Zaburi 36
Uovu Wa Mwanadamu
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana.
136:1 Ay 21:16; 23:15; Yer 2:19; 36:16, 24; Rum 3:18; Mit 8:13; Mwa 20:11; Mhu 12:3Kuna neno moyoni mwangu
kuhusu hali ya dhambi ya mwovu.
Hakuna hofu ya Mungu
mbele ya macho yake.
236:2 Kum 29:19Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno
hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.
336:3 Yer 4:22; 13:23; Za 10:7; 5:6, 9; 43:1; 144:8, 11; 94:8; Ay 5:13; Isa 44:20; Amo 3:10Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu,
ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
436:4 Mik 2:1; Rum 12:9; Isa 65:2; Za 52:3Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya,
hujitia katika njia ya dhambi
na hakatai lililo baya.
536:5 Za 89:1; 119:90; 108:4; 57:10; 89:2; 71:19; 103:11Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni,
uaminifu wako hadi kwenye anga.
636:6 Za 5:8; 68:15; Mwa 1:2; Za 104:14; 7:11; 145:9; Neh 9:6; Rum 11:33; Ay 7:20; 11:8Haki yako ni kama milima mikubwa,
hukumu zako ni kama kilindi kikuu.
Ee Bwana, wewe huwahifadhi
mwanadamu na mnyama.
736:7 Za 6:4; 17:8; 57:1; 91:4; Rut 2:12Upendo wako usiokoma
ni wa thamani mno!
Watu wakuu na wadogo
hujificha uvulini wa mbawa zako.
836:8 Za 65:4; 23:2; 63:5; Yer 31:12, 14; Ufu 22:1; Isa 25:6; Ay 20:17Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako,
nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.
936:9 Isa 12:3; 2:5; 9:2; 60:1, 19; Yer 2:13; Zek 13:1; Yn 1:4; 4:10, 14; Ufu 21:6; Mdo 26:18; Efe 5:8; Kol 1:13; 1Pet 2:9; Mit 10:11; 16:22; Za 87:7; 4:6; 27:1; 76:4; 104:2Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima,
katika nuru yako twaona nuru.
1036:10 Yer 31:3; 9:24; 22:16; Za 7:10; 11:2; 94:15; 125:4Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe,
haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.
1136:11 Za 71:4; 140:4Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu,
wala mkono wa mwovu usinifukuze.
1236:12 Za 18:38Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka:
wametupwa chini, hawawezi kuinuka!
Psalm 36In Hebrew texts 36:1-12 is numbered 36:2-13.
For the director of music. Of David the servant of the Lord.
1I have a message from God in my heart
concerning the sinfulness of the wicked:36:1 Or A message from God: The transgression of the wicked / resides in their hearts.
There is no fear of God
before their eyes.
2In their own eyes they flatter themselves
too much to detect or hate their sin.
3The words of their mouths are wicked and deceitful;
they fail to act wisely or do good.
4Even on their beds they plot evil;
they commit themselves to a sinful course
and do not reject what is wrong.
5Your love, Lord, reaches to the heavens,
your faithfulness to the skies.
6Your righteousness is like the highest mountains,
your justice like the great deep.
You, Lord, preserve both people and animals.
7How priceless is your unfailing love, O God!
People take refuge in the shadow of your wings.
8They feast on the abundance of your house;
you give them drink from your river of delights.
9For with you is the fountain of life;
in your light we see light.
10Continue your love to those who know you,
your righteousness to the upright in heart.
11May the foot of the proud not come against me,
nor the hand of the wicked drive me away.
12See how the evildoers lie fallen—
thrown down, not able to rise!