Zaburi 146
Kumsifu Mungu Mwokozi
1146:1 Za 103:1; 104:1Msifuni Bwana!146:1 Msifuni Bwana kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.
Ee nafsi yangu, umsifu Bwana,
2146:2 Za 104:33; 63:4; 105:2Nitamsifu Bwana maisha yangu yote;
nitamwimbia Mungu wangu sifa
wakati wote niishipo.
3146:3 Za 118:9; 60:11; 108:12; Isa 2:22Usiweke tumaini lako kwa wakuu,
kwa wanadamu ambao hufa,
ambao hawawezi kuokoa.
4146:4 Mhu 12:7; Mwa 3:19; Ay 7:21; 1Kor 2:6; Za 103:14; 33:10Roho yao itokapo hurudi mavumbini,
siku hiyo hiyo mipango yao yote hukoma.
5146:5 Za 119:43; 37:9; 144:15; 33:18; 71:5; 70:5; 121:2; Yer 17:7Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,
ambaye tumaini lake ni katika Bwana, Mungu wake,
6146:6 2Nya 2:12; Za 18:25; 108:4; 117:2; 115:15; Mdo 14:15; Kum 7:9; Mik 7:20; Ufu 10:6; 14:7Muumba wa mbingu na nchi,
na bahari na vyote vilivyomo ndani yake:
Bwana anayedumu kuwa mwaminifu
milele na milele.
7146:7 Za 37:17; 103:6; 107:9; 145:15; 66:11; 68:6Naye huwapatia haki walioonewa
na kuwapa wenye njaa chakula.
Bwana huwaweka wafungwa huru,
8146:8 Isa 32:3; 29:18; 35:5; 42:7, 18, 19; 43:8; Ay 23:10; Kut 4:11; Za 38:6; Kum 7:13; Mt 11:5; Mit 20:12Bwana huwafumbua vipofu macho,
Bwana huwainua waliolemewa na mizigo yao,
Bwana huwapenda wenye haki.
9146:9 Law 19:34; Za 10:18; Kut 22:22; Yak 1:27Bwana huwalinda wageni
na kuwategemeza yatima na wajane,
lakini hupinga njia za waovu.
10146:10 Mwa 21:33; 1Nya 16:31; Za 93:1; 99:1; Ufu 11:15Bwana atamiliki milele,
Mungu wako, ee Sayuni,
kwa vizazi vyote.
Msifuni Bwana.
第146篇
讚美上帝的幫助
1你們要讚美耶和華!
我的心啊,你要讚美耶和華。
2我要一生讚美耶和華,
我一息尚存都要歌頌祂。
3你們不要倚靠權貴,
不要倚靠世人,
他們救不了你們。
4他們氣息一斷,便歸回塵土,
他們的打算轉眼成空。
5蒙雅各的上帝相助、仰望耶和華上帝的人有福了!
6耶和華創造了天地、海洋和其中的萬物,
祂永遠信實可靠。
7祂為受壓制的人伸冤,
賜食物給饑餓的人。
耶和華使被囚者得自由。
8耶和華使瞎眼的人能看見,
耶和華扶持被重擔所壓的人,
耶和華喜愛義人。
9耶和華保護寄居異地的人,
看顧孤兒寡婦,
並挫敗惡人的陰謀詭計。
10耶和華永遠掌權。
錫安啊,
你的上帝要世世代代做王。
你們要讚美耶和華!