Warumi 4 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

Warumi 4:1-25

Abrahamu Alihesabiwa Haki Kwa Imani

14:1 Rum 8:31; Lk 3:8Tuseme nini basi, kuhusu Abrahamu baba yetu kwa jinsi ya mwili: yeye alipataje kujua jambo hili? 24:2 1Kor 13:1; Mdo 13:20; 27:28Kwa maana ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa matendo, basi, anacho kitu cha kujivunia, lakini si mbele za Mungu. 34:3 Mwa 15:6; Yak 2:23Kwa maana Maandiko yasemaje? “Abrahamu alimwamini Mungu na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”

44:4 Rum 11:6Basi mtu afanyapo kazi, mshahara wake hauhesabiwi kwake kuwa ni zawadi, bali ni haki yake anayostahili. 54:5 Yos 24:2Lakini kwa mtu ambaye hafanyi kazi na anamtumaini Mungu, yeye ambaye huwahesabia waovu haki, imani yake inahesabiwa kuwa haki. 64:6 Za 32:1, 2Daudi pia alisema vivyo hivyo aliponena juu ya baraka za mtu ambaye Mungu humhesabia haki pasipo matendo:

74:7 Za 32:1, 2“Wamebarikiwa wale

ambao wamesamehewa makosa yao,

ambao dhambi zao zimefunikwa.

84:8 Za 103:12; 2Kor 5:19Heri mtu yule

Bwana hamhesabii dhambi zake.”

Haki Kabla Ya Tohara

94:9 Rum 3:30Je, huku kubarikiwa ni kwa wale waliotahiriwa peke yao, au pia na kwa wale wasiotahiriwa? Tunasema, “Imani ya Abrahamu ilihesabiwa kwake kuwa haki.” 104:10 Rum 8:7Je, ni lini basi ilipohesabiwa kwake kuwa haki? Je, ilikuwa kabla au baada ya kutahiriwa kwake? Haikuwa baada, ila kabla hajatahiriwa. 114:11 Mwa 17:10, 11; Lk 3:8; 19:9; Rum 3:22Alipewa ishara ya tohara kuwa muhuri wa haki aliyokuwa nayo kwa imani hata alipokuwa bado hajatahiriwa. Kusudi lilikuwa kumfanya baba wa wote wale waaminio pasipo kutahiriwa na ambao wamehesabiwa haki. 124:12 Mwa 2:17; 3:19; Rum 6:23Vivyo hivyo awe baba wa wale waliotahiriwa ambao si kwamba wametahiriwa tu, bali pia wanafuata mfano wa imani ambayo Baba yetu Abrahamu alikuwa nayo kabla ya kutahiriwa.

Ahadi Ya Mungu Hufahamika Kwa Imani

134:13 Mdo 13:32; Gal 3:16, 29; Mwa 17:4-6Kwa maana ile ahadi kwamba angeurithi ulimwengu haikuja kwa Abrahamu au kwa wazao wake kwa njia ya sheria bali kwa njia ya haki ipatikanayo kwa imani. 144:14 Gal 3:18Kwa maana ikiwa wale waishio kwa sheria ndio warithi, imani haina thamani na ahadi haifai kitu, 154:15 2Kor 3:7kwa sababu sheria huleta ghadhabu. Mahali ambapo hakuna sheria hakuna makosa.

164:16 Rum 3:24; 15:8Kwa hiyo, ahadi huja kwa njia ya imani, ili iwe ni kwa neema, na itolewe kwa wazao wa Abrahamu, si kwa wale walio wa sheria peke yao, bali pia kwa wale walio wa imani ya Abrahamu. Yeye ndiye baba yetu sisi sote. 174:17 Mwa 17:5; Yn 5:21; Isa 48:13; 1Kor 1:28Kama ilivyoandikwa: “Nimekufanya wewe kuwa baba wa mataifa mengi.” Yeye ni baba yetu mbele za Mungu, ambaye yeye alimwamini, yule Mungu anaye fufua waliokufa, na kuvitaja vile vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.

Mfano Wa Imani Ya Abrahamu

184:18 Mwa 15:5Akitarajia yasiyoweza kutarajiwa, Abrahamu akaamini, akawa baba wa mataifa mengi, kama alivyoahidiwa kwamba, “Uzao wako utakuwa mwingi mno.” 194:19 Ebr 11:11, 12; Mwa 17:17; 18:11; Mt 9:8Abrahamu hakuwa dhaifu katika imani hata alipofikiri juu ya mwili wake, ambao ulikuwa kama uliokufa, kwani umri wake ulikuwa unakaribia miaka mia moja, au alipofikiri juu ya ufu wa tumbo la Sara. 204:20 1Sam 30:6; Mt 9:8; Rum 4:15; Gal 3:19Lakini Abrahamu hakusitasita kwa kutokuamini ahadi ya Mungu, bali alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu utukufu, 214:21 Mwa 18:14; Ebr 11:9akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kutimiza lile aliloahidi. 224:22 Rum 1:17; 9:30; Gal 2:16; 3:22Hii ndio sababu, “ilihesabiwa kwake kuwa haki.” 234:23 Rum 3:9; Mdo 15; 4; 1Kor 10:6, 11Maneno haya “ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake, 244:24 Hab 2:2; 1Kor 10:11; Rum 10:9; 1Pet 1:21; Mdo 2:24bali kwa ajili yetu sisi pia ambao Mungu atatupa haki, sisi tunaomwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu. 254:25 Isa 53:5, 6; 2Kor 5:21Alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu, naye alifufuliwa kutoka mauti ili tuhesabiwe haki.

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

罗马书 4:1-25

亚伯拉罕的榜样

1那么,从我们的先祖亚伯拉罕身上,我们学到什么呢? 2亚伯拉罕如果是因行为而被称为义人,就可以夸口了,但他在上帝面前没有可夸的。 3圣经上不是说“亚伯拉罕信上帝,就被算为义人”4:3 创世记15:6吗? 4人工作得来的工钱不算是恩典,是应得的。 5但人不靠行为,只信称不敬虔之人为义人的上帝,他就因信而被算为义人。 6大卫也说不靠行为被上帝算为义人的人有福了,他说: 7“过犯得到赦免、罪恶被遮盖的人有福了。 8不被主算为有罪的人有福了。”4:8 诗篇32:12

9那么,这种福分只给受割礼的人吗?还是也给没有受割礼的人呢?因为我们说,亚伯拉罕信上帝,就被算为义人。 10他究竟是怎么被算为义人的呢?是他受割礼以前呢?还是以后呢?不是以后,而是以前。 11他后来受割礼只不过是一个记号,表明他在受割礼前已经因信被称为义人了。他因此成为一切未受割礼的信徒之父,使这些信徒也可以被算为义人。 12他也做了受割礼之人的父,这些人不只是受了割礼,还跟随我们先祖亚伯拉罕的脚步,效法他在未受割礼时的信心。

13上帝应许将世界赐给亚伯拉罕和他的子孙,不是因为亚伯拉罕遵行了律法,而是因为他因信被称为义人。 14如果只有遵行律法的人才可以承受应许,信心就没有价值,上帝的应许也就落了空。 15因为有律法,就有刑罚;哪里没有律法,哪里就没有违法的事。 16所以,上帝的应许是借着人的信心赐下的,好叫这一切都是出于上帝的恩典,确保应许归给所有亚伯拉罕的子孙,不单是律法之下的人,也包括一切效法亚伯拉罕信心的人。 17亚伯拉罕在上帝面前是我们所有人的父,正如圣经上说:“我已立你为万族之父。”4:17 创世记17:5他所信的上帝是能够使死人复活、使无变有的上帝。

18他在毫无指望的情况下仍然满怀盼望地相信上帝的应许,因而成为“万族之父”4:18 创世记15:5,正如上帝的应许:“你的后裔必这么多。” 19那时他将近百岁,知道自己的身体如同已死,撒拉也已经不能生育,但他的信心仍然没有动摇。 20他没有因不信而怀疑上帝的应许,反倒信心更加坚定,将荣耀归给上帝, 21完全相信上帝必能实现祂的应许。 22所以,他因信被算为义人。 23“他被算为义人”这句话不单单是写给他的, 24也是写给我们的。我们相信使我们主耶稣从死里复活的上帝,所以必被算为义人。 25耶稣受害而死是为了我们的过犯,祂复活是为了使我们被称为义人。