Zaburi 129 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 129:1-8

Zaburi 129

Maombi Dhidi Ya Adui Za Israeli

Wimbo wa kwenda juu.

1129:1 Kut 1:13; Eze 23:3; Za 88:15; 124:1; Hos 2:15Wamenionea mno tangu ujana wangu;

Israeli na aseme sasa:

2129:2 Yer 1:19; 15:20; 20:11wamenionea mno tangu ujana wangu,

lakini bado hawajanishinda.

3129:3 Ebr 11:26Wakulima wamelima mgongo wangu,

na kufanya mifereji yao mirefu.

4129:4 Kut 9:27; 2The 1:6; Za 37:9; 140:5Lakini Bwana ni mwenye haki;

amenifungua toka kamba za waovu.

5129:5 Mik 4:11; Za 70:2Wale wote waichukiao Sayuni

na warudishwe nyuma kwa aibu.

6129:6 Isa 37:27; 2Fal 19:26; Za 102:11; 37:2; Yer 17:5-6Wawe kama majani juu ya paa,

ambayo hunyauka kabla hayajakua;

7129:7 Kum 28:38; Za 79:12kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake,

wala akusanyaye kujaza mikono yake.

8129:8 Za 118:26; Rut 2:4Wale wapitao karibu na wasiseme,

“Baraka ya Bwana iwe juu yako;

tunakubariki katika jina la Bwana.”

New Russian Translation

Псалтирь 129:1-8

Псалом 129

Песнь восхождения.

1Из глубин взываю я к Тебе, Господи.

2Владыка, услышь мой голос,

будь внимателен к моим молениям.

3Если бы Ты, Господи, вел счет беззакониям,

то, о Владыка, кто бы устоял?

4Но у Тебя есть прощение;

пусть боятся Тебя.

5На Господа я надеюсь, надеется душа моя,

и на слово Его уповаю.

6Душа моя ждет Владыку

более, чем стражи — утра,

да, более, чем стражи — утра.

7Да уповает Израиль на Господа,

потому что у Господа — милость,

и великое искупление — у Него.

8Он избавит Израиль

от всех его беззаконий.129:8 См. Мат. 1:21.