Zaburi 83 – NEN & NAV

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 83:1-18

Zaburi 83

Maombi Kwa Ajili Ya Kushindwa Kwa Adui Wa Israeli

Wimbo. Zaburi ya Asafu.

183:1 Za 28:1; 35:22; Isa 42:14; 57:11; 62:1; 64:12Ee Mungu, usinyamaze kimya,

usinyamaze, Ee Mungu, usitulie.

283:2 Za 2:1; Isa 17:12; Amu 8:28Tazama watesi wako wanafanya fujo,

jinsi adui zako wanavyoinua vichwa vyao.

383:3 Kut 1:10; Za 31:13; 17:14Kwa hila, wanafanya shauri dhidi ya watu wako,

wanafanya shauri baya dhidi ya wale unaowapenda.

483:4 Es 3:6; Yer 33:24; 11:19; 2Sam 10:6; 2Nya 20:1Wanasema, “Njooni, tuwaangamize kama taifa,

ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”

583:5 Za 2:2Kwa nia moja wanapanga mashauri mabaya pamoja,

wanafanya muungano dhidi yako,

683:6 Za 137:7; Isa 34:5; Yer 49:7; Amo 1:11; 2Nya 20:1; Mwa 25:16mahema ya Edomu na Waishmaeli,

ya Wamoabu na Wahagari,

783:7 Yos 13:5; Mwa 19:38; 14:7; Kut 17:14; 15:14; Isa 23:3; Eze 27:3Gebali,83:7 Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti). Amoni na Amaleki,

Ufilisti, pamoja na watu wa Tiro.

883:8 Mwa 10:11; Kum 2:9Hata Ashuru wameungana nao

kuwapa nguvu wazao wa Loti.

983:9 Hes 31:7, 8; Isa 9:4; Yos 11:1; Amu 4:2, 15, 23, 24; 7:1, 2, 3; Mwa 25:2Uwatendee kama vile ulivyowatendea Midiani,

na kama vile ulivyowatendea Sisera na Yabini

hapo kijito cha Kishoni,

1083:10 1Sam 28:7; 2Fal 9:37; Isa 5:25; Yer 8:2; 9:22; 16:4; 25:33; Sef 1:17ambao waliangamia huko Endori

na wakawa kama takataka juu ya nchi.

1183:11 Amu 7:25; 8:5Wafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu,

watawala wao kama Zeba na Salmuna,

1283:12 2Nya 20:11; Eze 35:10ambao walisema, “Na tumiliki nchi

ya malisho ya Mungu.”

1383:13 Ay 13:25Ee Mungu wangu, wapeperushe kama mavumbi ya kisulisuli,

kama makapi yapeperushwayo na upepo.

1483:14 Kum 32:22; Isa 9:13Kama vile moto uteketezavyo msitu

au mwali wa moto unavyounguza milima,

1583:15 Za 50:3; Ay 9:17wafuatilie kwa tufani yako

na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.

1683:16 Za 34:5; 109:29; 132:18Funika nyuso zao kwa aibu

ili watu walitafute jina lako, Ee Bwana.

1783:17 2Fal 19:26; Za 35:4Wao na waaibishwe na kufadhaishwa milele,

na waangamie kwa aibu.

1883:18 Za 68:4; 7:8; 18:13Hebu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Bwana,

kwamba wewe peke yako ndiwe Uliye Juu Sana ya dunia yote.

New Arabic Version

مزمور 83:1-18

الْمَزْمُورُ الثَّالِثُ وَالثَّمَانُونَ

تَسْبِيحَةٌ: مَزْمُورٌ لآسَافَ

1يَا اللهُ لَا تَصْمُتْ. لَا تَسْكُتْ وَلَا تَهْدَأْ يَا اللهُ. 2هُوَذا أَعْدَاؤُكَ ثَائِرُونَ، وَمُبْغِضُوكَ يَشْمَخُونَ بِرُؤُوسِهِمْ. 3يَتَآمَرُونَ بِالْمَكْرِ عَلَى شَعْبِكَ، وَيَكِيدُونَ لِلإِيقَاعِ بِمَنْ تَحْمِيهِمْ. 4يَقُولُونَ: «هَلُمَّ نَسْتَأْصِلُهُمْ مِنْ بَيْنِ الأُمَمِ، فَلَا يُذْكَرَ اسْمُ إِسْرَائِيلَ فِيمَا بَعْدُ».

5فَإِنَّهُمْ قَدْ تَآمَرُوا مَعاً بِقَلْبٍ وَاحِدٍ، وَعَقَدُوا حِلْفاً ضِدَّكَ. 6عَشَائِرُ أَدُومَ وَبَنُو إِسْمَاعِيلَ، نَسْلُ مُوآبَ وَبَنُو هَاجَرَ. 7جِبَالُ وَعَمُّونُ وَعَمَالِيقُ، الفَلَسْطِينِيُّونَ وَأَهْلُ صُورَ، 8وَقَوْمُ أَشُّورَ أَيْضاً انْضَمُّوا إِلَيْهِمْ، صَارُوا عَوْناً لِبَنِي لُوطٍ.

9افْعَلْ بِهِمْ كَمَا فَعَلْتَ بِمِدْيَانَ وَسِيسَرَا وَيَابِينَ فِي نَهْرِ قِيشُونَ. 10بَادُوا فِي عَيْنِ دُورٍ، وصَارُوا زِبْلاً للأَرْضِ. 11اجْعَلْ مَصِيرَ أَشْرَافِهِمْ كَمَصِيرِ غُرَابٍ وَذِئْبٍ، وَجَمِيعَ أُمَرَائِهِمْ مِثْلَ زَبَحَ وَصَلْمُنَّاعَ، 12الَّذِينَ قَالُوا: لِنَسْتَوْلِ عَلَى مَسَاكِنِ اللهِ.

13يَا إِلَهِي، بَدِّدْهُمْ كَالْقَشِّ الْمُتَطَايِرِ، وَكَالتِّبْنِ فِي مَهَبِّ الرِّيحِ. 14كَمَا تَحْرِقُ النَّارُ الْغَابَةَ، وَكَمَا يُشْعِلُ لَهِيبُهَا الْجِبَالَ، 15هَكَذَا طَارِدْهُمْ بِعَاصِفَتِكَ، وَأَفْزِعْهُمْ بِزَوْبَعَتِكَ. 16امْلأْ وُجُوهَهُمْ خِزْياً فَيَلْتَمِسُوا اسْمَكَ يَا رَبُّ. 17لِيَحُلَّ بِهِمِ الْعَارُ وَالرُّعْبُ إِلَى الأَبَدِ، وَلْيَخْزَوْا وَيَهْلِكُوا. 18وَيَعْلَمُوا أَنَّكَ أَنْتَ وَحْدَكَ، يَهْوَه الْعَلِيُّ عَلَى الأَرْضِ كُلِّهَا.