Zaburi 120 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 120:1-7

Zaburi 120

Kuomba Msaada

Wimbo wa kwenda juu.

1120:1 2Sam 22:7; Za 18:1; 118:5Katika dhiki yangu namwita Bwana,

naye hunijibu.

2120:2 Za 31:18; 52:4Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo

na ndimi za udanganyifu.

3Atakufanyia nini,

au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?

4120:4 Kum 32:23Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa,

kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.

5120:5 Mwa 25:13; 2:10; Yer 2:10; 49:28; 1Sam 25:1Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki,

kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!

6Nimeishi muda mrefu mno

miongoni mwa wale wanaochukia amani.

7Mimi ni mtu wa amani;

lakini ninaposema, wao wanataka vita.

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

诗篇 120:1-7

第120篇

祈求上帝帮助

上圣殿朝圣之诗。

1我在患难中向耶和华祷告,

祂就应允了我。

2耶和华啊,求你救我脱离虚谎的嘴唇,

脱离诡诈的舌头。

3诡诈之徒啊!

你会受什么惩罚呢?

你会有什么下场呢?

4勇士的利箭和炙热的炭火会临到你。

5我寄居在米设

寄居在基达的帐篷间有祸了!

6我住在憎恶和平的人当中太久了。

7我热爱和平,

但我讲和平时,他们却要战争。