KITABU CHA KWANZA
(Zaburi 1–41)
Zaburi 1
Furaha Ya Kweli
11:1 Kum 33:29; Za 40:4; 26:9; 37:38; 51:13; 104:35; 26:4; 10:2-11; 128:4; 89:15; 81:12; Mwa 49:6; Isa 28:14; Hos 7:5; Ay 21:16; 11:3; 31:5; Mit 1:22; 4:14Heri mtu yule ambaye
haendi katika shauri la watu waovu,
wala hasimami katika njia ya wenye dhambi,
au kuketi katika baraza la wenye mizaha.
21:2 Za 19:7; 119:1, 16, 35; 112:1; Rum 7:22; Eze 11:20; 18:17; Mwa 24:63Bali huifurahia sheria ya Bwana,
naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.
31:3 Za 46:4; 65:9; 52:8; 92:12, 14; 128:2, 3; Yer 11:16; Zek 4:3; Hes 24:6; Ay 14:9; Eze 17:5; 47:12; Isa 1:30; 64:6; Mwa 39:3Mtu huyo ni kama mti uliopandwa
kando ya vijito vya maji,
ambao huzaa matunda kwa majira yake
na majani yake hayanyauki.
Lolote afanyalo hufanikiwa.
Huzuni Ya Waovu
41:4 Ay 13:25; Isa 40:24; Yer 13:24Sivyo walivyo waovu!
Wao ni kama makapi
yapeperushwayo na upepo.
51:5 Za 5:5; 26:12; 35:28; 82:1; 89:5; 107:32; 111:1; 149:1; Ay 19:29; 1:6; Za 37:18; 121:5; 145:20; 9:6; Nah 1:7; Law 26:38; Yn 1:41Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu,
wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki,
bali njia ya waovu itaangamia.
Första boken
(1—41)
Psalm 1
Den rättfärdiges lyckliga liv i kontrast till den gudlöses
1Lycklig är den som inte följer de ogudaktigas råd,
inte vandrar på syndares väg
eller sitter bland hädare.
2Han gläder sig i stället över Herrens lag
och reciterar den dag och natt.
3Han är som ett träd
som växer vid flodstranden,
som bär sin frukt i rätt tid
och vars löv aldrig vissnar.
Han lyckas med allt han gör.
4Men så är det inte med de gudlösa.
De skingras som agnar för vinden.
5Därför kan de gudlösa inte bestå på domens dag,
ej heller syndarna bland de rättfärdiga.
6För Herren vakar över de rättfärdigas väg,
men de gudlösas väg tar slut.