Zaburi 114 – NEN & NVI-PT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 114:1-8

Zaburi 114

Maajabu Ya Mungu Wakati Israeli Walipotoka Misri

1114:1 Kut 13:3; 29:46Wakati Israeli walipotoka Misri,

nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,

2114:2 Kut 15:17; Za 76:1; 78:68, 69Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu,

Israeli akawa milki yake.

3114:3 Kut 14:21; Za 77:16; Kut 15:8; Yos 3; 16Bahari ilitazama ikakimbia,

Yordani ulirudi nyuma,

4114:4 Amu 5:5milima ilirukaruka kama kondoo dume,

vilima kama wana-kondoo.

5114:5 Kut 14:21Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia,

nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,

6enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume,

enyi vilima, kama wana-kondoo?

7114:7 Kut 15:14; 1Nya 16:30Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana,

mbele za Mungu wa Yakobo,

8114:8 Kut 17:6; Hes 20:11aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji,

mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.

Nova Versão Internacional

Salmos 114:1-8

Salmo 114

1Quando Israel saiu do Egito

e a casa de Jacó saiu do meio de um povo de língua estrangeira,

2Judá tornou-se o santuário de Deus;

Israel, o seu domínio.

3O mar olhou e fugiu,

o Jordão retrocedeu;

4os montes saltaram como carneiros;

as colinas, como cordeiros.

5Por que fugir, ó mar?

E você, Jordão, por que retroceder?

6Por que vocês saltaram como carneiros, ó montes?

E vocês, colinas, porque saltaram como cordeiros?

7Estremeça na presença do Soberano, ó terra,

na presença do Deus de Jacó!

8Ele fez da rocha um açude,

do rochedo uma fonte.