Yohana 18 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yohana 18:1-40

Yesu Akamatwa

(Mathayo 26:47-56; Marko 14:43-50; Luka 22:47-53)

118:1 2Sam 15:23; Mt 21:1; 26:36Yesu alipomaliza kuomba, akaondoka na wanafunzi wake wakavuka Bonde la Kidroni. Upande wa pili palikuwa na bustani, yeye na wanafunzi wake wakaingia humo.

218:2 Lk 21:37; 22:39Basi Yuda, yule aliyemsaliti alipafahamu mahali hapo kwani Yesu alikuwa akikutana humo na wanafunzi wake mara kwa mara. 318:3 Mt 26:47; Mk 14:43; Lk 22:47; Mdo 1:16Hivyo Yuda akaja bustanini. Aliongoza kikosi cha askari wa Kirumi, na baadhi ya maafisa kutoka kwa viongozi wa makuhani na Mafarisayo. Nao walikuwa wamechukua taa, mienge na silaha.

418:4 Yn 6:64; 13:1; 11; 19:28Yesu akijua yale yote yatakayompata, akajitokeza mbele yao akawauliza, “Mnamtafuta nani?”

518:5 Mk 1:4Wao wakamjibu, “Yesu wa Nazareti.”

Yesu akawajibu, “Mimi ndiye.” Yuda, yule aliyemsaliti alikuwa amesimama pamoja nao. 6Yesu alipowaambia, “Mimi ndiye,” walirudi nyuma na kuanguka chini!

718:7 Yn 18:4Akawauliza tena, “Mnamtafuta nani?”

Nao wakamjibu, “Yesu wa Nazareti.”

8Yesu akawaambia, “Nimekwisha kuwaambia kuwa, mimi ndiye; kwa hiyo kama mnanitafuta mimi, waacheni hawa watu waende zao.” 918:9 Yn 6:39; 17:12Hii ilikuwa ili litimie lile neno alilosema, “Sikumpoteza hata mmoja miongoni mwa wale ulionipa.”

1018:10 Mt 26:51; Mk 14:47; Lk 22:49, 50Simoni Petro, aliyekuwa na upanga, akaufuta na kumkata sikio la kuume mtumishi wa kuhani mkuu. Jina la mtumishi huyo aliitwa Malko.

1118:11 Mt 20:22Yesu akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako kwenye ala yake. Je, hainipasi kukinywea kikombe alichonipa Baba?”

Yesu Mbele Ya Kuhani Mkuu

1218:12 Yn 18:3Hivyo wale askari, wakiwa pamoja na majemadari wao na maafisa wa Wayahudi, wakamkamata Yesu na kumfunga. 1318:13 Yn 18:24; Mt 26:3Kwanza wakampeleka kwa Anasi, mkwewe Kayafa, aliyekuwa kuhani mkuu mwaka ule. 1418:14 Yn 11:49-51Kayafa ndiye alikuwa amewashauri Wayahudi kwamba imempasa mtu mmoja kufa kwa ajili ya watu.

Petro Anamkana Yesu

(Mathayo 26:69-70; Marko 14:55-64; Luka 22:66-71)

1518:15 Mt 26:3; 26:58; Mk 14:54Simoni Petro pamoja na mwanafunzi mwingine walikuwa wakimfuata Yesu. Huyu mwanafunzi mwingine alikuwa anafahamika kwa kuhani mkuu, hivyo aliingia ndani ya ukumbi pamoja na Yesu. 1618:16 Mt 26:69; Mk 14:66; Lk 22:54Lakini Petro alisimama nje karibu na lango, ndipo yule mwanafunzi mwingine, aliyejulikana na kuhani mkuu, akazungumza na msichana aliyekuwa analinda lango, akamruhusu Petro aingie ndani.

1718:17 Yn 17:25Yule msichana akamuuliza Petro, “Je, wewe pia si mmoja wa wanafunzi wa mtu huyu?”

Petro akajibu, “Sio mimi.”

1818:18 Yn 21:9; Mk 14:54, 67Wale watumishi na askari walikuwa wamesimama wakiota moto wa makaa kwa sababu palikuwa na baridi, Petro naye alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto.

Kuhani Mkuu Amhoji Yesu

19Wakati huo kuhani mkuu akawa anamuuliza Yesu kuhusu wanafunzi wake na mafundisho yake.

2018:20 Mt 4:23; 26:55; Yn 7:26Yesu akamjibu, “Nimekuwa nikizungumza waziwazi mbele ya watu wote. Siku zote nimefundisha katika masinagogi na Hekaluni, mahali ambapo Wayahudi wote hukusanyika. Sikusema jambo lolote kwa siri. 21Mbona unaniuliza mimi maswali? Waulize wale walionisikia yale niliyowaambia. Wao wanajua niliyosema.”

2218:22 Yer 20:2; Mdo 23:2; Mt 16:21Alipomaliza kusema hayo, mmoja wa askari aliyekuwa amesimama karibu naye, akampiga Yesu kofi usoni, kisha akasema, “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu kuhani mkuu?”

2318:23 Mt 5:39; Mdo 26:3Yesu akamjibu akasema, “Kama nimesema jambo baya, shuhudia huo ubaya niliousema. Lakini kama nimesema yaliyo kweli, mbona umenipiga?” 2418:24 Yn 18:13; Mt 26:3Ndipo Anasi akampeleka Yesu kwa kuhani mkuu Kayafa, akiwa bado amefungwa.

Petro Amkana Yesu Tena

(Mathayo 26:71-75; Marko 14:69-72; Luka 22:58-62)

2518:25 Yn 18:18; 18:17; Mt 26:69, 71; Mk 14:69; Lk 22:58Wakati huo Simoni Petro alikuwa amesimama akiota moto. Baadhi ya wale waliokuwepo wakamuuliza, “Je, wewe si mmoja wa wanafunzi wake?”

Petro akakana, akasema, “Sio mimi.”

2618:26 Yn 18:1; 10Mmoja wa watumishi wa kuhani mkuu, ndugu yake yule mtu ambaye Petro alikuwa amemkata sikio, akamuuliza, “Je, mimi sikukuona kule bustanini ukiwa na Yesu?” 2718:27 Yn 13:38Kwa mara nyingine tena Petro akakana, naye jogoo akawika wakati huo huo.

Yesu Apelekwa Kwa Pilato

(Mathayo 27:1-2, 11-14; Marko 15:1-5; Luka 23:1-5)

2818:28 Mt 27:2; Yn 18:33; 19:9; 11:55Ndipo Wayahudi wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa na kumpeleka kwenye jumba la kifalme la mtawala wa Kirumi.18:28 Jumba la mfalme la mtawala wa Kirumi lilikuwa linaitwa Praitorio. Wakati huo ilikuwa ni alfajiri, ili kuepuka kuwa najisi kwa taratibu za ibada, Wayahudi hawakuingia ndani kwa sababu ya sheria za Kiyahudi. Wangehesabiwa kuwa najisi kama wangeingia nyumbani mwa mtu asiye Myahudi na wasingeruhusiwa kushiriki katika Sikukuu ya Pasaka. 29Hivyo Pilato akatoka nje walikokuwa akawauliza, “Mmeleta mashtaka gani kumhusu mtu huyu?”

30Wao wakamjibu, “Kama huyu mtu hakuwa mhalifu tusingemleta kwako.”

31Pilato akawaambia, “Basi mchukueni ninyi mkamhukumu kwa kufuata sheria zenu.”

Wayahudi wakamjibu, “Sisi haturuhusiwi kutoa hukumu ya kifo kwa mtu yeyote.” 3218:32 Mt 20:19; 26:2Walisema hivyo ili yale maneno aliyosema Yesu kuhusu kifo atakachokufa yapate kutimia.

3318:33 Mt 27:11; Yn 19:9; Lk 23:3; Mt 2:2Kwa hiyo Pilato akaingia ndani ya jumba la kifalme, akamwita Yesu, akamuuliza, “Wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”

3418:34 Mt 16:13Yesu akamjibu, “Je, unauliza swali hili kutokana na mawazo yako mwenyewe, au uliambiwa na watu kunihusu mimi?”

3518:35 Yn 1:11; Mt 21:39Pilato akamjibu, “Mimi si Myahudi, ama sivyo? Taifa lako mwenyewe na viongozi wa makuhani wamekukabidhi kwangu. Umefanya kosa gani?”

3618:36 Mt 3:2; 26:53; Lk 17:21; Yn 6:51Yesu akajibu, “Ufalme wangu si wa ulimwengu huu. Ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, wafuasi wangu wangenipigania ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini kama ilivyo, ufalme wangu hautoki hapa ulimwenguni.”

3718:37 Yn 3:32; 8:47; 1Yn 4:6Pilato akamuuliza, “Kwa hiyo wewe ni mfalme?” Yesu akajibu, “Wewe wasema kwamba mimi ni mfalme. Kwa kusudi hili nilizaliwa, na kwa ajili ya hili nilikuja ulimwenguni, ili niishuhudie kweli. Mtu yeyote aliye wa kweli husikia sauti yangu.”

3818:38 Lk 23:4-6Pilato akamuuliza Yesu, “Kweli ni nini?” Baada ya kusema haya Pilato akaenda nje tena akawaambia wale viongozi wa Wayahudi waliomshtaki Yesu, “Sioni kosa lolote alilotenda mtu huyu. 3918:39 Mt 27:15; Mk 15:6; Lk 23:19Lakini ninyi mna desturi yenu kwamba wakati wa Pasaka nimwachie huru mfungwa mmoja mnayemtaka. Je, mnataka niwafungulie huyu ‘Mfalme wa Wayahudi’?”

4018:40 Mdo 3:14Wao wakapiga kelele wakisema, “Si huyu mtu, bali tufungulie Baraba!” Yule Baraba alikuwa mnyangʼanyi.

New Russian Translation

Иоанна 18:1-40

Иисус предан и арестован

(Мат. 26:47-56; Мк. 14:43-50; Лк. 22:47-53)

1Сказав это, Иисус пошел со Своими учениками на другую сторону Кедронской долины, где был сад, в который они и вошли. 2Предатель Иуда знал это место, так как Иисус часто собирался там со Своими учениками. 3Поэтому Иуда привел туда с собой отряд римских воинов, а также слуг, посланных первосвященниками и фарисеями. Они пришли с фонарями, факелами и оружием. 4Иисус знал все, что должно было с Ним произойти. Он вышел вперед и спросил:

– Кого вы ищете?

5– Иисуса из Назарета, – ответили те.

– Это Я18:5 Букв.: «Я есть» (ср. Исх. 3:14); также в ст. 6, 8., – сказал Иисус.

Предатель Иуда тоже стоял с ними. 6Когда Иисус сказал: «Это Я», они отступили назад и упали на землю.

7Он опять спросил их:

– Кого вы ищете?

– Иисуса из Назарета, – сказали они.

8– Я же вам сказал, что это Я, – ответил Иисус. – Если вы ищете Меня, то отпустите остальных.

9Он сказал это, чтобы исполнились Его слова: «Я не потерял никого из тех, кого Ты дал Мне»18:9 См. 6:39; 17:12..

10У Симона Петра был меч, он выхватил его, ударил слугу первосвященника и отсек ему правое ухо. Слугу звали Малх. 11Тогда Иисус сказал Петру:

– Вложи меч в ножны! Разве Я не должен выпить чашу, которую дал Мне Отец?

Иисус на допросе у Анны

(Мат. 26:57; Мк. 14:53-54; Лк. 22:54)

12Отряд римских воинов, их командир и иудейские стражники арестовали Иисуса и связали Его. 13Они привели Его вначале к Анне. Анна был тестем Кайафы, который был в тот год первосвященником18:13 Анна был первосвященником в период с 6 по 15 гг. и не утратил своего влияния и после этого. А его зять Кайафа занимал этот пост с 18 по 36 гг.. 14Это был Кайафа, который убеждал иудеев, что будет лучше, если один человек умрет за народ18:14 См. 11:49-51..

Первое отречение Петра

(Мат. 26:69-70; Мк. 14:66-68; Лк. 22:54-57)

15Симон Петр и еще один ученик шли следом за Иисусом. Первосвященник знал этого ученика, и поэтому тот смог пройти с Иисусом во двор, 16а Петр остался снаружи у ворот. Ученик, который был знаком первосвященнику, вышел, поговорил с привратницей и провел Петра внутрь.

17– Ты случайно не один из учеников Этого Человека? – спросила привратница.

– Нет, – ответил Петр.

18Было холодно. Слуги и стражники разложили костер и грелись у него. Петр тоже стоял у костра и грелся.

Иисус на допросе у Анны

19Тем временем первосвященник допрашивал Иисуса о Его учениках и учении.

20– Я открыто говорил миру, – отвечал Иисус, – Я всегда учил в синагогах или в храме, там, где собираются все иудеи. Тайного Я ничего не говорил. 21Зачем ты Меня допрашиваешь? Спроси тех, кто Меня слушал, они наверняка знают, что Я говорил.

22Когда Иисус это сказал, один из стоявших поблизости служителей ударил Иисуса по лицу.

– Ты как разговариваешь с первосвященником! – возмутился он.

23– Если Я сказал что-то не так, то укажи, что не так, – ответил Иисус. – Если же Я прав, то зачем ты бьешь Меня?

24Анна отослал Иисуса связанным к первосвященнику Кайафе.

Второе и третье отречение Петра

(Мат. 26:71-75; Мк. 14:69-72; Лк. 22:58-62)

25Симон Петр все стоял и грелся у костра, когда его еще раз спросили:

– Ты случайно не один из Его учеников?

Петр отрицал.

– Нет, – сказал он.

26Тогда один из слуг первосвященника, родственник того, которому Петр отсек ухо, сказал:

– Разве не тебя я видел с Ним в саду?

27Петр снова стал все отрицать, и в этот момент пропел петух.

Иисус на допросе у Пилата

(Мат. 27:11-14; Мк. 15:2-5; Лк. 23:2-5)

28От Кайафы Иисуса повели в резиденцию наместника. Было раннее утро, и иудеи, опасаясь оскверниться, не вошли в здание, иначе они не смогли бы потом есть пасхальный ужин18:28 Как такового запрета входить в дома, принадлежащие не иудеям, в Законе нет. Этот запрет (см. Деян. 10:28) был дан иудеям их религиозными учителями. Говоря же о праздничном ужине, надо помнить, что часто, когда иудеи говорили о Пасхе, они имели в виду и сам праздник Пасхи, и следующий за ним праздник Пресных хлебов (см. Лк. 22:1).. 29Поэтому Пилат18:29 Пилат – Понтий Пилат был римским наместником в Иудее с 26 по 36 гг. вышел к ним.

– В чем вы обвиняете Этого Человека? – спросил он.

30– Не будь Он преступником, мы бы не привели Его к тебе, – ответили они.

31Пилат сказал:

– Берите Его сами и судите по вашему Закону.

– Но у нас нет права никого казнить, – возразили иудеи.

32Так должны были исполниться слова Иисуса о том, какой смертью Он умрет18:32 То есть смерть на кресте (см. 3:14; 8:28; 12:32). Крест был римским орудием казни. Иудеи же, если бы имели на то право от римских властей, скорее всего, побили бы Иисуса камнями (см. Лев. 24:16).. 33Тогда Пилат вошел внутрь своей резиденции, вызвал Иисуса и спросил Его:

– Ты Царь иудеев?

34– Ты это от себя говоришь, или тебе обо Мне сказали другие? – спросил в ответ Иисус.

35– Я что, иудей? – ответил Пилат. – Это Твой народ и первосвященники передали Тебя мне. Что Ты сделал?

36Иисус сказал:

– Царство Мое – не одно из царств этого мира. Если бы оно было таким, то Мои подданные сражались бы за Меня, чтобы Я не был передан иудеям. Но сейчас Мое Царство не отсюда.

37– Так значит, Ты все-таки Царь? – спросил Пилат.

– Ты сам говоришь, что Я Царь, – ответил Иисус. – Я родился и пришел в мир, чтобы свидетельствовать об истине. Всякий, кто на стороне истины, слушает Меня.

38Пилат спросил:

– Что есть истина?

Потом он опять вышел к иудеям и сказал:

– Я не нахожу в Нем никакой вины.

Пилат осуждает Иисуса на распятие

(Мат. 27:15-31; Мк. 15:6-20; Лк. 23:13-25)

39– У вас есть обычай, чтобы я на Пасху отпускал на свободу одного из заключенных. Хотите, чтобы я отпустил вам «Царя иудеев»?

40Они в ответ закричали:

– Нет! Не Его! Отпусти нам Варавву!18:40 Это имя переводится как «сын отца».

Варавва же был мятежником18:40 Или: «разбойником»..