Waefeso 5 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waefeso 5:1-33

Kuenenda Nuruni

15:1 Lk 6:36; Mt 5:45; 8; Lk 6:26; Efe 4:32Kwa hiyo, mfuateni Mungu kama watoto wapendwao, 25:2 Gal 1:4; 2Kor 6:15; Ebr 7:27mkiishi maisha ya upendo, kama vile Kristo alivyotupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa sadaka yenye harufu nzuri na dhabihu kwa Mungu.

35:3 Kol 3:5; 1Kor 6:18; Efe 4:29Lakini uasherati, usitajwe miongoni mwenu, wala uchafu wa aina yoyote, wala tamaa, kwa sababu mambo haya hayastahili miongoni mwa watakatifu. 45:4 Mt 12:35; Efe 4:29; Rum 1:28; Kol 3:8Wala pasiwepo mazungumzo machafu ya aibu, au maneno ya upuzi au mzaha, ambayo hayafai, badala yake mshukuruni Mungu. 55:5 Kol 3:5; 1Kor 6:9Kwa habari ya mambo haya mjue hakika kwamba: Msherati, wala mtu mwovu, wala mwenye tamaa mbaya, mtu kama huyo ni mwabudu sanamu, kamwe hataurithi Ufalme wa Kristo na wa Mungu. 65:6 Rum 1:18; Kol 2:4, 8; Yer 29:8; Mt 24:4; Kol 2:4, 8, 18; 2The 2:3; Rum 1:1Mtu yeyote na asiwadanganye kwa maneno matupu, kwa kuwa hasira ya Mungu huwaka kwa sababu ya mambo kama haya juu ya wale wasiomtii. 7Kwa hiyo, msishirikiane nao.

85:8 Efe 2:2; Yn 8:12Kwa maana zamani ninyi mlikuwa giza, lakini sasa ninyi ni nuru katika Bwana. Enendeni kama watoto wa nuru 95:9 Gal 5:22; Mt 7:16-20; Rum 15:14(kwa kuwa tunda la nuru hupatikana katika wema wote, haki na kweli), 105:10 1Tim 5:4; Rum 12:2; Flp 1:10; 1The 5:21; 1Tim 2:3nanyi tafuteni yale yanayompendeza Bwana. 115:11 Rum 13:12; 2Kor 6:14; Yn 16:8Msishiriki matendo ya giza yasiyofaa, bali yafichueni. 125:12 Rum 1:24, 26; Efe 5:3Kwa maana ni aibu hata kutaja mambo yale ambayo wasiotii wanayafanya sirini. 135:13 Yn 3:20, 21Lakini kila kitu kilichowekwa nuruni, huonekana, 145:14 Rum 13:11; Yn 5:25; Isa 60:1kwa kuwa nuru ndiyo hufanya kila kitu kionekane. Hii ndiyo sababu imesemekana:

“Amka, wewe uliyelala,

ufufuke kutoka kwa wafu,

naye Kristo atakuangazia.”

15Kwa hiyo angalieni sana jinsi mnavyoenenda, si kama watu wasio na hekima, bali kama wenye hekima, 165:16 Kol 4:5; Efe 6:13mkiukomboa wakati, kwa sababu nyakati hizi ni za uovu. 175:17 Rum 12:2; Kol 1:9Kwa hiyo msiwe wajinga, bali mpate kujua nini mapenzi ya Bwana. 185:18 Isa 28:7; Lk 1:15Pia msilewe kwa mvinyo, ambamo ndani yake mna upotovu, bali mjazwe Roho. 195:19 Za 27:6Msemezane ninyi kwa ninyi kwa zaburi, nyimbo na tenzi za rohoni, mkimwimbia na kumsifu Bwana mioyoni mwenu, 205:20 Ay 1:21siku zote mkimshukuru Mungu Baba kwa kila jambo katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo.

215:21 Gal 5:13; 1Pet 5:5; Flp 2:3Nyenyekeaneni ninyi kwa ninyi kwa heshima kwa ajili ya Kristo.

Mafundisho Kuhusu Wake Na Waume

225:22 Mwa 3:16; Tit 2:5; Efe 6:5Ninyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana. 235:23 1Kor 11:3; Efe 1:22Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe kama vile Kristo alivyo kichwa cha Kanisa, ambalo ni mwili wake, naye Kristo ni Mwokozi wake. 245:24 Kol 3:20; Tit 2:9Basi, kama vile Kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo na wake nao imewapasa kuwatii waume zao kwa kila jambo.

255:25 Kol 3:19Ninyi waume, wapendeni wake zenu, kama vile Kristo alivyolipenda Kanisa akajitoa kwa ajili yake 265:26 Mdo 22:16kusudi alifanye takatifu, akilitakasa kwa kuliosha kwa maji katika Neno lake, 275:27 Efe 1:4; Kol 1:22apate kujiletea Kanisa tukufu lisilo na doa wala kunyanzi au waa lolote, bali takatifu na lisilo na hatia. 28Vivyo hivyo imewapasa waume kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe. 29Hakuna mtu anayeuchukia mwili wake mwenyewe, bali huulisha na kuutunza vizuri, kama Kristo anavyolitunza Kanisa lake. 305:30 1Kor 12:27Sisi tu viungo vya mwili wake. 315:31 Mwa 2:24; Mt 19:5“Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.” 32Siri hii ni kubwa, bali mimi nanena kuhusu Kristo na Kanisa. 33Hata hivyo, kila mmoja wenu ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi yake mwenyewe, naye mke lazima amheshimu mumewe.

Japanese Contemporary Bible

エペソ人への手紙 5:1-33

5

神を喜ばせるために

1子どもが、かわいがってくれる父親を見ならうように、何をするにも神を模範としなさい。 2思いやりに満ちあふれた者となりなさい。キリストの愛は、あなたがたの罪を取り除くために、ご自身をいけにえとして神にささげるほど深かったのです。このキリストの愛の香ばしいかおりを、神はお喜びになったのです。

3あなたがたの間に、性的な罪やふしだらな行い、貪欲があってはなりません。そんなことで、だれからも非難されないようにしなさい。 4みだらな会話や下品な冗談は、あなたがたにふさわしくありません。むしろ、互いに神の恵みを心にとめて、感謝しなさい。 5もうよくご存じと思いますが、キリストと神との国に、汚れた人や貪欲な人は入ることができません。貪欲な人は偶像礼拝者であって、神よりもこの世のものを愛して拝んでいるのです。

6これらの罪の言いわけをする者たちに、だまされてはなりません。神の恐ろしい怒りは、こういう行いをする者に容赦なく下るのです。 7ですから、彼らとのつき合いすら禁じます。 8あなたがたの心は以前は暗闇におおわれていましたが、今は主にあって光にあふれています。そのことを態度で示しなさい。 9内面がこの光で輝いているのですから、良いこと、正しいこと、真実なことだけを行うべきです。 10日々、主に喜ばれることは何かを、わきまえ知りなさい。 11邪悪で無益な快楽に身を任せてはいけません。むしろそれを非難し、明るみに出しなさい。 12神を敬わない者たちが暗闇でふけっている快楽は、口にするのも恥ずかしいことです。 13しかし、あなたがたがそれを明るみに出す時、光がその罪を照らし出して正体をあばきます。その醜さに気づいて、そのうちの何人かは光の子どもとなるでしょう。 14だから、聖書にこう言われているのです。

「眠っている者よ。目を覚ませ。

死者の中から起き上がれ。

そうすれば、キリストがあなたを照らされる。」イザヤ26・19

15-16ですから、自分の行動によくよく注意しなさい。今は困難な時代です。愚か者にならないで、賢くなりなさい。あらゆる機会を十分に生かして、正しい行いをしなさい。 17軽率に行動せず、主が望んでおられることを実行しなさい。 18酒を飲みすぎてはいけません。そこには多くの悪が潜んでいるからです。むしろ、御霊に満たされ、支配していただきなさい。 19聖なる歌をうたい、心の中で主に向かって賛美しながら、互いに主について語り合いなさい。 20いつも、あらゆることを、主イエス・キリストの名によって、父なる神に感謝しなさい。

幸福な家庭をつくるには

21互いに従順になって、キリストをたたえなさい。

22妻は、主に従うように夫に従いなさい。 23なぜなら、キリストの体である教会がキリストにゆだねられているように、妻は夫にゆだねられているからです。 24そういうわけですから、妻は、教会がキリストに従うように、どんなことでも喜んで夫に従わなければなりません。 25また夫は、教会のためにいのちを捨てるほどの愛を示されたキリストにならって、妻を愛しなさい。 26キリストがそうなさったのは、バプテスマ(洗礼)と神のことばで教会を洗いきよめ、きよく、汚れのないものとするためでした。 27こうして、一点のしみも、しわも、何の傷もない、きよく完全な栄光の教会として迎え入れようとされたのです。 28これこそ、夫が妻に対してとるべき態度です。つまり、夫は妻を、自分の体の一部のように愛さなければなりません。二人は一体なのですから、夫が妻を愛する時、自分自身を愛しているのです。 29-30自分の体を憎む者はいません。愛し、いたわります。それは、キリストが自分の体である教会をそうされたのと同じです。私たちは、その体の各部分なのです。 31夫と妻が一体であることは、聖書もはっきり証言しています。「人は結婚する時、父母のもとを離れなければならない。それは、完全に結びついて、二人が一心同体となるためである。」創世2・24 32これには深い理解が必要ですが、私たちがキリストの体の各部分であることを説明するには適切な例です。

33そこで、もう一度言います。夫は妻を、自分の体の一部のように愛しなさい。そして妻は、夫を心から尊敬し、従いなさい。