Zaburi 130 – NEN & NASV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 130:1-8

Zaburi 130

Kuomba Msaada

Wimbo wa kwenda juu.

1130:1 Ay 30:19Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.

2130:2 Za 27:7; 28:2, 6; 31:22; 86:6; 140:6; 2Nya 6:40Ee Bwana, sikia sauti yangu.

Masikio yako na yawe masikivu

kwa kilio changu unihurumie.

3130:3 1Sam 6:20; Ezr 9:15; Hes 1:6; Za 143:2; Ufu 6:17; Yn 8:7, 9; Rum 3:20Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi,

Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?

4130:4 Kut 34:7; Efe 1:7; 2Sam 24:14; Yer 17:5-6; 31:34; 1Fal 8:40; 2The 1:6; Za 37:2; Ebr 12:28Lakini kwako kuna msamaha,

kwa hiyo wewe unaogopwa.

5130:5 Isa 8:17; 26:8; 30:18; 49:23; Za 5:3; 119:74; 27:14Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea,

katika neno lake naweka tumaini langu.

6130:6 Za 63:6; 2Sam 23:4Nafsi yangu inamngojea Bwana

kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi,

naam, kuliko walinzi

waingojeavyo asubuhi.

7130:7 1Nya 21:13; Za 25:5; 71:14; 111:9; Rum 3:24; Isa 55:7Ee Israeli, mtumaini Bwana,

maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma,

na kwake kuna ukombozi kamili.

8130:8 Lk 1:68; Kut 34:7; Mt 1:21Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli

kutoka dhambi zao zote.

New Amharic Standard Version

መዝሙር 130:1-8

መዝሙር 130

ለርዳታ የቀረበ ጥሪ

መዝሙረ መዓርግ።

1እግዚአብሔር ሆይ፤ ከጥልቅ ወደ አንተ እጮኻለሁ።

2ጌታ ሆይ፤ ድምፄን ስማ፤

ጆሮዎችህ የልመናዬን ቃል፣

የሚያዳምጡ ይሁኑ።

3እግዚአብሔር ሆይ፤ ኀጢአትን ብትቈጣጠር፣

ጌታ ሆይ፤ ማን ሊቆም ይችላል?

4ነገር ግን በአንተ ዘንድ ይቅርታ አለ፤

ስለዚህም ልትፈራ ይገባሃል።

5እግዚአብሔርን ደጅ እጠናለሁ፤ ነፍሴም በትዕግሥት ትጠብቀዋለች፤

በቃሉም ተስፋ አደርጋለሁ።

6ዘብ ዐዳሪ ንጋትን ከሚጠባበቅ ይልቅ፣

አዎን፤ ዘብ ዐዳሪ ንጋትን ከሚጠባበቅ ይልቅ፣

ነፍሴ ጌታን ትጠባበቃለች።

7በእግዚአብሔር ዘንድ ምሕረት፣

በእርሱም ዘንድ ማዳን አለና፣

እስራኤል ሆይ፤ በእግዚአብሔር ተስፋ አድርግ።

8እርሱም እስራኤልን፣

ከኀጢአቱ ሁሉ ያድነዋል።