇。

14耶和華說:「因為他愛慕我,我必拯救他;

因為他信靠我的名,我必保護他。

15他求告我,我就答應他;

他遭遇患難,我必與他同在。

我必解救他,賜他尊貴的地位。

16我必賜他長壽,

並讓他看見我的拯救之恩。」