Zaburi 62 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 62:1-12

Zaburi 62

Mungu Kimbilio La Pekee

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.

162:1 Za 5:3Kwa Mungu peke yake nafsi yangu inapata pumziko;

wokovu wangu watoka kwake.

262:2 Kut 15:2; Za 18:31; 89:26; 59:9; Ay 29:18Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;

yeye ni ngome yangu, sitatikisika kamwe.

362:3 Isa 30:13Mtamshambulia mtu hata lini?

Je, ninyi nyote mtamtupa chini,

ukuta huu ulioinama na uzio huu unaotikisika?

462:4 Za 28:3; 55:21Walikusudia kikamilifu kumwangusha

toka mahali pake pa fahari;

wanafurahia uongo.

Kwa vinywa vyao hubariki,

lakini ndani ya mioyo yao hulaani.

562:5 Mik 7:7, 10; Za 62:1Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake,

tumaini langu latoka kwake.

6Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;

ndiye ngome yangu, sitatikisika.

762:7 Za 61:3Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu,

ndiye mwamba wangu wenye nguvu

na kimbilio langu.

862:8 Isa 26:4; 1Sam 1:15; Za 37:5; 42:4; Mt 26:36-46Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote,

miminieni mioyo yenu kwake,

kwa kuwa Mungu ni kimbilio letu.

962:9 Za 49:2; Ay 7:7; Isa 40:15Binadamu wa ngazi ya chini ni pumzi tu,

nao wa ngazi ya juu ni uongo tu;

wakipimwa kwenye mizani, si chochote;

wote kwa pamoja ni pumzi tu.

1062:10 Za 12:5; Isa 61:8; 26:4; 1Tim 6:17; Eze 22:29; Nah 3:1; Lk 12:15; Ay 31:25; Mt 19:23, 24; 1Tim 6:6-10; Mk 10:23Usitumainie vya udhalimu

wala usijivune kwa vitu vya wizi;

ingawa utajiri wako utaongezeka,

usiviwekee moyo wako.

1162:11 1Nya 29:11; Ufu 19:1Jambo moja Mungu amelisema,

mambo mawili nimeyasikia:

kwamba, Ee Mungu,

wewe una nguvu,

1262:12 Za 130:7; 103:8; 86:5; 28:4; Ay 21:31; Mt 16:27; Rum 2:6; 1Kor 3:8; Kol 3:25; 1Pet 1:17na kwamba, Ee Bwana,

wewe ni mwenye upendo.

Hakika utampa kila mtu thawabu

kwa kadiri ya alivyotenda.

Священное Писание

Забур 62:1-12

Песнь 62

1Песнь Давуда, когда он был в Иудейской пустыне62:1 См. 1 Цар. 23–24; 2 Цар. 15:13–17:29..

2Всевышний, Ты – мой Бог!

Тебя с ранней зари я ищу.

Душа моя жаждет Тебя,

тело моё по Тебе томится

в краю сухом и бесплодном,

где нет воды.

3Я смотрел на Тебя в святилище

и видел силу Твою и славу.

4Уста мои будут славить Тебя,

потому что Твоя милость лучше жизни.

5Прославлю Тебя, пока я жив,

и руки во имя Твоё вознесу.

6Словно лучшими яствами душа моя насыщается,

и уста Тебя славят радостно,

7когда вспоминаю Тебя на ложе своём

и думаю в час ночной о Тебе,

8потому что Ты – моя помощь,

и в тени Твоих крыльев я возрадуюсь.

9Душа моя льнёт к тебе;

Ты правой рукой поддерживаешь меня.

10Те, кто желает моей смерти,

сойдут в нижний мир.

11От меча падут они,

став добычей шакалов.

12Царь же возликует о Всевышнем,

и все, кто клянётся Всевышним, восхвалят Его,

а уста лжецов умолкнут.