Zaburi 142 – NEN & NASV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 142:1-7

Zaburi 142

Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Watesi

Utenzi wa Daudi. Alipokuwa pangoni. Maombi.

1142:1 1Fal 8:52; Za 3:4; 30:8Namlilia Bwana kwa sauti,

nainua sauti yangu kwa Bwana anihurumie.

2142:2 Za 64:1; 50:15Namimina malalamiko yangu mbele zake,

mbele zake naeleza shida zangu.

3142:3 Za 6:2; 77:3; 84:2; 88:4; 143:4, 7; Yer 4:18; Mao 1:22Wakati roho yangu inapozimia ndani yangu,

wewe ndiwe unajua njia zangu.

Katika njia ninayopita

watu wameniwekea mtego.

4142:4 Yer 25:35; 30:17Tazama kuume kwangu na uone,

hakuna hata mmoja anayejihusisha nami.

Sina kimbilio,

hakuna anayejali maisha yangu.

5142:5 Za 16:5; 27:13; 46:1; Kum 32:9; Ay 28:13; Mao 3:24Ee Bwana, nakulilia wewe,

nasema, “Wewe ni kimbilio langu,

fungu langu katika nchi ya walio hai.”

6142:6 Za 17:1; 79:8; 25:20; Yer 31:11Sikiliza kilio changu,

kwa sababu mimi ni mhitaji sana;

niokoe na wale wanaonifuatilia,

kwa kuwa wamenizidi nguvu.

7142:7 Za 66:11; 7:17; 9:2; 2Nya 6:41Nifungue kutoka kifungo changu,

ili niweze kulisifu jina lako.

Ndipo wenye haki watanizunguka,

kwa sababu ya wema wako kwangu.

New Amharic Standard Version

መዝሙር 142:1-7

መዝሙር 142

የሚታደን ሰው ጸሎት

ዋሻ ውስጥ በነበረ ጊዜ፤ የዳዊት ትምህርት፤142 ርእሱ ላይ ሥነ ጽሑፋዊ ወይም የዜማ ቃል ሊሆን ይችላል። ጸሎት።

1ድምፄን ከፍ አድርጌ ወደ እግዚአብሔር እጮኻለሁ፤

ድምፄን ከፍ አድርጌ ወደ እግዚአብሔር ልመና አቀርባለሁ።

2ብሶቴን በፊቱ አፈስሳለሁ፤

ችግሬንም በፊቱ እናገራለሁ።

3መንፈሴ በውስጤ ሲዝል፣

መንገዴን የምታውቅ አንተ ነህ፤

በመተላለፊያ መንገዴ ላይ፣

ወጥመድ በስውር ዘርግተውብኛል።

4ወደ ቀኜ ተመልከት፤ እይም፤

ስለ እኔ የሚገድደው የለም፤

ማምለጫም የለኝም፤

ስለ ነፍሴም ደንታ ያለው የለም።

5እግዚአብሔር ሆይ፤ ወደ አንተ እጮኻለሁ፤

ደግሞም፣ “አንተ መጠጊያዬ ነህ፤

በሕያዋንም ምድር ዕድል ፈንታዬ ነህ” እላለሁ።

6እጅግ ተስፋ ቈርጫለሁና፣

ጩኸቴን ስማ፤

ከዐቅም በላይ ሆነውብኛልና፣

ከሚያሳድዱኝ አድነኝ።

7ስምህን አመሰግን ዘንድ፣ ነፍሴን ከወህኒ አውጣት፤

ከምታደርግልኝም በጎ ነገር የተነሣ፣

ጻድቃን በዙሪያዬ ይሰበሰባሉ።