Wimbo 2 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Wimbo 2:1-17

Mpendwa

12:1 1Nya 27:29; Hos 14:5; Wim 5:13; Isa 55:1Mimi ni ua la Sharoni,

yungiyungi ya bondeni.

Mpenzi

2Kama yungiyungi katikati ya miiba

ndivyo alivyo mpenzi wangu katikati ya wanawali.

Mpendwa

32:3 Mwa 3:6; Wim 1:4, 14; 4:16Kama mti wa mtofaa miongoni mwa miti ya msituni

ndivyo alivyo mpenzi wangu

miongoni mwa wanaume vijana.

Ninafurahia kuketi kivulini mwa mwanaume huyu,

na tunda lake ni tamu kwangu.

42:4 Es 1:11; Hes 1:52Amenichukua mpaka kwenye ukumbi wa karamu,

na bendera ya huyu mwanaume

juu yangu ni upendo.

52:5 Wim 7:8; 5:8Nitie nguvu kwa zabibu kavu,

niburudishe kwa matofaa,

kwa maana ninazimia kwa mapenzi.

62:6 Wim 8:3Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu,

na mkono wake wa kuume unanikumbatia.

72:7 Wim 5:8; 3:5; 8:4Binti za Yerusalemu, ninawaagiza

kwa paa na kwa ayala wa shambani:

Msichochee wala kuamsha mapenzi

hata yatakapotaka yenyewe.

Shairi La Pili

Mpendwa

82:8 Wim 8:14Sikiliza! Mpenzi wangu!

Tazama! Huyu hapa anakuja,

akirukaruka juu milimani

akizunguka juu ya vilima.

92:9 2Sam 2:18; Wim 8:14Mpenzi wangu ni kama paa au ayala kijana.

Tazama! Anasimama nyuma ya ukuta wetu,

akitazama kupitia madirishani,

akichungulia kimiani.

10Mpenzi wangu alizungumza na kuniambia,

“Inuka, mpenzi wangu,

mrembo wangu, tufuatane.

11Tazama! Wakati wa masika umepita,

mvua imekwisha na ikapita.

12Maua yanatokea juu ya nchi;

majira ya kuimba yamewadia,

sauti za njiwa zinasikika

katika nchi yetu.

132:13 Nah 3:12; Wim 7:122:13 Mik 7:1; Isa 28:4; Yer 24:2; Hos 9:10Mtini unatunga matunda yake ya mwanzoni,

zabibu zinazochanua zaeneza harufu nzuri.

Inuka, njoo mpenzi wangu.

Mrembo wangu, tufuatane.”

Mpenzi

142:14 Wim 8:13; Mwa 8:8; Wim 1:15Hua wangu penye nyufa za majabali,

mafichoni pembezoni mwa mlima,

nionyeshe uso wako,

na niisikie sauti yako,

kwa maana sauti yako ni tamu,

na uso wako unapendeza.

152:15 Amu 15:4; Wim 7:12; Eze 13:4; Za 80:13Tukamatie mbweha,

mbweha wale wadogo

wanaoharibu mashamba ya mizabibu,

mashamba yetu ya mizabibu yaliyochanua.

Mpendwa

162:16 Wim 7:10; 4:5; 6:3Mpenzi wangu ni wangu, nami ni wake,

yeye hujilisha katikati ya yungiyungi.

172:17 Wim 4:6; 1:14; Rum 13:12Mpaka jua linapochomoza,

na vivuli vikimbie,

rudi, mpenzi wangu,

na uwe kama paa,

au kama ayala kijana

juu ya vilima vya Betheri.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

雅歌 2:1-17

女子:

1我是沙崙平原的玫瑰花,

是谷中的百合花。

男子:

2我的愛人在眾少女中,

就像荊棘中的一朵百合花。

女子:

3我的良人在眾男子中,

好像林中的一棵蘋果樹。

我歡歡喜喜地坐在他的樹蔭下,

輕嚐他香甜無比的果子。

4他帶我走進宴席大廳,

眾人都看見他對我充滿柔情愛意。

5請用葡萄乾來補充我的力氣,

用蘋果來提振我的精神,

因為我思愛成病。

6他的左手扶著我的頭,

他的右手緊抱著我。

7耶路撒冷的少女啊!

我指著羚羊和田野的母鹿2·7 羚羊和田野的母鹿」在希伯來文中與「萬軍之全能上帝」發音相似。吩咐你們,

不要叫醒或驚動愛情,

等它自發吧。

8聽啊!是我良人的聲音,

他攀過高崗,躍過山丘,

終於來了!

9我的良人好像羚羊和幼鹿。

看啊,他就在牆外,

正從窗戶往裡觀看,

從窗櫺間往裡窺視。

10他對我說:

「我的愛人,起來吧!

我的佳偶,跟我來!

11你看!冬天過去了,

雨水止住了。

12大地百花盛開,

百鳥爭鳴的季節已經來臨,

田野也傳來斑鳩的叫聲。

13無花果快成熟了,

葡萄樹也開滿了花,

散發著陣陣芬芳。

我的愛人,起來吧;

我的佳偶,跟我來。」

男子:

14我的鴿子啊,

你在岩石縫中,

在懸崖的隱秘處。

讓我看看你的臉,

聽聽你的聲音吧,

因為你的聲音溫柔,

你的臉龐秀麗。

15為我們抓住那些狐狸,

抓住那些破壞葡萄園的小狐狸吧,

因為我們的葡萄樹正在開花。

女子:

16我的良人屬於我,我也屬於他。

他在百合花間牧放羊群。

17我的良人啊,

涼風吹起、日影飛逝的時候,

但願你像比特山的羚羊和小鹿一樣快快回來。