Zaburi 86 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 86:1-17

Zaburi 86

Kuomba Msaada

Maombi ya Daudi.

186:1 Za 17:6Ee Bwana, sikia na unijibu,

kwa maana mimi ni maskini na mhitaji.

286:2 Za 25:2; 31:14Linda maisha yangu, kwa maana nimejiweka kwako,

wewe ni Mungu wangu,

mwokoe mtumishi wako anayekutumaini.

386:3 Za 4:1; 9:13; 57:1; 88:9Ee Bwana, nihurumie mimi,

kwa maana ninakuita mchana kutwa.

486:4 Za 46:5; 143:8Mpe mtumishi wako furaha,

kwa kuwa kwako wewe, Ee Bwana,

ninainua nafsi yangu.

586:5 Yoe 2:13; Yon 4:2; Neh 9:17; Za 103:8; 145:8; 130:7, 8; Kut 34:6Ee Bwana, wewe ni mwema na mwenye kusamehe,

umejaa upendo kwa wote wakuitao.

686:6 Za 5:2; 17:1Ee Bwana, sikia maombi yangu,

sikiliza kilio changu unihurumie.

786:7 Za 3:4; 4:3; 27:5; 50:15; 94:13; 80:18; 91:15; Isa 30:19; 58:9; 65:24; Ay 22:27; Zek 13:9; Hab 3:16Katika siku ya shida yangu nitakuita,

kwa maana wewe utanijibu.

886:8 Ay 21:22; Za 18:31; 1Sam 2:2; Kut 8:10; 15:11; Kum 3:24; 2Sam 7:22Ee Bwana, katikati ya miungu hakuna kama wewe,

hakuna matendo ya kulinganishwa na yako.

986:9 Za 65:2; 66:4; Isa 19:21; 27:13; 49:7; Zek 8:20-22; 14:6; Ufu 15:4; Isa 43:7; 44:23; Za 95:6, 7Ee Bwana, mataifa yote uliyoyafanya

yatakuja na kuabudu mbele zako;

wataliletea utukufu jina lako.

1086:10 2Sam 7:22; Kut 3:20; Kum 6:4; Za 48:1; 71:17; 72:18; 1Kor 8:4; Isa 37:16; 43:10; Mk 12:29; Efe 4:6Kwa maana wewe ni mkuu, na unafanya mambo ya ajabu;

wewe peke yako ndiwe Mungu.

1186:11 Kut 33:13; 1Sam 12:23; Za 25:5; Eze 11:19; Za 26:3; Kum 6:24; Yer 24:7; 32:39; 1Kor 7:35Ee Bwana, nifundishe njia yako,

nami nitakwenda katika kweli yako;

nipe moyo usiositasita,

ili niweze kulicha jina lako.

1286:12 Za 9:1Ee Bwana wangu, nitakusifu kwa moyo wote;

nitaliadhimisha jina lako milele.

1386:13 Za 56:13; 116:8; 34:4; 49:15; 16:10Kwa maana upendo wako ni mkuu kwangu;

umeniokoa kutoka kwenye vilindi vya kaburi.86:13 Yaani Kuzimu.

1486:14 Za 54:3Ee Mungu, wenye majivuno wananishambulia;

kundi la watu wakatili linatafuta uhai wangu:

watu wasiokuheshimu wewe.

1586:15 Za 116:5; 103:8; 111:4; 145:8; 51:1; Hes 14:18; Za 86:5; Kut 34:6; Yoe 2:13; Neh 9:17Lakini wewe, Ee Bwana, ni Mungu wa huruma na neema,

si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo na uaminifu.

1686:16 Za 6:4; 9:13; 18:1; 116:16Nigeukie na unihurumie;

mpe mtumishi wako nguvu zako,

mwokoe mwana wa mtumishi wako wa kike.86:16 Au: mwokoe mwanao mwaminifu.

1786:17 Kut 3:12; Mt 24:3; Yn 2:11Nipe ishara ya wema wako,

ili adui zangu waione nao waaibishwe,

kwa kuwa wewe, Ee Bwana,

umenisaidia na kunifariji.

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

诗篇 86:1-17

第86篇

祈求上帝施恩

大卫的祈祷。

1耶和华啊,我贫穷困苦,

求你垂听我的祷告,应允我。

2求你保护我的性命,

因为我忠于你。

你是我的上帝,我信靠你,

求你拯救你的仆人。

3主啊,我终日向你呼求,

求你怜悯我。

4主啊,我的心仰望你,

求你赐仆人欢乐。

5主啊,你良善仁慈,乐意赦免,

以丰盛的慈爱待一切求告你的人。

6耶和华啊,求你听我的祷告,

垂听我的恳求。

7患难之时,我要向你呼求,

因为你必应允我。

8主啊,众神明中没有一位能与你相比,

你的作为无与伦比。

9主啊,你创造的万国都要来敬拜你,

将荣耀归给你的名。

10因为你伟大无比,行事奇妙,

唯有你是上帝。

11耶和华啊,求你教我行你的道,

我要行在你的真理中,

求你使我一心敬畏你的名。

12主,我的上帝啊,

我要全心赞美你,

我要永远将荣耀归给你的名。

13因为你向我大施慈爱,

你从阴间深处救了我。

14上帝啊,狂傲的人起来攻击我,

一群凶残之徒要杀害我,

他们不把你放在眼里。

15但主啊,

你是有怜悯和恩典的上帝,

不轻易发怒,充满慈爱,

无比信实。

16求你垂顾我,怜悯我,

赐力量给你的仆人,

拯救你婢女的儿子。

17求你赐下恩待我的凭据,

使那些恨我的人见状就抱愧蒙羞,

因为你耶和华帮助我、安慰我。