Zaburi 48 – NEN & HCV

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 48:1-14

Zaburi 48

Sayuni, Mji Wa Mungu

Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora.

148:1 2Sam 22:4; Mik 4:1; Yer 10:6; 31:23; Za 86:10; 96:4; 99:2; 135:5; 147:5; 46:4; 87:1; 18:3; 2:6; 1Nya 16:25; Kum 33:19; Isa 2:2; 11:9; 32:16; Zek 8:3; Oba 1:17; Dan 9:16Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,

katika mji wa Mungu wetu,

mlima wake mtakatifu.

248:2 Isa 14:13; Za 2:6; 50:2; Mao 2:15; Eze 16:14; 20:6; Yos 13:17; Mt 5:35; Yer 3:19Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana,

furaha ya dunia yote.

Kama vilele vya juu sana vya Safoni48:2 Safoni inaweza ikawa na maana ya mlima mtakatifu au upande wa kaskazini. ni Mlima Sayuni,

mji wa Mfalme Mkuu.

348:3 Za 122:7; 18:2Mungu yuko katika ngome zake;

amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.

448:4 2Sam 10:1-19Wakati wafalme walipounganisha nguvu,

waliposonga mbele pamoja,

548:5 Kut 15:16walimwona nao wakashangaa,

wakakimbia kwa hofu.

648:6 Ay 4:14; Mwa 3:16Kutetemeka kuliwashika huko,

maumivu kama ya mwanamke

mwenye utungu wa kuzaa.

748:7 Mwa 10:4; 41:6; 1Fal 10:22; 22:48; Eze 27:26Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi

zilizovunjwa na upepo wa mashariki.

848:8 Yer 23:6; Mik 4:1; Zek 8:13; 14:11; Isa 2:2Kama tulivyokuwa tumesikia,

ndivyo tulivyoona

katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote,

katika mji wa Mungu wetu:

Mungu ataufanya uwe salama milele.

948:9 Za 39:3; 6:4Ee Mungu, hekaluni mwako

tunatafakari upendo wako usiokoma.

1048:10 Kut 6:3; Isa 11:12; 24:16; 42:10; 49:6; Yos 7:9; 1Sam 2:10; Za 22:27; 100:1; 65:5; 98:3; Mal 1:1Ee Mungu, kama jina lako lilivyo,

sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia,

mkono wako wa kuume umejazwa na haki.

1148:11 Za 97:8Mlima Sayuni unashangilia,

vijiji vya Yuda vinafurahi

kwa sababu ya hukumu zako.

1248:12 Neh 3:1Tembeeni katika Sayuni,

uzungukeni mji,

hesabuni minara yake;

1348:13 2Sam 20:15; Isa 26:1; Mao 2:8; Hab 2:1; Za 78:6; 71:18; 109:13yatafakarini vyema maboma yake,

angalieni ngome zake,

ili mpate kusimulia habari zake

kwa kizazi kijacho.

1448:14 Za 25:5; 73:24; Mit 6:22; Isa 25:9; 49:10; 57:18; 58:11Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele;

atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.

Hindi Contemporary Version

स्तोत्र 48:1-14

स्तोत्र 48

एक गीत. कोराह के पुत्रों की एक स्तोत्र रचना.

1महान हैं याहवेह, हमारे परमेश्वर के नगर में,

उनके पवित्र पर्वत में, सर्वोच्च वंदना और प्रशंसा के योग्य.

2मनोहर हैं इसके शिखर,

जिसमें समस्त पृथ्वी आनन्दमग्न है,

ज़ियोन पर्वत उत्तर के उच्च पर्वत ज़ेफोन के समान है,

जो राजाधिराज का नगर है.

3इसके राजमहलों में परमेश्वर निवास करते हैं;

उन्होंने स्वयं को इसका गढ़ प्रमाणित कर दिया है.

4जब राजाओं ने अपनी सेनाएं संयुक्त की,

जब उन्होंने इस पर आक्रमण किया,

5तब वे इसे देख चकित रह गए;

वे भयभीत हो भाग खड़े हुए.

6भय के कारण उन्हें वहां ऐसी कंपकंपी होने लगी,

जैसी प्रसव पीड़ा में प्रसूता को होती है.

7आपने उनका ऐसा विध्वंस किया,

जैसे तरशीश के जलयानों का पूर्वी हवा के कारण हुआ था.

8जैसा हमने सुना था,

और जैसा हमने देखा है

सर्वशक्तिमान याहवेह के नगर में,

हमारे परमेश्वर के नगर में:

परमेश्वर उसे सर्वदा महिमा

प्रदान करेंगे.

9परमेश्वर, आपके मंदिर में,

हमने आपके करुणा-प्रेम पर चिंतन किया है.

10जैसी आपकी महिमा है,

वैसी ही आपकी स्तुति-प्रशंसा भी पृथ्वी के छोर तक पहुंच रही है;

आपका दायां हाथ धार्मिकता से भरा है.

11ज़ियोन पर्वत उल्‍लसित है,

यहूदाह प्रदेश के नगर आपके निष्पक्ष

न्याय के कारण हर्षित हो रहे हैं.

12ज़ियोन की परिक्रमा करते हुए,

उसके स्तंभों की गणना करो.

13उसकी शहरपनाह पर दृष्टि लगाओ,

उसके महलों का भ्रमण करो,

कि तत्पश्चात तुम अगली पीढ़ी

को इनके विषय में बता सको.

14यही हैं वह परमेश्वर, जो युगानुयुग के लिए हमारे परमेश्वर हैं;

वही अंत तक हमारी अगुवाई करते रहेंगे.