Yona 2 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yona 2:1-10

Maombi Ya Yona Katika Tumbo La Nyangumi

1Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwomba Bwana Mungu wake. 22:2 Za 18:6; 120:1; 86:13; Mao 3:55Akasema:

“Katika shida yangu nalimwita Bwana,

naye akanijibu.

Kutoka kina cha kaburi2:2 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol. niliomba msaada,

nawe ukasikiliza kilio changu.

32:3 Za 88:6; 42:7; 2Sam 22:5Ulinitupa kwenye kilindi,

ndani kabisa ya moyo wa bahari,

mikondo ya maji ilinizunguka,

mawimbi yako yote na viwimbi

vilipita juu yangu.

42:4 Za 31:22; Yer 7:15; Isa 49:14; 1Fal 8:38, 48Nikasema, ‘Nimefukuziwa

mbali na uso wako,

hata hivyo nitatazama tena

kuelekea Hekalu lako takatifu.’

52:5 Za 69:1-2Maji yaliyonimeza yalinitisha,

kilindi kilinizunguka;

mwani2:5 Mwani hapa maana yake ni magugu yaotayo kwenye sakafu ya kilindi cha bahari. ulijisokota kichwani pangu.

62:6 Ay 28:9; 17:16; 33:18; Za 30:3Nilizama chini sana mpaka pande za mwisho za milima,

makomeo ya hiyo nchi yalinifungia hata milele.

Lakini uliuleta uhai wangu kutoka shimoni,

Ee Bwana Mungu wangu.

72:7 Za 11:4; 18:6; 77:11-12; 34:6; 130:2; Yer 2:13; 2Nya 30:27“Wakati uhai wangu ulipokuwa unatoka,

nilikukumbuka wewe, Bwana,

nayo maombi yangu yalikufikia wewe,

katika Hekalu lako takatifu.

82:8 1Sam 12:21; Yer 10:8; 2Fal 17:15; Za 31:6; Kum 32:21“Wale watu wanaongʼangʼana na sanamu zisizofaa

hupoteza neema ile ambayo ingekuwa yao.

92:9 Hos 14:2; Ebr 13:15; Hes 30:2; Kut 15:2; Za 50:14; 116:14; 66:13-15; 3:8; 42:4Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani,

nitakutolea dhabihu.

Lile nililowekea nadhiri nitalitimiza.

Wokovu watoka kwa Bwana.”

102:10 Yn 1:17; Mt 8:9Basi Bwana akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.

Священное Писание

Юнус 2:1-11

Молитва Юнуса

1А Вечный сделал так, что Юнуса проглотила огромная рыба, и Юнус пробыл в желудке рыбы три дня и три ночи. 2Находясь в желудке рыбы, Юнус помолился Вечному, своему Богу.

3Он сказал:

– В беде я к Вечному воззвал,

и Он ответил мне.

Из глубин мира мёртвых я закричал,

и Ты услышал мой крик.

4Ты в пучину меня вверг,

в самое сердце морей,

и потоки окружили меня.

Все Твои волны, все Твои валы

надо мной прошли.

5Я сказал: «Изгнан я от глаз Твоих;

однако я вновь увижу святой храм Твой».

6Воды надо мной сомкнулись,

бездна меня обступила,

и водоросли голову оплели.

7На дно, к основаниям гор я нисшёл,

засовы земли закрылись за мной навек,

но Ты, Вечный, Бог мой,

извлёк меня из могилы живым!

8Когда жизнь угасала во мне,

я вспомнил Вечного,

и дошла молитва моя к Тебе,

в святой храм Твой.

9Те, кто ничтожных идолов чтит,

лишились милости, что могли получить.

10А я с хвалебными песнями

буду жертвы Тебе приносить.

Что обещал, исполню.

Спасение – от Вечного!

11Тогда Вечный повелел огромной рыбе, и она изрыгнула Юнуса на сушу.