Warumi 2 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Warumi 2:1-29

Hukumu Ya Mungu

12:1 Rum 1:20; 2Sam 12:5-7; Mt 7:12Kwa hiyo huna udhuru wowote, wewe utoaye hukumu kwa mwingine, kwa maana katika jambo lolote unalowahukumu wengine, unajihukumu wewe mwenyewe kwa sababu wewe unayehukumu unafanya mambo hayo hayo. 22:2 2Sam 12:5-7; Mt 7:12Basi tunajua kwamba hukumu ya Mungu dhidi ya wale wafanyao mambo kama hayo ni ya kweli. 3Hivyo wewe mwanadamu, utoapo hukumu juu yao na bado unafanya mambo yale yale, unadhani utaepuka hukumu ya Mungu? 42:4 Efe 3:8, 16; Kol 2:2; Rum 11:22; 3:25; Kut 34:6Au waudharau wingi wa wema, ustahimili na uvumilivu wake, bila kujua kuwa wema wa Mungu wakuelekeza kwenye toba?

52:5 1Pet 3:20; 2Pet 3:9Lakini kwa sababu ya ukaidi wenu na mioyo yenu isiyotaka kutubu, mnajiwekea akiba ya ghadhabu dhidi yenu wenyewe kwa siku ile ya ghadhabu ya Mungu, wakati hukumu yake ya haki itakapodhihirishwa. 62:6 Za 62:12; Mt 16:27Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu sawasawa na matendo yake. 72:7 1Kor 15:53, 54; 2Tim 1:10Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele. 82:8 2The 2:12Lakini kwa wale watafutao mambo yao wenyewe na wale wanaokataa kweli na kuzifuata njia mbaya, kutakuwa na ghadhabu na hasira ya Mungu. 92:9 1Pet 4:17; Rum 1:16; 3:9; Za 32:10Kutakuwa na taabu na dhiki kwa kila mmoja atendaye maovu, Myahudi kwanza na mtu wa Mataifa pia, 102:10 Rum 1:16; 2:9bali utukufu, heshima na amani kwa ajili ya kila mmoja atendaye mema, kwa Myahudi kwanza, kisha kwa mtu wa Mataifa. 112:11 Mdo 10:34; 1Pet 1:17Kwa maana Mungu hana upendeleo.

122:12 1Kor 9:20, 21; Gal 4:21Watu wote waliotenda dhambi pasipo sheria wataangamia pasipo sheria, nao wote wale waliotenda dhambi chini ya sheria watahukumiwa kwa sheria. 132:13 Yak 1:22, 23, 25Kwa maana si wale wanaoisikia sheria ambao ni wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale wanaoitii sheria ndio watakaohesabiwa haki. 142:14 Mdo 10:34(Naam, wakati wa watu wa Mataifa, ambao hawana sheria, wanapofanya kwa asili mambo yatakiwayo na sheria, wao ni sheria kwa nafsi zao wenyewe, hata ingawa hawana sheria. 152:15 Mhu 12:14; 1Kor 4:5; Mdo 10:42; Rum 16:25; 2Tim 2:8Wao wanaonyesha kwamba lile linalotakiwa na sheria limeandikwa kwenye mioyo yao, ambayo pia dhamiri zao zikiwashuhudia, nayo mawazo yao yenye kupingana yatawashtaki au kuwatetea.) 162:16 Mhu 12:14; 1Kor 4:5; Mdo 10:42; Rum 16:25; 2Tim 2:8Hili litatukia siku hiyo Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu kwa njia ya Yesu Kristo, kama isemavyo Injili yangu.

Wayahudi Na Sheria

172:17 Yer 8:8; Yn 5:45Tazama, wewe ukiwa unaitwa Myahudi na kuitegemea sheria na kujisifia uhusiano wako na Mungu, 182:18 Flp 1:10; Kum 4:8; Za 147:19, 20; Flp 1:10kama unajua mapenzi ya Mungu na kukubali lililo bora kwa sababu umefundishwa na hiyo sheria, 192:19 Mt 15:14; Lk 18:9kama unatambua kuwa wewe ni kiongozi wa vipofu, na mwanga kwa wale walio gizani, 202:20 2Tim 1:13; 3:5mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa watoto wachanga, kwa kuwa una maarifa ya kweli katika hiyo sheria, 212:21 Mt 23:3, 4; Za 50:16basi wewe, uwafundishaye wengine, mbona hujifunzi mwenyewe? Wewe uhubiriye kwamba mtu asiibe, wewe mwenyewe waiba? 222:22 Mdo 19:32; Mal 3:8Wewe usemaye mtu asizini, wewe mwenyewe wazini? Wewe uchukiaye miungu ya sanamu, wafanya jambo la kumchukiza katika mahekalu? 23Wewe ujivuniaye sheria, wamwaibisha Mungu kwa kuvunja sheria? 242:24 Isa 52:5; 2Pet 2:2Kama ilivyoandikwa, “Kwa ajili yenu ninyi, Jina la Mungu linatukanwa miongoni mwa watu wa Mataifa.”

252:25 Gal 5:3; Yer 4:4; 9:25, 26Kutahiriwa kuna thamani ikiwa unatii sheria, lakini kama unavunja sheria, kutahiriwa kwako kumekuwa kutokutahiriwa. 262:26 Rum 8:4; 1Kor 7:19Hivyo, ikiwa wale wasiotahiriwa wanatimiza mambo ambayo sheria inataka, je, kutokutahiriwa kwao hakutahesabiwa kuwa sawa na kutahiriwa? 272:27 Mt 12:41, 42Ndipo wale ambao hawakutahiriwa kimwili lakini wanaitii sheria watawahukumu ninyi, ambao ingawa mmetahiriwa na kuijua sana sheria ya Mungu iliyoandikwa, lakini mwaivunja.

282:28 Mt 3:9; Yn 8:39Kwa maana mtu si Myahudi kwa vile alivyo kwa nje, wala tohara ya kweli si kitu cha nje au cha kimwili. 292:29 Flp 3:3; Kol 2:11; Rum 7:6; 2Kor 3:6; Yn 12:43; Gal 1:10Lakini mtu ni Myahudi alivyo ndani, nayo tohara ya kweli ni jambo la moyoni, ni la Roho, wala si la sheria iliyoandikwa. Mtu wa namna hiyo hapokei sifa kutoka kwa wanadamu bali kwa Mungu.

Nueva Versión Internacional

Romanos 2:1-29

El justo juicio de Dios

1Por tanto, no tienes excusa tú, quienquiera que seas, cuando juzgas a los demás. Al juzgar a otros, te condenas a ti mismo, ya que practicas las mismas cosas. 2Ahora bien, sabemos que el juicio de Dios contra los que practican tales cosas se basa en la verdad. 3Tú, que juzgas a otros, pero haces lo mismo que ellos, ¿piensas que vas a escapar del juicio de Dios? 4No reconoces que Dios es bueno, que tiene paciencia y soporta tu mala conducta. Él está buscando que te arrepientas, pero desprecias su gran bondad.

5Tu terquedad y falta de arrepentimiento solo harán que tu castigo sea más grande en el día del juicio final. En ese día Dios te juzgará con justicia. 6Porque Dios «le dará a cada uno lo que se merece, según lo que haya hecho». 7A los que hacen el bien para recibir gloria, honor y vivir para siempre, Dios les dará vida eterna. 8Pero a los que son egoístas, los que rechazan la verdad para seguir la maldad, Dios les dará un gran castigo. 9Habrá sufrimiento y angustia para todos los que hacen el mal, para los judíos en primer lugar, y también para los no judíos. 10Pero habrá gloria, honor y paz para todos los que hacen el bien, para los judíos en primer lugar, y también para los no judíos. 11Porque con Dios no hay favoritismos.

12Todos los que han pecado sin conocer la Ley también morirán sin la Ley; y todos los que han pecado conociendo la Ley, por la Ley serán juzgados. 13Pues Dios no considera justos a los que solo oyen la Ley, sino a los que la obedecen. 14Sabemos que los no judíos no conocen la Ley. Pero ellos, por instinto, conocen lo que la Ley exige. Así que, ellos conocen por sí mismos lo que es bueno o malo aunque no tengan la Ley. 15Ellos saben si están haciendo lo bueno o lo malo. En su mente juzgan si algo está bien o mal. Ellos demuestran por su conducta que llevan la Ley escrita en su mente. 16Así sucederá el día en que, por medio de Jesucristo, Dios juzgará los secretos de toda persona. Así lo afirma el mensaje de la buena noticia, el cual yo predico.

Los judíos y la Ley

17Ahora bien, me dirijo a ti, que dices ser judío. Tú dices que obedeces la Ley y estás orgulloso de tu relación con Dios. 18Afirmas que conoces su voluntad y sabes elegir lo que es mejor porque te has aprendido muy bien la Ley. 19Estás convencido de ser un guía para los que no entienden, te crees una luz en la oscuridad. 20Te ves a ti mismo como maestro de los ignorantes y de los sencillos, pues tienes en la Ley la esencia misma del conocimiento y de la verdad. 21En fin, tú que enseñas a otros, ¿no te enseñas a ti mismo? Tú que predicas contra el robo, ¿robas? 22Tú que dices que no se debe cometer adulterio, ¿adulteras? Tú que odias a los ídolos, ¿robas de sus templos? 23Tú que te sientes orgulloso de la Ley, ¿avergüenzas a Dios desobedeciendo la Ley? 24Así dicen las Escrituras: «Por causa de ustedes se ofende el nombre de Dios entre los no judíos».

25La circuncisión tiene valor si obedeces la Ley; pero, si no la obedeces, es como si no fueras judío, como si no estuvieras circuncidado. 26Por lo tanto, si los no judíos obedecen los requisitos de la Ley, ¿no se les considerará como parte del pueblo de Dios aunque no estén circuncidados? 27El que no está físicamente circuncidado, pero obedece la Ley, te condenará a ti. Pues tú, aunque tienes el mandamiento escrito y la circuncisión, no obedeces la Ley.

28Ser judío no es solo aparentarlo, tampoco es solo cuestión de estar circuncidado. 29El verdadero judío es judío de corazón; y la verdadera circuncisión es la que realiza el Espíritu, no el mandamiento escrito. El verdadero judío es alabado por Dios, no por la gente.