Zaburi 48 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 48:1-14

Zaburi 48

Sayuni, Mji Wa Mungu

Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora.

148:1 2Sam 22:4; Mik 4:1; Yer 10:6; 31:23; Za 86:10; 96:4; 99:2; 135:5; 147:5; 46:4; 87:1; 18:3; 2:6; 1Nya 16:25; Kum 33:19; Isa 2:2; 11:9; 32:16; Zek 8:3; Oba 1:17; Dan 9:16Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,

katika mji wa Mungu wetu,

mlima wake mtakatifu.

248:2 Isa 14:13; Za 2:6; 50:2; Mao 2:15; Eze 16:14; 20:6; Yos 13:17; Mt 5:35; Yer 3:19Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana,

furaha ya dunia yote.

Kama vilele vya juu sana vya Safoni48:2 Safoni inaweza ikawa na maana ya mlima mtakatifu au upande wa kaskazini. ni Mlima Sayuni,

mji wa Mfalme Mkuu.

348:3 Za 122:7; 18:2Mungu yuko katika ngome zake;

amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.

448:4 2Sam 10:1-19Wakati wafalme walipounganisha nguvu,

waliposonga mbele pamoja,

548:5 Kut 15:16walimwona nao wakashangaa,

wakakimbia kwa hofu.

648:6 Ay 4:14; Mwa 3:16Kutetemeka kuliwashika huko,

maumivu kama ya mwanamke

mwenye utungu wa kuzaa.

748:7 Mwa 10:4; 41:6; 1Fal 10:22; 22:48; Eze 27:26Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi

zilizovunjwa na upepo wa mashariki.

848:8 Yer 23:6; Mik 4:1; Zek 8:13; 14:11; Isa 2:2Kama tulivyokuwa tumesikia,

ndivyo tulivyoona

katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote,

katika mji wa Mungu wetu:

Mungu ataufanya uwe salama milele.

948:9 Za 39:3; 6:4Ee Mungu, hekaluni mwako

tunatafakari upendo wako usiokoma.

1048:10 Kut 6:3; Isa 11:12; 24:16; 42:10; 49:6; Yos 7:9; 1Sam 2:10; Za 22:27; 100:1; 65:5; 98:3; Mal 1:1Ee Mungu, kama jina lako lilivyo,

sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia,

mkono wako wa kuume umejazwa na haki.

1148:11 Za 97:8Mlima Sayuni unashangilia,

vijiji vya Yuda vinafurahi

kwa sababu ya hukumu zako.

1248:12 Neh 3:1Tembeeni katika Sayuni,

uzungukeni mji,

hesabuni minara yake;

1348:13 2Sam 20:15; Isa 26:1; Mao 2:8; Hab 2:1; Za 78:6; 71:18; 109:13yatafakarini vyema maboma yake,

angalieni ngome zake,

ili mpate kusimulia habari zake

kwa kizazi kijacho.

1448:14 Za 25:5; 73:24; Mit 6:22; Isa 25:9; 49:10; 57:18; 58:11Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele;

atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.

New International Reader’s Version

Psalm 48:1-14

Psalm 48

A song. A psalm of the Sons of Korah.

1The Lord is great. He is really worthy of praise.

Praise him in the city of our God, his holy mountain.

2Mount Zion is high and beautiful.

It brings joy to everyone on earth.

Mount Zion is like the highest parts of Mount Zaphon.

It is the city of the Great King.

3God is there to keep it safe.

He has shown himself to be like a fort to the city.

4Many kings joined forces.

They entered Israel together.

5But when they saw Mount Zion, they were amazed.

They ran away in terror.

6Trembling took hold of them.

They felt pain like a woman giving birth.

7Lord, you destroyed them like ships of Tarshish

that were torn apart by an east wind.

8What we heard we have also seen.

We have seen it

in the city of the Lord who rules over all.

We have seen it in the city of our God.

We have heard and seen that God makes it secure forever.

9God, inside your temple

we think about your faithful love.

10God, your fame reaches from one end of the earth to the other.

So people praise you from one end of the earth to the other.

You use your power to do what is right.

11Mount Zion is filled with joy.

The villages of Judah are glad.

That’s because you judge fairly.

12Walk all around Zion.

Count its towers.

13Think carefully about its outer walls.

Just look at how safe it is!

Then you can tell its people that God keeps them safe.

14This God is our God for ever and ever.

He will be our guide to the very end.