Zaburi 14 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 14:1-7

Zaburi 14

Uovu Wa Wanadamu

(Zaburi 53)

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

114:1 Za 10:4; Mwa 6:12; Rum 3:10; Mit 1:7, 22Mpumbavu anasema moyoni mwake,

“Hakuna Mungu.”

Wameharibika, matendo yao ni maovu kabisa;

hakuna hata mmoja atendaye mema.

214:2 Ay 41:34; Za 32:6; 85:11; 102:19; Ezr 6:21; Mao 3:50Bwana anawachungulia wanadamu chini

kutoka mbinguni

aone kama wako wenye akili,

wowote wanaomtafuta Mungu.

314:3 1Sam 8:3; 2Pet 2:7; 1Tim 5:15; 1Fal 8:46; Za 143:2; Mhu 7:20; Rum 3:10-12Wote wamepotoka,

wameharibika wote pamoja,

hakuna atendaye mema.

Naam, hakuna hata mmoja!

414:4 Za 17:2; 82:5; 79:6; Mik 3:3; Isa 64:7; 65:1; Yer 4:22; 10:25; Hos 7:7Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza:

wale ambao huwala watu wangu

kama watu walavyo mkate,

hao ambao hawamwiti Bwana?

5Wako hapo, wameingiwa na hofu kuu,

maana Mungu yupo pamoja na wenye haki.

614:6 2Sam 22:3Ninyi watenda mabaya mnakwamisha mipango ya maskini,

bali Bwana ndiye kimbilio lao.

714:7 Za 2:6; Yer 48:47; Kum 30:3Laiti wokovu wa Israeli

ungalikuja kutoka Sayuni!

Wakati Bwana arejeshapo

wafungwa wa watu wake,

Yakobo na ashangilie,

Israeli na afurahi!

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

诗篇 14:1-7

第14篇

世人的邪恶

大卫的诗,交给乐长。

1愚昧人心里想:“没有上帝。”

他们全然败坏,行为邪恶,

无人行善。

2耶和华从天上俯视人间,

要看有没有明智者,

有没有寻求上帝的人。

3人人偏离正道,

一同堕落;

无人行善,

连一个也没有!

4恶人吞吃我的百姓如同吃饭,

他们不求告耶和华。

难道他们都无知吗?

5但他们终必充满恐惧,

因为上帝在义人当中。

6你们恶人羞辱困苦人的计划,

但耶和华是他们的避难所。

7以色列的拯救来自锡安

耶和华救回祂被掳的子民时,

雅各要欢喜,以色列要快乐。