Zaburi 76 – NEN & NAV

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 76:1-12

Zaburi 76

Mungu Wa Israeli Ni Mhukumu Wa Dunia Yote

Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo.

176:1 Za 99:3Katika Yuda, Mungu anajulikana,

jina lake ni kuu katika Israeli.

276:2 Mwa 14:18; Ebr 7:1; Za 2:6; 2Sam 5:7Hema lake liko Salemu,

makao yake katika Sayuni.

376:3 Za 46:9; Eze 39:9Huko alivunja mishale imetametayo,

ngao na panga, silaha za vita.

476:4 Za 36:9; Eze 38:12Wewe unangʼaa kwa mwanga,

mwenye fahari zaidi ya milima yenye utajiri wa wanyama pori.

576:5 Amu 20:44; Za 13:3; Mt 9:24; Isa 46:12; Yer 51:39Mashujaa hulala wametekwa nyara,

hulala usingizi wao wa mwisho;

hakuna hata mmoja wa watu wa vita

anayeweza kuinua mikono yake.

676:6 Kut 15:1; Zek 12:4; Nah 2:13; Za 50:21Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo,

farasi na gari la vita vilikaa kimya.

776:7 Ay 41:10; Nah 1:6; 1Nya 16:25; Ezr 9:15; Ufu 6:17; Za 2:5Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa.

Ni nani awezaye kusimama mbele yako unapokasirika?

876:8 1Nya 16:30; Eze 38:20Kutoka mbinguni ulitamka hukumu,

nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:

976:9 Za 9:8; 58:11; 74:22; 82:8; 96:13; 72:4wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu,

kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.

1076:10 Kut 9:16; Rum 9:17Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa,

na masalia ya ghadhabu yako unajifunga mshipi.

1176:11 Mhu 5:4-5; Za 68:35; Law 22:18; Za 50:14; 2Nya 32:23Wekeni nadhiri kwa Bwana Mungu wenu na kuzitimiza;

nchi zote za jirani na walete zawadi

kwa Yule astahiliye kuogopwa.

12Huvunja roho za watawala;

anaogopwa na wafalme wa dunia.

New Arabic Version

مزمور 76:1-12

الْمَزْمُورُ السَّادِسُ وَالسَّبْعُونَ

لِقَائِدِ الْمُنْشِدِينَ. عَلَى الآلاتِ الْوَتَرِيَّةِ. مَزْمُورٌ لآسَافَ. تَسْبِيحَةٌ.

1اللهُ مَعْرُوفٌ فِي يَهُوذَا وَاسْمُهُ مُعَظَّمٌ فِي إِسْرَائِيلَ. 2خَيْمَتُهُ فِي أُورُشَلِيمَ وَمَسْكَنُهُ فِي جَبَلِ صِهْيَوْنَ. 3هُنَاكَ حَطَّمَ السِّهَامَ الْبَارِقَةَ، وَالتُّرْسَ وَالسَّيْفَ وَكُلَّ أَسْلِحَةِ الْحَرْبِ.

4أَنْتَ أَمْجَدُ وَأَعْظَمُ جَلالاً مِنَ الْجِبَالِ الْخَالِدَةِ 5سَلَبْتَ أَبْطَالَهُمْ، فَنَامُوا نَوْمَ الْمَوْتِ، وَلَمْ تَنْفَعْهُمْ قُدْرَاتُهُمْ. 6مِنْ زَجْرِكَ يَا إِلَهَ يَعْقُوبَ تُصْرَعُ الْفُرْسَانُ وَالْخُيُولُ. 7إِنَّمَا أَنْتَ مَهُوبٌ، فَمَنْ يَقِفُ أَمَامَكَ فِي غَضَبِكَ؟ 8مِنَ السَّمَاءِ أَصْدَرْتَ حُكْماً فَلَمَّا سَمِعَتْهُ الأَرْضُ فَزِعَتْ وَصَمَتَتْ. 9كَانَ ذَلِكَ عِنْدَمَا قُمْتَ لِلْقَضَاءِ لِتُخَلِّصَ وُدَعَاءَ الأَرْضِ كُلَّهُمْ. 10حَقّاً يَحْمَدُكَ غَضَبُ الإِنْسَانِ، وَمَا تَبَقَّى مِنَ الْغَضَبِ تَتَمَنْطَقُ أَنْتَ بِهِ.

11انْذِرُوا وَأَوْفُوا لِلرَّبِّ إِلَهِكُمْ. يَا جَمِيعَ مَنْ حَوْلَهُ قَدِّمُوا هَدِيَّةً لِلْمَهُوبِ، 12فَهُوَ يَسْتَأْصِلُ أَرْوَاحَ رُؤَسَاءِ الأَرْضِ، وَيُرْهِبُ مُلُوكَهَا الْعُظَمَاءَ.