Zaburi 14 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 14:1-7

Zaburi 14

Uovu Wa Wanadamu

(Zaburi 53)

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

114:1 Za 10:4; Mwa 6:12; Rum 3:10; Mit 1:7, 22Mpumbavu anasema moyoni mwake,

“Hakuna Mungu.”

Wameharibika, matendo yao ni maovu kabisa;

hakuna hata mmoja atendaye mema.

214:2 Ay 41:34; Za 32:6; 85:11; 102:19; Ezr 6:21; Mao 3:50Bwana anawachungulia wanadamu chini

kutoka mbinguni

aone kama wako wenye akili,

wowote wanaomtafuta Mungu.

314:3 1Sam 8:3; 2Pet 2:7; 1Tim 5:15; 1Fal 8:46; Za 143:2; Mhu 7:20; Rum 3:10-12Wote wamepotoka,

wameharibika wote pamoja,

hakuna atendaye mema.

Naam, hakuna hata mmoja!

414:4 Za 17:2; 82:5; 79:6; Mik 3:3; Isa 64:7; 65:1; Yer 4:22; 10:25; Hos 7:7Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza:

wale ambao huwala watu wangu

kama watu walavyo mkate,

hao ambao hawamwiti Bwana?

5Wako hapo, wameingiwa na hofu kuu,

maana Mungu yupo pamoja na wenye haki.

614:6 2Sam 22:3Ninyi watenda mabaya mnakwamisha mipango ya maskini,

bali Bwana ndiye kimbilio lao.

714:7 Za 2:6; Yer 48:47; Kum 30:3Laiti wokovu wa Israeli

ungalikuja kutoka Sayuni!

Wakati Bwana arejeshapo

wafungwa wa watu wake,

Yakobo na ashangilie,

Israeli na afurahi!

New International Version

Psalms 14:1-7

Psalm 14

For the director of music. Of David.

1The fool14:1 The Hebrew words rendered fool in Psalms denote one who is morally deficient. says in his heart,

“There is no God.”

They are corrupt, their deeds are vile;

there is no one who does good.

2The Lord looks down from heaven

on all mankind

to see if there are any who understand,

any who seek God.

3All have turned away, all have become corrupt;

there is no one who does good,

not even one.

4Do all these evildoers know nothing?

They devour my people as though eating bread;

they never call on the Lord.

5But there they are, overwhelmed with dread,

for God is present in the company of the righteous.

6You evildoers frustrate the plans of the poor,

but the Lord is their refuge.

7Oh, that salvation for Israel would come out of Zion!

When the Lord restores his people,

let Jacob rejoice and Israel be glad!