Zaburi 87
Sifa Za Yerusalemu
Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo.
187:1 Za 48:1Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
287:2 Za 2:6Bwana anayapenda malango ya Sayuni
kuliko makao yote ya Yakobo.
387:3 Za 46:4; Isa 60:1Mambo matukufu yanasemwa juu yako,
ee mji wa Mungu:
487:4 Ay 9:13; 2Sam 8:1; Za 83:7; 45:12; Yoe 3:4; Isa 19:25“Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu87:4 Rahabu hapa ni jina la ushairi la Misri. na Babeli
miongoni mwa wale wanaonikubali mimi:
Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi,87:4 Kushi hapa ina maana ya Naili ya juu, yaani Ethiopia.
nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’ ”
587:5 Eze 48:35; Mt 16:18Kuhusu Sayuni itasemwa hivi,
“Huyu na yule walizaliwa humo,
naye Aliye Juu Sana mwenyewe
atamwimarisha.”
687:6 Isa 4:3; Kut 32:32; Yer 3:19; Eze 13:9; Za 22:30; 69:28; Mal 3:16Bwana ataandika katika orodha ya mataifa:
“Huyu alizaliwa Sayuni.”
787:7 Za 149:3; 36:9Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba,
“Chemchemi zangu zote ziko kwako.”