Zaburi 77
Matendo Makuu Ya Mungu Yanakumbukwa
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Asafu.
177:1 1Fal 8:52Nilimlilia Mungu ili anisaidie,
nilimlilia Mungu ili anisikie.
277:2 Mwa 37:35; 32:7; 2Sam 22:7; Za 118:5; 6:6; 22:2; 88:1; 50:15; Kut 9:29; Ay 11:13; Mt 2:18; Isa 26:9Nilipokuwa katika taabu, nilimtafuta Bwana,
usiku nilinyoosha mikono bila kuchoka
na nafsi yangu ilikataa kufarijika.
377:3 Za 6:6; 78:35; Kut 2:23; Yer 45:3; 6:2Ee Mungu, nilikukumbuka wewe, nikalia kwa huzuni;
nikatafakari, roho yangu ikadhoofika.
477:4 Za 39:2Ulizuia macho yangu kufumba;
nilikuwa nasumbuka, nikashindwa kusema.
577:5 Kum 32:7; Isa 51:9; Za 44:1; 143:5; Mhu 7:16Nilitafakari juu ya siku zilizopita,
miaka mingi iliyopita,
6nilikumbuka nilivyoimba nyimbo usiku.
Moyo wangu ulitafakari
na roho yangu ikauliza:
777:7 Za 85:1; 102:13; 106:4; 1Nya 28:9“Je, Bwana atakataa milele?
Je, hatatenda mema tena?
877:8 Za 6:4; 90:14; 2Pet 3:9; Isa 27:11; Yn 2:4; Hes 23:19; Yer 15:18; Rum 9:6Je, upendo wake usio na mwisho umetoweka milele?
Je, ahadi yake imekoma nyakati zote?
977:9 Za 25:6; 40:11; 51:1; Isa 49:15Je, Mungu amesahau kuwa na huruma?
Je, katika hasira amezuia huruma yake?”
1077:10 Ay 42:3; Za 31:22; Yer 10:19; Kut 15:6Ndipo nikawaza, “Huu ndio udhaifu wangu:
lakini nitakumbuka
miaka ya mkono wa kuume
wa Aliye Juu Sana.”
1177:11 Neh 9:17; 1Nya 16:12; Za 28:5; Isa 5:14Nitayakumbuka matendo ya Bwana;
naam, nitaikumbuka miujiza yako ya zamani.
1277:12 Mwa 24:63; Za 143:5Nitazitafakari kazi zako zote
na kuyawaza matendo yako makuu.
1377:13 Za 73:17; 71:19; 86:8; Kut 15:11Ee Mungu, njia zako ni takatifu.
Ni mungu yupi aliye mkuu kama Mungu wetu?
1477:14 Kut 3:20; 34:10Wewe ndiwe Mungu utendaye miujiza,
umeonyesha uwezo wako katikati ya mataifa.
1577:15 Kut 6:6Kwa mkono wako wenye nguvu umewakomboa watu wako,
uzao wa Yakobo na Yosefu.
1677:16 Kut 14:21, 28; Isa 50:2; Hab 3:8, 10; Yos 3:15, 16; Za 114:4Maji yalikuona, Ee Mungu,
maji yalikuona yakakimbia,
vilindi vilitetemeka.
1777:17 Amu 5:4; Kut 9:23; Za 29:3; Kum 32:23Mawingu yalimwaga maji,
mbingu zikatoa ngurumo kwa radi,
mishale yako ikametameta huku na huko.
1877:18 Za 55:8; 2Sam 22:13; Amu 5:4Ngurumo yako ilisikika katika upepo wa kisulisuli,
umeme wako wa radi ukaangaza dunia,
nchi ikatetemeka na kutikisika.
1977:19 Hab 3:15; Kut 14:28; 14:22; Ay 9:8; 37:23Njia yako ilipita baharini,
mapito yako kwenye maji makuu,
ingawa nyayo zako hazikuonekana.
2077:20 Kut 4:16; 13:21; Za 78:52; Isa 63:11; Hes 33:1Uliongoza watu wako kama kundi
kwa mkono wa Mose na Aroni.
第77篇
患難中的安慰
亞薩的詩,照耶杜頓的做法,交給樂長。
1我呼求上帝,我高聲呼求,
上帝垂聽我的禱告。
2我在困境中尋求主。
我整夜舉手禱告,
我的心無法得到安慰。
3我思想上帝,發出哀歎;
我默念,心力交瘁。(細拉)
4你使我無法合眼,
我心亂如麻,默然無語。
5我回想從前的日子,
那久遠的歲月,
6想起自己夜間所唱的歌。
我沉思默想,捫心自問:
7「難道主要永遠丟棄我,
不再恩待我了嗎?
8難道祂的慈愛永遠消逝了嗎?
祂的應許永遠落空了嗎?
9難道上帝已忘記施恩,
在憤怒中收回了祂的慈愛嗎?」(細拉)
10於是我說:「我感到悲傷的是,
至高者已不再彰顯大能。」
11耶和華啊,我要回想你的作為,
回想你從前所行的奇事。
12我要默想你所行的一切事,
思想你一切大能的作為。
13上帝啊,你的作為全然聖潔,
有哪個神明像你一樣偉大?
14你是行奇事的上帝,
你在列邦中彰顯你的大能。
15你以大能的臂膀救贖了你的子民,
就是雅各和約瑟的後代。(細拉)
16上帝啊,眾水看見你就戰慄,
深淵看見你就顫抖。
17雲層倒出雨水,
天上雷霆霹靂,電光四射。
18旋風中傳來你的雷聲,
你的閃電照亮世界,
大地顫抖震動。
19你的道路穿越海洋,經過洪濤,
但你的足跡無處可尋。
20你藉著摩西和亞倫的手引領你的子民,
如同牧人引領羊群。