Zaburi 126 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 126:1-6

Zaburi 126

Kurejezwa Kutoka Utumwani

Wimbo wa kwenda juu.

1126:1 Ezr 1:1-3; Za 85:1; Hos 6:11; Mdo 12:9Bwana alipowarejeza mateka Sayuni,

tulikuwa kama watu walioota ndoto.

2126:2 Mwa 21:6; Ay 8:21; Kum 10:21; Za 65:8; 71:19; Lk 1:49Vinywa vyetu vilijaa kicheko,

ndimi zetu zilijaa nyimbo za shangwe.

Ndipo iliposemwa miongoni mwa mataifa,

Bwana amewatendea mambo makuu.”

3126:3 Za 9:2; 16:11; 106:21; Yoe 2:21, 26Bwana ametutendea mambo makuu,

nasi tumejaa furaha.

4126:4 Kum 30:3; Za 107:35; Isa 43:19; 51:3Ee Bwana, turejeshee watu wetu waliotekwa,

kama vijito katika Negebu.

5126:5 Za 16:11; 20:5; 23:6; 6:6; 80:5; Yer 50:4; Gal 6:9; Isa 12:1-3; 35:10; 51:11; 60:15; 61:7; Yer 31:6-7, 12Wapandao kwa machozi

watavuna kwa nyimbo za shangwe.

6Yeye azichukuaye mbegu zake

kwenda kupanda, huku akilia,

atarudi kwa nyimbo za shangwe,

akichukua miganda ya mavuno yake.

New International Version

Psalms 126:1-6

Psalm 126

A song of ascents.

1When the Lord restored the fortunes of126:1 Or Lord brought back the captives to Zion,

we were like those who dreamed.126:1 Or those restored to health

2Our mouths were filled with laughter,

our tongues with songs of joy.

Then it was said among the nations,

“The Lord has done great things for them.”

3The Lord has done great things for us,

and we are filled with joy.

4Restore our fortunes,126:4 Or Bring back our captives Lord,

like streams in the Negev.

5Those who sow with tears

will reap with songs of joy.

6Those who go out weeping,

carrying seed to sow,

will return with songs of joy,

carrying sheaves with them.