Zaburi 46 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 46:1-11

Zaburi 46

Mungu Yuko Pamoja Nasi

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Mtindo wa alamothi.

146:1 Za 9:9; 18:1, 6; 25:17; 34:18; 61:3; 37:39; 73:26; 91:2, 9; 142:5; Isa 33:16; Lk 1:54; Yer 16:19; 17:17; Yoe 3:16; Nah 1:7; Mao 3:57; Kum 4:30Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu,

msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.

246:2 Mwa 4:7; Za 3:6; 18:7; 97:5; 82:5; Dan 11:19; Hab 3:6; Yer 4:23; Amo 9:5; 8:14; Isa 24:1, 19, 20; 13:13; 54:10; Ufu 6:14; Kut 15:8; Mik 1:4; Nah 1:5Kwa hiyo hatutaogopa, hata kama dunia ikiondolewa

nayo milima ikiangukia moyoni mwa bahari.

346:3 Za 93:3; Ufu 19:6; Isa 17:13; Amu 5:5; Yer 5:22; Eze 1:24; Ay 9:26Hata kama maji yake yatanguruma na kuumuka,

milima nayo ikitetemeka kwa mawimbi yake.

446:4 Ufu 22:1; Isa 60:14; 8:7; 2Sam 15:25; Ebr 12:22; Za 48:1; 2Nya 6:6; Mwa 14:18Kuna mto ambao vijito vyake vinaufurahisha mji wa Mungu,

mahali patakatifu ambako Aliye Juu Sana anaishi.

546:5 Kum 23:14, 15; Isa 12:6; Eze 43:7; Zek 2:5; Za 26:8; 125:1; 1Nya 5:20Mungu yuko katikati yake, hautaanguka,

Mungu atausaidia asubuhi na mapema.

646:6 Ay 12:23; Mt 4:8; Za 68:32; 74:23; 102:22; 29:3; Isa 17:12; 23:11; 13:4, 13; 5:30; 33:3; Eze 26:18Mataifa yanafanya ghasia, falme zinaanguka,

Yeye huinua sauti yake, dunia ikayeyuka.

746:7 1Sam 1:11; Mwa 21:22; Za 20:1; 18:2Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi,

Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.

846:8 Za 66:5; Isa 17:9; 64:10; Dan 9:26; Lk 21:20Njooni mkaone kazi za Bwana

jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.

946:9 Isa 2:4; Za 37:15; Isa 22:6; 9:5; Eze 39:9; Hos 2:18Anakomesha vita hata miisho ya dunia,

anakata upinde na kuvunjavunja mkuki,

anateketeza ngao kwa moto.

1046:10 Kum 4:35; Isa 2:11; 37:16, 20; 43:11; 45:21; Eze 36:23; 1Fal 18:36, 39; Za 18:46; 100:3“Tulieni, mjue ya kwamba mimi ndimi Mungu;

nitatukuzwa katikati ya mataifa,

nitatukuzwa katika dunia.”

11Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi;

Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

诗篇 46:1-11

第46篇

上帝与我们同在

可拉后裔的诗,交给乐长,调用女高音。

1上帝是我们的避难所,

是我们的力量,

是我们患难中随时的帮助。

2因此,任大地震动,

群山沉入深海;

3任海涛汹涌澎湃,

群山摇撼颤抖,

我们也不惧怕。(细拉)

4有一条河的支流给上帝的城,

给至高者的圣所带来喜乐。

5上帝住在里面,

城必屹立不倒。

天一亮,上帝必帮助这城。

6列邦动荡,列国倾覆。

上帝的声音使大地熔化。

7万军之耶和华与我们同在,

雅各的上帝是我们的堡垒。(细拉)

8你们来看耶和华的作为吧!

祂使大地荒凉。

9祂平息天下的战争,

祂断弓、折枪、烧毁盾牌。

10祂说:“要安静,

要知道我是上帝,

我必在列国受尊崇,

在普世受尊崇。”

11万军之耶和华与我们同在,

雅各的上帝是我们的堡垒。