Zaburi 112 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 112:1-10

Zaburi 112112 Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.

Baraka Za Mwenye Haki

1112:1 Za 33:2; 103:1; 150:1; 1:1, 2; Ay 1:8; Za 103:11; 115:13; 128:1; 1:2; 119:14, 16, 47, 92Msifuni Bwana.

Heri mtu yule amchaye Bwana,

mtu yule apendezwaye sana na amri zake.

2112:2 Za 25:13; 37:26; 128:2-4Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi,

kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.

3112:3 Kum 8:18; Za 37:6; 111:3Nyumbani mwake kuna mali na utajiri,

haki yake hudumu milele.

4112:4 Za 18:28; 5:12Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu,

yule mwenye rehema, huruma na haki.

5112:5 Za 37:21, 26; Lk 6:35Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba,

anayefanya mambo yake kwa haki.

6112:6 Za 15:5; 55:22; Mit 10:7; Mhu 2:16Hakika hatatikisika kamwe,

mtu mwenye haki atakumbukwa milele.

7112:7 Za 57:7; 108:1; 28:7; 56:3-4; Isa 12:2Hataogopa habari mbaya,

moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.

8112:8 Za 3:6; 27:1; 54:7; 56:11; Mit 1:33; Isa 12:2Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu,

mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.

9112:9 Lk 19:8; Mdo 9:36; 2Kor 9:9; Za 111:3; 75:10Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini;

haki yake hudumu milele;

pembe yake itatukuzwa kwa heshima.

10112:10 Za 86:17; 34:21; 37:12; Mt 8:12; Ay 8:13Mtu mwovu ataona na kuchukizwa,

atasaga meno yake na kutoweka,

kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.

Korean Living Bible

시편 112:1-10

하나님을 섬기는 사람의 복

1여호와를 찬양하라!

여호와를 두려워하며

그의 명령에 순종하기를

기뻐하는 자는 복이 있다.

2그의 자녀들이 땅에서

부강할 것이니

정직한 자의 후손들이

복을 받으리라.

3그의 집에는

부요와 재물이 있을 것이며

그의 의로운 행위는

영원히 남으리라.

4정직한 자에게는

흑암 가운데서도 빛이 비치니

그 빛은 어질고 인자하며

의로운 자를 위한 것이다.

5남에게 아낌없이 빌려 주며

자기 일을

정직하게 수행하는 자에게는

모든 일이 잘 될 것이다.

6그는 결코 흔들리지 않을 것이니

의로운 사람은 영원히 기억되리라.

7그는 불길한 소식을

두려워하지 않을 것이니

확실한 믿음을 가지고

여호와를 신뢰하기 때문이다.

8그는 마음이 든든하여

아무것도 두려워하지 않을 것이며

자기 원수들이 패하는 것을

끝내 보게 될 것이다.

9그가 가난한 사람들을

후하게 구제해 주었으니

그의 의로운 행위가

영원히 남을 것이며

112:9 원문에는 ‘그 뿔이 영화로이 들리리로다’그는 유력하고

존경받는 사람이 될 것이다.

10악인은 이것을 보고 분노하며

이를 갈면서 소멸될 것이니

악인의 희망은 좌절되리라.