Yoshua 21 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 21:1-45

Miji Kwa Walawi

121:1 Yos 14:1; Hes 34:17; Yos 17:4; 24:33Basi viongozi wa jamaa ya Walawi, wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa jamaa nyingine za makabila ya Israeli 221:2 Yos 18:1; Hes 35:2-3; Law 25:2; Yos 14:4huko Shilo katika Kanaani na kuwaambia, “Bwana aliamuru kupitia Mose kuwa mtupe miji ya kuishi yenye sehemu za malisho kwa mifugo yetu.” 3Hivyo kama vile Bwana alivyoamuru, Waisraeli wakawapa Walawi miji ifuatayo pamoja na sehemu zake za malisho kutoka urithi wao wenyewe.

4Kura ya kwanza ikaangukia Wakohathi, ukoo kwa ukoo. Walawi waliokuwa wazao wa kuhani Aroni walipewa miji kumi na mitatu kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini. 5Wazao wengine waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za makabila ya Efraimu, Dani na nusu ya Manase.

621:6 Hes 3:17; Mwa 30:18; Yos 17:7Wazao wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kutoka koo za makabila ya Isakari, Asheri, Naftali na nusu ya Manase huko Bashani.

721:7 Kut 6:16; Yos 19:10Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.

821:8 Mwa 49:7; Hes 35:2-3; Yos 18:6; Mit 16:33Kwa hiyo Waisraeli wakawapa Walawi miji hii pamoja na sehemu zake za malisho, kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru kupitia kwa Mose.

9Kutoka makabila ya Yuda na Simeoni waligawa miji ifuatayo kwa majina 10(miji hii walipewa wazao wa Aroni ambao walitokana na koo za Wakohathi wa Walawi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):

1121:11 Yos 15:48-50Waliwapa Kiriath-Arba (yaani Hebroni), pamoja na sehemu zake za malisho zilizoizunguka, katika nchi ya vilima ya Yuda. (Arba alikuwa baba wa Anaki.) 1221:12 Yos 15:13Lakini mashamba na vijiji vilivyozunguka mji mkubwa walikuwa wamempa Kalebu mwana wa Yefune kuwa milki yake.

1321:13 Hes 35:6; 33:20; 1Nya 6:57Kwa hiyo wazao wa kuhani Aroni wakapewa Hebroni (mji mkuu wa makimbilio kwa ajili ya yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji), Libna, 1421:14 Yos 15:48-50; Kum 4:43; 1Fal 22:3Yatiri, Eshtemoa, 15Holoni, Debiri, 1621:16 Hes 34:11; Yos 15:55; 15:10Aini, Yuta na Beth-Shemeshi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji tisa kutoka kwa makabila haya mawili.

1721:17 Yos 9:3; Neh 11:31; 1Nya 6:55; Mwa 23:2; Yos 14:15; 2Sam 2:1-3; Lk 1:39Kutoka kabila la Benyamini wakawapa Gibeoni, Geba, 1821:18 2Sam 23:27; 1Fal 2:26; Ezr 2:23; Neh 7:27; 11:32; Isa 10:30; Yer 1:1; 11:21; 32:7; Yos 14:14Anathothi na Almoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

1921:19 2Nya 31:15; Yos 20:7-9; 15:54; Isa 37:8Miji yote waliyopewa makuhani, wazao wa Aroni, ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

20Koo nyingine za Wakohathi, ambao pia ni Walawi, walipewa miji kutoka kabila la Efraimu:

2121:21 Yos 17:7; 10:33; 20:7; Mwa 33:19; Amu 9:1; 1Fal 12:1Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji mkubwa wa makimbilio kwa yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji) na Gezeri, 2221:22 Yos 10:10; 1Sam 1:1Kibsaimu na Beth-Horoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

2321:23 Yos 19:44Pia kutoka kabila la Dani wakapokea Elteke, Gibethoni, 2421:24 Yos 10:12; 19:45Aiyaloni na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

2521:25 Yos 12:21Kutoka nusu ya kabila la Manase, wakapokea Taanaki na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili.

26Miji yote hii kumi pamoja na sehemu zake za malisho ilipewa koo za Wakohathi zilizobaki.

2721:27 Yos 12:5; Hes 35:6; Kum 4:43; 1Nya 6:71-76Koo za Walawi za Wagershoni walipewa:

kutoka nusu ya kabila la Manase,

Golani katika Bashani (mji mkuu wa makimbilio kwa yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji) na Beeshtera, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili;

2821:28 Mwa 30:18; Yos 19:20; 19:12kutoka kabila la Isakari walipewa,

Kishioni, Daberathi, 2921:29 Yos 10:3; 15:34Yarmuthi na En-Ganimu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

3021:30 Yos 17:7; 19:26-28kutoka kabila la Asheri walipewa,

Mishali, Abdoni, 3121:31 Yos 19:28Helkathi na Rehobu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

3221:32 Yos 12:22; Hes 35:6; Yos 12:22Kutoka kabila la Naftali walipewa,

Kedeshi katika Galilaya (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji), Hamoth-Dori na Kartani, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji mitano.

33Miji yote ya koo za Wagershoni ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

3421:34 Yos 19:10; 12:22Koo za Wamerari (Walawi waliobaki) walipewa:

kutoka kabila la Zabuloni,

Yokneamu, Karta, 3521:35 Yos 19:15Dimna na Nahalali, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

3621:36 Yos 20:8; Hes 21:23; Kum 2:32; Amu 11:20kutoka kabila la Reubeni walipewa

Bezeri, Yahasa, 3721:37 Yos 13:18Kedemothi na Mefaathi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

3821:38 Kum 4:43; Yos 12:2; Mwa 32:2kutoka kabila la Gadi walipewa,

Ramothi katika Gileadi (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa ajili ya mauaji), Mahanaimu, 3921:39 Yos 13:25Heshboni na Yazeri, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

40Miji yote waliyopewa koo za Wamerari, waliokuwa mabaki ya Walawi, ilikuwa ni kumi na miwili.

4121:41 Hes 35:7; Mwa 49:7; Kum 33:10Miji yote ya Walawi katika eneo lililoshikwa na Waisraeli lilikuwa arobaini na minane, pamoja na sehemu zake za malisho. 42Kila mmoja wa miji hii ulikuwa na sehemu ya malisho kuuzunguka; ndivyo ilivyokuwa kwa miji hii yote.

4321:43 Kum 34:4; 11:31; 17:14Kwa hiyo Bwana akawapa Israeli nchi yote aliyokuwa ameapa kuwapa baba zao, nao wakaimiliki na kukaa humo. 4421:44 Kut 33:14; Kum 6:19; Kut 23:31; Kum 21:10; 7:24Bwana akawapa pumziko kila upande, kama vile alivyokuwa amewaapia baba zao, hakuna hata mmoja wa adui zao aliyeweza kusimama mbele yao, Bwana akawatia adui zao wote mikononi mwao. 4521:45 Yos 23:14; Neh 9:8; Isa 49:7-8; Mt 24:35; Lk 21:33Hakuna hata mojawapo ya ahadi nzuri ya Bwana kwa nyumba ya Israeli ambayo haikutimia; kila moja ilitimia.

Bibelen på hverdagsdansk

Josvabogen 21:1-45

Levitternes byer

1De levitiske klaners overhoveder kom nu til Shilo med en anmodning til ypperstepræsten Eleazar, Josva og overhovederne for de øvrige stammer.

2„Herren talte til Moses om, at vi skulle have nogle byer at bo i og have græsmarker til vores husdyr,” sagde de.

3Derfor gav de øvrige stammer afkald på et antal byer med opland, som ved lodtrækning blev fordelt mellem levitterne. 4Det første lod faldt på Kehat-klanen. Arons slægt, som hørte til denne klan,21,4 Levi havde tre sønner: Gershon, Kehat og Merari (se 1.Mos. 46,11), og Aron var sønnesøn af Kehat (se 2.Mos. 6,18-20). Eleazar var søn af Aron. fik 13 byer, der oprindelig var blevet tildelt Judas, Simeons og Benjamins stammer. 5De øvrige slægter blandt kehattitterne fik 10 byer fra Efraims, Dans og Manasses halve stammes områder, 6mens Issakars, Ashers, Naftalis og Manasses halve stamme i Bashan overgav 13 byer til Gershon-klanen. 7Merari-klanen fik 12 byer af Rubens, Gads og Zebulons stammer. 8Herrens befaling til Moses var dermed fulgt. Alle disse byer med tilhørende græsmarker blev ved lodtrækning fordelt blandt levitterne.

9-16Af de 13 byer, som Arons slægt fik, var de ni fra Judas og Simeons områder. Først fik de Hebron med tilhørende græsmarker i Judas højland—tilflugtsbyen, som også kaldes Kirjat-Arba efter anakitten Anaks far. Men Kaleb af Judas stamme fik lov at beholde de øvrige marker,21,9-16 Præsterne måtte ikke dyrke jorden, men måtte gerne holde køer, får og geder. Derfor havde de brug for græsmarker, men ikke de øvrige marker, som kunne dyrkes med korn, vindruer eller frugttræer. som hørte til byen, samt de omliggende landsbyer. Arons slægt fik også Libna, Jattir, Eshtemoa, Holon, Debir, Ajin, Jutta og Bet-Shemesh—alle med tilhørende græsmarker.

17-18De øvrige fire byer var i Benjamins stammeområde: Gibeon, Geba, Anatot og Alemet. 19Præsterne, Arons efterkommere, fik altså i alt 13 byer med tilhørende græsmarker til deres husdyr.

20-22De øvrige familier fra Kehat-klanen fik af Efraims stamme følgende fire byer med tilhørende græsmarker: tilflugtsbyen Sikem i Efraims højland, Gezer, Kibsajim og Bet-Horon.

23-24Dans stamme afstod følgende fire byer med tilhørende græsmarker: Elteke, Gibbeton, Ajjalon og Gat-Rimmon.

25Manasses halve stamme afstod byerne Ta’anak og Jibleam.21,25 Den hebraiske kopi af teksten har fejlagtigt gentaget navnet Gat-Rimmon. 26Det var i alt 10 byer med tilhørende græsmarker, som blev afstået til resten af Kehat-klanen.

27De 13 byer med tilhørende græsmarker, som Gershon-klanen fik, lå i følgende stammeområder: Manasses halve stamme i Bashan afstod to byer: tilflugtsbyen Golan og Ashtarot.

28-29Issakars stamme afstod fire byer: Kishjon, Daberat, Jarmut og En-Gannim.

30-31Ashers stamme afstod også fire byer: Mishal, Abdon, Helkat og Rehob.

32-33Naftalis stamme afstod tre byer: tilflugtsbyen Kedesh i Galilæa, Hammot-Dor og Kartan.

34-35De 12 byer, som ved lodtrækning tilfaldt den sidste af levitternes klaner, Merari-klanen, lå i følgende stammeområder: Zebulons stamme afstod fire byer: Jokneam, Karta, Rimmona og Nahalal.

36-37Rubens stamme afstod også fire byer: Betzer, Jahatz, Kedemot og Mefa’at. 38-40Gads stamme afstod også fire byer: tilflugtsbyen Ramot i Gilead, Mahanajim, Heshbon og Jazer.

41-42På denne måde fik Levitterne i alt 48 byer med tilhørende græsmarker.

43Således fordelte Herren hele landet mellem Israels stammer, sådan som han havde lovet deres forfædre; og de slog sig ned i landet, efter at de havde taget det i besiddelse. 44Derefter gav Herren dem fred og ro i landet, sådan som han havde lovet; ingen kunne klare sig imod dem, for Herren overgav deres fjender til dem. 45Herren opfyldte alle de gode løfter, han havde givet sit folk. Det var ikke tomme ord, han havde talt!