Warumi 5 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

Warumi 5:1-21

Matokeo Ya Kuhesabiwa Haki

15:1 Rum 3:28; Isa 32:17; Yn 16:33Kwa hiyo, kwa kuwa tumekwisha kuhesabiwa haki kwa imani, tuna amani na Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo, 25:2 Efe 2:18; 3:12; 1Kor 15:1; Ebr 3:5; Mt 5:12ambaye kwa kupitia kwake tumepata kwa njia ya imani kuifikia neema hii ambayo ndani yake sasa tunasimama, nasi twafurahia katika tumaini letu la kushiriki utukufu wa Mungu. 35:3 Ebr 10:36; Yak 1:2-3; Ebr 3:6; 1Yn 3:2-3; Mdo 10:43Si hivyo tu, bali twafurahi pia katika mateso, kwa sababu tunajua kuwa mateso huleta saburi, 45:4 Yak 1:12nayo saburi huleta uthabiti wa moyo, na uthabiti wa moyo huleta tumaini, 55:5 Flp 1:20; Ebr 3:6; Yn 3:2, 3; Rum 5:8; Yn 3:16; Rum 8:39; Tit 3:3, 6wala tumaini halitukatishi tamaa, kwa sababu Mungu amekwisha kumimina pendo lake mioyoni mwetu kwa njia ya Roho Mtakatifu ambaye ametupatia.

65:6 Mk 1:15; Efe 1:10; Rum 4:25Kwa maana hata tulipokuwa dhaifu, wakati ulipowadia, Kristo alikufa kwa ajili yetu sisi wenye dhambi. 7Hakika, ni vigumu mtu yeyote kufa kwa ajili ya mwenye haki, ingawa inawezekana mtu akathubutu kufa kwa ajili ya mtu mwema. 85:8 Yn 3:16; 1Yn 4:10Lakini Mungu anaudhihirisha upendo wake kwetu kwamba: Tulipokuwa tungali wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.

95:9 Rum 3:25; Kum 1:18Basi, kwa kuwa sasa tumehesabiwa haki kwa damu yake, si zaidi sana tutaokolewa kutoka ghadhabu ya Mungu kupitia kwake! 105:10 Rum 11:28; 1Kor 1:21; 2Kor 5:18, 19; Kol 1:20, 22; Ebr 7:25Kwa kuwa kama tulipokuwa adui wa Mungu tulipatanishwa naye kwa njia ya kifo cha Mwanawe, si zaidi sana tukiisha kupatanishwa, tutaokolewa kwa uzima wake. 115:11 Rum 5:10; 2:17; 3:29, 30; Gal 4:9Lakini zaidi ya hayo, pia tunafurahi katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia kwake tumepata upatanisho.

Adamu Alileta Kifo, Yesu Ameleta Uzima

125:12 Mwa 3:1-7; 1Kor 15:21, 22; Mwa 3:19; Rum 6:23Kwa hiyo kama vile dhambi ilivyoingia ulimwenguni kupitia kwa mtu mmoja, na kupitia dhambi hii mauti ikawafikia watu wote, kwa sababu wote wamefanya dhambi: 135:13 Rum 4:15kwa maana kabla sheria haijatolewa, dhambi ilikuwepo ulimwenguni. Lakini dhambi haihesabiwi wakati hakuna sheria. 145:14 1Kor 15:22, 45Hata hivyo, tangu wakati wa Adamu hadi wakati wa Mose, mauti ilitawala watu wote, hata wale ambao hawakutenda dhambi kwa kuvunja amri, kama alivyofanya Adamu, ambaye alikuwa mfano wa yule atakayekuja.

155:15 Mdo 15:11Lakini ile karama iliyotolewa haikuwa kama lile kosa. Kwa maana ikiwa watu wengi walikufa kwa sababu ya kosa la mtu mmoja, zaidi sana neema ya Mungu na ile karama iliyokuja kwa neema ya mtu mmoja, yaani, Yesu Kristo, imezidi kuwa nyingi kwa ajili ya wengi. 16Tena, ile karama ya Mungu si kama matokeo ya ile dhambi. Hukumu ilikuja kwa njia ya mtu mmoja, ikaleta adhabu, bali karama ya neema ya Mungu ilikuja kwa njia ya makosa mengi, ikaleta kuhesabiwa haki. 17Kwa maana ikiwa kutokana na kosa la mtu mmoja, mauti ilitawala kupitia huyo mtu mmoja, zaidi sana wale wanaopokea wingi wa neema ya Mungu na karama yake ya kuhesabiwa haki, watatawala katika uzima kwa njia ya huyo mtu mmoja, yaani, Yesu Kristo.

185:18 Rum 4:25Kwa hiyo, kama vile kosa la mtu mmoja lilivyoleta adhabu kwa watu wote, vivyo hivyo pia kwa tendo la haki la mtu mmoja lilileta kuhesabiwa haki ambako huleta uzima kwa wote. 195:19 Flp 2:8Kwa maana kama vile kwa kutokutii kwa yule mtu mmoja wengi walifanywa wenye dhambi, vivyo hivyo kwa kutii kwa mtu mmoja wengi watafanywa wenye haki.

205:20 Rum 3:20; Gal 3:19; Rum 6:1; 1Tim 1:13, 14Zaidi ya hayo, sheria ilikuja, ili uvunjaji wa sheria uongezeke. Lakini dhambi ilipoongezeka, neema iliongezeka zaidi, 215:21 Rum 6:16ili kwamba kama vile dhambi ilivyotawala kwa njia ya mauti, vivyo hivyo neema iweze kutawala kwa njia ya kuhesabiwa haki hata kuleta uzima wa milele katika Yesu Kristo Bwana wetu.

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

罗马书 5:1-21

与上帝和好

1我们既然因信被称为义人,就借着我们的主耶稣基督与上帝和好了。 2我们又靠着祂,借着信进入现在所站的这恩典中,欢欢喜喜地盼望分享上帝的荣耀。 3不但如此,我们在苦难中也欢喜,因为知道苦难使人生忍耐, 4忍耐生品格,品格生盼望。 5这种盼望不会落空,因为上帝的爱借着所赐给我们的圣灵已倾注在我们心中。

6当我们还软弱无助的时候,基督就在所定的日期为罪人死了。 7为义人死,是罕见的;为好人死,也许有敢做的; 8但基督却在我们还做罪人的时候为我们死!上帝的爱就这样显明了。

9现在,我们既然因基督所流的血被称为义人,岂不更要靠着祂免受上帝的烈怒吗? 10我们如果还与上帝为敌的时候,尚且可以借着祂儿子的死亡与祂和好,和好之后岂不更要借着祂儿子的生命得到拯救吗? 11不但如此,我们借着主耶稣基督与上帝和好之后,还要借着祂以上帝为乐。

亚当与基督

12因此,罪怎样从一个人进入世界并带来死亡,死亡也怎样临到世人,因为世人都犯了罪。 13没有律法之前,罪已经在世上;但没有律法,罪也不算为罪。 14其实,从亚当摩西的时代,死亡一直辖制着人类,甚至连那些不与亚当犯同样罪的人也不能幸免。亚当是将要来的那位的预表。

15然而,上帝的洪恩远超过亚当的过犯。若因这一人的过犯,众人都要死亡,那么上帝的恩典,也就是通过耶稣基督一人所赐的恩典,岂不要更丰富地临到众人吗? 16再者,上帝的恩赐不同于一人犯罪的后果。因为随一人犯罪而来的审判使人被定罪,随累累过犯而来的恩赐使人被称为义人。 17若因一人的过犯,死亡就借着这人做了王,那么接受上帝洪恩又得到祂所赐之义的人,岂不更要借着耶稣基督一人在生命中做王吗?

18如此说来,因为一次过犯,众人都被定罪;照样,因为一次义行,众人都被称为义人,得到生命。 19因为一人的悖逆,众人成为罪人;照样,因为一人的顺服,众人将被称为义人。 20律法的颁布,使过犯更多地显出来,只是哪里的罪越多,哪里的恩典就越丰富。 21所以,罪怎样掌权带来死亡5:21 “罪怎样掌权带来死亡”或译“罪怎样借着死亡掌权”。,恩典也照样借着义掌权,为要借着我们主耶稣基督带来永生。