Walawi 12 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 12:1-8

Utakaso Baada Ya Kuzaa Mtoto

1Bwana akamwambia Mose, 212:2 Law 15:19; 18:19; Isa 64:6; Eze 18:6; 22:10; 36:17“Waambie Waisraeli: ‘Mwanamke ambaye atapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada kwa siku saba, kama anavyokuwa najisi wakati wa siku zake za hedhi. 312:3 Kut 22:30; Mwa 17:10-12; Lk 1:59; 2:21; 2:2; Yn 7:22-23Mvulana atatahiriwa siku ya nane. 4Kisha ni lazima huyo mwanamke asubiri kwa siku thelathini na tatu, ndipo atakaswe kutoka damu kwake. Hataruhusiwa kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kuingia mahali patakatifu, mpaka siku za kutakaswa kwake zimetimia. 5Kama akimzaa mtoto wa kike, mwanamke huyo atakuwa najisi kwa majuma mawili, kama wakati wake wa hedhi. Kisha atasubiri kwa siku sitini na sita, ndipo atatakaswa kutoka damu kwake.

612:6 Lk 2:22; Kut 29:38; Law 5:7; 23:12; Hes 6:12-14; 7:15; Ufu 5:6-8; 7:14“ ‘Siku zake za utakaso kwa ajili ya mwana au binti zitakapotimia, mwanamke huyo atamletea kuhani kwenye ingilio la Hema la Kukutania mwana-kondoo mwenye umri wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, na kinda la njiwa au hua kwa ajili ya sadaka ya dhambi. 712:7 Ebr 9:9-28; 10:1-12Atavitoa mbele za Bwana ili kufanya upatanisho kwa ajili yake, na kisha atakuwa safi kwa desturi ya ibada kutokana na kutokwa damu kwake.

“ ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya mwanamke atakayezaa mtoto wa kiume au wa kike. 812:8 Mwa 15:9; Law 4:26; 14:22; 5:7; Lk 2:22-24; Law 4:26; 2Kor 8:9Kama huyo mwanamke hana uwezo wa kumpata mwana-kondoo, ataleta hua wawili au makinda mawili ya njiwa, moja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Kwa njia hii, kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atakuwa safi.’ ”

La Bible du Semeur

Lévitique 12:1-8

La loi sur la purification après un accouchement

1L’Eternel s’adressa à Moïse en ces termes : 2Parle aux Israélites : Lorsqu’une femme conçoit et met au monde un garçon, elle sera rituellement impure durant sept jours, comme lors de son indisposition menstruelle. 3Le huitième jour, on circoncira l’enfant12.3 Voir Gn 17.12 ; Lc 2.21.. 4Il lui faudra attendre encore trente-trois jours pour être purifiée de son sang ; elle ne touchera aucune chose consacrée ; elle n’ira pas au sanctuaire jusqu’à ce que le temps de sa purification parvienne à son terme.

5Si c’est une fille à laquelle elle donne naissance, elle sera rituellement impure deux semaines comme lors de ses règles, puis il lui faudra attendre encore soixante-six jours pour être purifiée de son sang.

6Quand les jours de sa purification seront achevés – qu’il s’agisse d’un garçon ou d’une fille – elle apportera à l’entrée de la tente de la Rencontre un agneau dans sa première année pour l’holocauste, et un pigeonneau ou une tourterelle pour le sacrifice pour le péché, et elle les remettra au prêtre. 7Celui-ci les présentera à l’Eternel, accomplira pour elle le rite d’expiation et elle sera rituellement purifiée de sa perte de sang.

Telle est la règle concernant la femme qui donne naissance à un garçon ou à une fille.

8Si elle n’a pas de quoi offrir un agneau, elle prendra deux tourterelles ou deux pigeonneaux, l’un pour l’holocauste et l’autre pour le sacrifice pour le péché ; le prêtre accomplira pour elle le rite d’expiation et elle sera purifiée12.8 Allusion en Lc 2.24..