Huduma Inayompendeza Mungu
113:1 Rum 12:10; 1The 4:9; 1Pet 1:22; 2:17; 3:8; 4:8; 2Pet 1:7; 1Yn 3:11; 4:7Endeleeni kupendana kama ndugu. 213:2 Mt 25:35; Rum 12:13; 1Tim 3:2; 1Pet 4:9; Mwa 18:3; 19:2Msisahau kuwakaribisha wageni, kwa kuwa kwa kufanya hivyo, watu wengine waliwakaribisha malaika pasipo kujua. 313:3 Mt 25:36; Kol 4:18; Ebr 10:34; Rum 12:15; 1Kor 12:26; 1Pet 3:8Wakumbukeni wale waliofungwa gerezani kana kwamba ninyi mmefungwa pamoja nao. Pia wakumbukeni wale wanaotendewa vibaya, kana kwamba ni ninyi wenyewe mnateswa.
413:4 Mal 2:15; 1Kor 7:38; 1Tim 4:3; Kum 22:22; 1Kor 6:9; Efe 5:5; Ufu 22:15Ndoa na iheshimiwe na watu wote, nayo malazi yawe safi, kwa kuwa Mungu atawahukumu wazinzi na waasherati wote. 513:5 1Tim 3:3; Flp 4:11; Kum 31:6, 8; Yos 1:5; Mwa 28:15; Mt 6:25, 34; 1Nya 28:20; Za 37:25Yalindeni maisha yenu msiwe na tabia ya kupenda fedha, bali mridhike na vile mlivyo navyo, kwa sababu Mungu amesema,
“Kamwe sitakuacha,
wala sitakupungukia.”
613:6 Za 27:1; 56:4; 118:6Kwa hiyo tunaweza kusema kwa ujasiri,
“Bwana ni msaada wangu; sitaogopa.
Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”
713:7 Ebr 13:17, 24; 1Kor 16:16; Ebr 4:12; 6:12Wakumbukeni viongozi wenu, wale waliowaambia neno la Mungu. Angalieni matokeo ya mwenendo wa maisha yao mkaiige imani yao. 813:8 Yn 8:58; Ebr 1:12; Za 102:27; Ufu 1:4Yesu Kristo ni yeye yule jana, leo na hata milele.
913:9 Efe 4:14; Kol 2:7; 2:16; Ebr 9:10; Rum 14:17; 1Yn 4:1; 1Tim 4:3Msichukuliwe na kila aina ya mafundisho ya kigeni. Ni vyema mioyo yenu iimarishwe kwa neema, wala si kwa sheria kuhusu utaratibu wa vyakula, ambavyo havina faida kwa wale wanaozishika hizo sheria. 1013:10 1Kor 9:13; 10:18Sisi tunayo madhabahu ambayo wale wanaohudumu katika hema hawana haki ya kula vile vitu vilivyowekwa juu yake.
1113:11 Law 16:15; Kut 29:14; Law 4:12; 9:11; 16:27; Hes 19:3Kuhani mkuu huchukua damu ya wanyama na kuiingiza Patakatifu pa Patakatifu, kama sadaka ya dhambi, lakini miili ya hao wanyama huteketezwa nje ya kambi. 1213:12 Yn 19:17, 18; Mdo 7:58; Efe 5:26; Rum 3:25Vivyo hivyo, Yesu naye aliteswa nje ya lango la mji ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe. 1313:13 Lk 9:23; Ebr 11:26; 1Pet 4:14Kwa hiyo, basi na tumwendee nje ya kambi, tukiichukua aibu aliyobeba. 1413:14 Mik 2:10; Flp 3:20Kwa kuwa hapa hatuna mji udumuo, bali tunautafuta ule ujao.
1513:15 1Pet 2:5; Isa 57:19; Hos 14:2; Efe 5:20; Law 7:12; Za 50:14, 23; 107:22; 116:17; Hos 14:2Basi kwa njia ya Yesu, tuzidi kumtolea Mungu dhabihu ya sifa, yaani matunda ya midomo inayolikiri Jina lake. 1613:16 Rum 12:13; Flp 4:18; 1Kor 9:12; Ebr 6:10Na msiache kutenda mema na kushirikiana vile vitu mlivyo navyo, kwa kuwa dhabihu kama hizo ndizo zinazompendeza Mungu.
1713:17 Isa 62:6; Mdo 20:28; Ebr 13:7, 24; Flp 2:29; 1The 5:12; 1Tim 5:17; Eze 3:17; 33:2, 7; Mdo 20:26Watiini viongozi wenu na kujinyenyekeza chini ya mamlaka yao. Kwa maana wao wanakesha kwa ajili yenu kama watu watakaopaswa kutoa hesabu. Watiini ili wafanye kazi yao kwa furaha, wala si kama mzigo, maana hiyo haitakuwa na faida kwenu.
1813:18 1The 5:25; Mdo 23:1Tuombeeni. Tuna hakika kuwa tunayo dhamiri safi na shauku ya kuishi kwa uadilifu kwa kila njia. 19Ninawasihi zaidi mniombee ili nipate kurudishwa kwenu upesi.
Maombi Ya Kuwatakia Baraka
20Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu ya Agano la milele alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji Mkuu wa kondoo, 21awafanye ninyi wakamilifu mkiwa mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate kutenda mapenzi yake, naye atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una yeye milele na milele. Amen.
Maneno Ya Mwisho Na Salamu
2213:22 1Pet 5:12; Yak 1:21Ndugu zangu, nawasihi mchukuliane na maneno yangu ya maonyo, kwa kuwa nimewaandikia waraka mfupi tu.
2313:23 1The 3:2; Mdo 16:1; 1Tim 6:12Nataka ninyi mjue kwamba ndugu yetu Timotheo amefunguliwa kutoka gerezani. Akifika mapema, nitakuja pamoja naye kuwaona.
2413:24 Ebr 13:7, 17; Mdo 18:2Wasalimuni viongozi wenu wote na watakatifu wote. Wale wa kutoka Italia wanawasalimu.
2513:25 Tit 3:15; Kol 4:18Neema iwe nanyi nyote. Amen.
做上帝喜悦的事
1你们要继续彼此相爱,情同手足。 2不要忘记款待客旅,因为曾经有人接待客旅时不知不觉接待了天使。 3要设身处地地顾念那些被囚禁的人,要感同身受地顾念那些遭遇苦难的人。
4人人都要尊重婚姻,不可玷污夫妻关系13:4 “夫妻关系”希腊文是“婚姻的床”。,因为上帝必审判淫乱和通奸的人。
5不要贪爱钱财,要对自己拥有的知足,因为上帝说过:
“我永不撇下你,也不离弃你。”
6这样,我们可以放胆地说:
“主是我的帮助,
我必不惧怕,
人能把我怎么样?”
7你们要记住从前带领你们、把上帝的道传给你们的人,留心观察他们一生如何行事为人,效法他们的信心。 8耶稣基督昨日、今日、直到永远都不改变。 9你们不要被五花八门的异端邪说勾引了去,因为心中得到力量是靠上帝的恩典,而不是靠饮食上的礼仪,这些礼仪从未使遵守的人受益。
10我们有一座祭坛,坛上的祭物是那些在圣幕里工作的人没有权利吃的。 11大祭司把祭牲的血带进圣所作为赎罪祭献上,而祭牲的身体则在营外烧掉。 12同样,耶稣也在城门外受难,为要用自己的血使祂的子民圣洁。 13因此,让我们也走出营外到祂那里,忍受祂所忍受的凌辱吧! 14我们在地上没有永远的城,我们寻求的是那将来的城。
15让我们靠着基督,常常开口以颂赞为祭献给上帝,这是承认主名的人13:15 “承认主名的人”希腊文是“承认主名的嘴唇”。所结的果子。 16不可忘记行善和帮补别人,因为这样的祭是上帝所喜悦的。
17要顺服引导你们的人,因为他们为你们的灵魂时刻警醒,将来要向上帝交账。你们要听从他们,使他们满心喜乐地尽此职责,不致忧愁,否则对你们毫无益处。
18请为我们祷告,因为我们自信良心无愧,凡事都愿意遵行正道。 19也请你们特别为我祷告,使我能够早日回到你们那里。
祝福与问安
20愿赐平安的上帝,就是那位凭着立永恒之约的血使群羊的大牧人——我主耶稣从死里复活的上帝, 21在各样善事上成全你们,好使你们遵行祂的旨意,并借着主耶稣在你们心中动工,使你们做祂喜悦的事!愿荣耀归给上帝,直到永永远远。阿们!
22弟兄姊妹,我简短地写信给你们,希望你们听我劝勉的话。 23你们知道,我们的弟兄提摩太已经被释放了。如果他及时来到,我会与他一起去看你们。
24请代我问候所有带领你们的人以及众圣徒。从意大利来的人也问候你们。
25愿恩典与你们众人同在!