Zaburi 111111 Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
Sifa Za Bwana Kwa Matendo Ya Ajabu
1111:1 Za 34:1; 109:30; 115:18; 145:10; 9:1; 89:7; 1:5Msifuni Bwana.
Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote,
katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
2111:2 Ay 36:24; Za 143:5; 64:9; Ufu 15:3Kazi za Bwana ni kuu,
wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
3111:3 Za 112:3, 9; 119:142Kazi zake zimejaa fahari na utukufu,
haki yake hudumu daima.
4111:4 Kum 4:31; Za 86:15Amefanya maajabu yake yakumbukwe,
Bwana ni mwenye neema na huruma.
5111:5 Mwa 1:30; Za 37:25; 103:11; 105:8; Mt 6:26, 31-33; 1Nya 16:15Huwapa chakula wale wanaomcha,
hulikumbuka agano lake milele.
6111:6 Za 64:9; 66:3; 105:44Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake,
akiwapa nchi za mataifa mengine.
7111:7 Za 92:4; 19:7; 119:128Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki,
mausia yake yote ni ya kuaminika.
8111:8 Za 119:89, 152, 160; Isa 40:8; Mt 5:18Zinadumu milele na milele,
zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.
9111:9 Za 34:22; 103:4; 130:7; 30:4; 99:3; Lk 1:68; 1:49Aliwapa watu wake ukombozi,
aliamuru agano lake milele:
jina lake ni takatifu na la kuogopwa.
10111:10 Ay 23:15; Kum 4:6; Za 19:9; 119:98, 104, 130; 28:6; 89:52Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima,
wote wanaozifuata amri zake wana busara.
Sifa zake zadumu milele.
Psalm 111This psalm is an acrostic poem, the lines of which begin with the successive letters of the Hebrew alphabet.
1Praise the Lord.111:1 Hebrew Hallelu Yah
I will extol the Lord with all my heart
in the council of the upright and in the assembly.
2Great are the works of the Lord;
they are pondered by all who delight in them.
3Glorious and majestic are his deeds,
and his righteousness endures forever.
4He has caused his wonders to be remembered;
the Lord is gracious and compassionate.
5He provides food for those who fear him;
he remembers his covenant forever.
6He has shown his people the power of his works,
giving them the lands of other nations.
7The works of his hands are faithful and just;
all his precepts are trustworthy.
8They are established for ever and ever,
enacted in faithfulness and uprightness.
9He provided redemption for his people;
he ordained his covenant forever—
holy and awesome is his name.
10The fear of the Lord is the beginning of wisdom;
all who follow his precepts have good understanding.
To him belongs eternal praise.