Zaburi 62
Mungu Kimbilio La Pekee
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.
162:1 Za 5:3Kwa Mungu peke yake nafsi yangu inapata pumziko;
wokovu wangu watoka kwake.
262:2 Kut 15:2; Za 18:31; 89:26; 59:9; Ay 29:18Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;
yeye ni ngome yangu, sitatikisika kamwe.
362:3 Isa 30:13Mtamshambulia mtu hata lini?
Je, ninyi nyote mtamtupa chini,
ukuta huu ulioinama na uzio huu unaotikisika?
462:4 Za 28:3; 55:21Walikusudia kikamilifu kumwangusha
toka mahali pake pa fahari;
wanafurahia uongo.
Kwa vinywa vyao hubariki,
lakini ndani ya mioyo yao hulaani.
562:5 Mik 7:7, 10; Za 62:1Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake,
tumaini langu latoka kwake.
6Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;
ndiye ngome yangu, sitatikisika.
762:7 Za 61:3Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu,
ndiye mwamba wangu wenye nguvu
na kimbilio langu.
862:8 Isa 26:4; 1Sam 1:15; Za 37:5; 42:4; Mt 26:36-46Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote,
miminieni mioyo yenu kwake,
kwa kuwa Mungu ni kimbilio letu.
962:9 Za 49:2; Ay 7:7; Isa 40:15Binadamu wa ngazi ya chini ni pumzi tu,
nao wa ngazi ya juu ni uongo tu;
wakipimwa kwenye mizani, si chochote;
wote kwa pamoja ni pumzi tu.
1062:10 Za 12:5; Isa 61:8; 26:4; 1Tim 6:17; Eze 22:29; Nah 3:1; Lk 12:15; Ay 31:25; Mt 19:23, 24; 1Tim 6:6-10; Mk 10:23Usitumainie vya udhalimu
wala usijivune kwa vitu vya wizi;
ingawa utajiri wako utaongezeka,
usiviwekee moyo wako.
1162:11 1Nya 29:11; Ufu 19:1Jambo moja Mungu amelisema,
mambo mawili nimeyasikia:
kwamba, Ee Mungu,
wewe una nguvu,
1262:12 Za 130:7; 103:8; 86:5; 28:4; Ay 21:31; Mt 16:27; Rum 2:6; 1Kor 3:8; Kol 3:25; 1Pet 1:17na kwamba, Ee Bwana,
wewe ni mwenye upendo.
Hakika utampa kila mtu thawabu
kwa kadiri ya alivyotenda.
Песнь 62
1Песнь Давуда, когда он был в Иудейской пустыне62:1 См. 1 Цар. 23–24; 2 Цар. 15:13–17:29..
2Всевышний, Ты – мой Бог!
Тебя с ранней зари я ищу.
Душа моя жаждет Тебя,
тело моё по Тебе томится
в краю сухом и бесплодном,
где нет воды.
3Я смотрел на Тебя в святилище
и видел силу Твою и славу.
4Уста мои будут славить Тебя,
потому что Твоя милость лучше жизни.
5Прославлю Тебя, пока я жив,
и руки во имя Твоё вознесу.
6Словно лучшими яствами душа моя насыщается,
и уста Тебя славят радостно,
7когда вспоминаю Тебя на ложе своём
и думаю в час ночной о Тебе,
8потому что Ты – моя помощь,
и в тени Твоих крыльев я возрадуюсь.
9Душа моя льнёт к тебе;
Ты правой рукой поддерживаешь меня.
10Те, кто желает моей смерти,
сойдут в нижний мир.
11От меча падут они,
став добычей шакалов.
12Царь же возликует о Всевышнем,
и все, кто клянётся Всевышним, восхвалят Его,
а уста лжецов умолкнут.