Waebrania 1 – NEN & CRO

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waebrania 1:1-14

Mwana Ni Mkuu Kuliko Malaika

11:1 Efe 3:1; 2Kor 1:1; Hes 12:6, 8; Yn 9:29; Ebr 2:3; 4:8; 12:25; Lk 1:70; Mdo 2:30Zamani Mungu alisema na baba zetu kwa njia ya manabii mara nyingi na kwa njia mbalimbali, 21:2 Kum 4:30; Ebr 9:26; 1Pet 1:20; Ebr 1:5; Mt 3:17; Ebr 3:6; 5:8; 7:28; Za 2:8; Mt 28:18; Yn 1:3; Ebr 11:3lakini katika siku hizi za mwisho anasema nasi kwa njia ya Mwanawe, ambaye amemweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia kwake aliuumba ulimwengu. 31:3 Yn 1:14; 14:9; Kol 1:17; Tit 2:14; Ebr 7:27; Mk 16:19Mwana ni mngʼao wa utukufu wa Mungu na mfano halisi wa nafsi yake, akivihifadhi vitu vyote kwa neno lake lenye uweza. Akiisha kufanya utakaso kwa ajili ya dhambi, aliketi mkono wa kuume wa Aliye Mkuu huko mbinguni. 41:4 Efe 1:21; Flp 2:9, 10; Ebr 8:6Kwa hiyo alifanyika bora kuliko malaika, kama jina alilorithi lilivyo bora kuliko lao.

51:5 Za 2:7; Mt 3:17; 2Sam 7:14Kwa maana ni malaika yupi ambaye wakati wowote Mungu alipata kumwambia,

“Wewe ni Mwanangu;

leo mimi nimekuzaa?”

Au tena,

“Mimi nitakuwa Baba yake,

naye atakuwa Mwanangu?”

61:6 Yn 3:16; Kol 1:18; Ebr 10:5; Kum 32:43; Za 97:7Tena, Mungu amletapo mzaliwa wake wa kwanza ulimwenguni, anasema,

“Malaika wote wa Mungu na wamsujudu.”

71:7 Za 104:4Anenapo kuhusu malaika asema,

“Huwafanya malaika wake kuwa pepo,

watumishi wake kuwa miali ya moto.”

81:8 Lk 1:33; Za 45:6, 7Lakini kwa habari za Mwana asema,

“Kiti chako cha enzi, Ee Mungu,

kitadumu milele na milele,

nayo haki itakuwa fimbo ya utawala

ya ufalme wako.

91:9 Flp 2:9; Isa 61:1, 3; Za 45:6, 7; Mdo 4; 27; 10:38Umependa haki na kuchukia uovu;

kwa hiyo Mungu, Mungu wako,

amekuweka juu ya wenzako

kwa kukupaka mafuta ya furaha.”

101:10 Za 8:6; 102:25; Zek 12:1Pia asema,

“Hapo mwanzo, Ee Bwana, uliweka misingi ya dunia,

nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.

111:11 Isa 34:4; 51:6; Ebr 12:27; Mt 24:35; 2Pet 3:7; 3:10; Ufu 21:1Hizo zitatoweka, lakini wewe utadumu;

zote zitachakaa kama vazi.

121:12 Ebr 13:8; Za 102:25, 27Utazikungʼutakungʼuta kama joho,

nazo zitachakaa kama vazi.

Lakini wewe hubadiliki,

nayo miaka yako haikomi kamwe.”

131:13 Ebr 1:3; Mk 16:19; Yos 10:24; Ebr 10:13; Za 110:1; Mt 22:44Je, ni kwa malaika yupi ambaye Mungu amepata kumwambia wakati wowote,

“Keti mkono wangu wa kuume,

hadi nitakapowaweka adui zako

chini ya miguu yako”?

141:14 Za 91:11; 103:20; Dan 7:10; Mt 25:34; Mk 10:17; Mdo 20:32; Rum 11:14; Ebr 2:3; 5:9; 9:28Je, malaika wote si roho watumikao, waliotumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu?

Knijga O Kristu

Hebrejima 1:1-14

Isus Krist je Božji Sin

1Bog je nekoć više puta i na mnoge načine govorio našim precima kroz proroke. 2Ali u ove zadnje dane nama je progovorio kroz svojega Sina. Njega, po kojemu je sve stvorio, postavio je za baštinika svega. 3Sin je odsjaj Božje slave i otisak njegova Bića. On održava svemir snagom svoje silne riječi. Pošto je umro da nas očisti od grijeha, sjeo je na počasno mjesto, zdesna veličanstvenome Bogu u nebu.

Isus je uzvišeniji od anđela

4To pokazuje da je Božji Sin mnogo uzvišeniji od anđela, kao što je i ime koje je baštinio uzvišenije od njihovih imena. 5Jer kome je od anđela ikada rekao:

“Ti si moj Sin,

danas sam ti postao Ocem”1:5 Psalam 2:7.,

i još:

“Ja ću mu biti Otac,

a on će meni biti Sin”1:5 2 Samuelova 7:14.?

6A kada je predstavio svojeg prvorođenca svijetu, Bog je rekao:

“Klanjajte mu se, svi anđeli Božji!”1:6 Ponovljeni zakon 32:43.

7Za anđele kaže:

“On čini svoje anđele vjetrovima

i sluge poput ognjenih plamenova.”1:7 Psalam 104:4.

8Ali za svojega Sina kaže:

“Tvoje kraljevstvo, o Bože, traje zauvijek.

Ti vladaš žezlom pravednosti.

9Ti ljubiš pravednost i mrziš nepravednost.

Zato te je, Bože, tvoj Bog, pomazao

uljem radosti više nego ijednoga tvojeg druga.”1:8-9 Psalam 45:7-8.

10I još:

“Gospodine, u početku si postavio temelje zemlji

i nebesa su djelo tvojih ruku.

11Čak će i ona nestati,

ali ti ostaješ zauvijek.

12Smotat ćeš ih poput starog kaputa

i nestat će kao stara odjeća.

Ali ti si uvijek isti;

tvojim godinama nema svršetka.”1:10-12 Psalam 102:26-28.

13Bog nikada nije nekom anđelu rekao:

“Sjedni mi s desne strane

dok ti ne bacim pod noge tvoje neprijatelje.”1:13 Psalam 110:1.

14Jer anđeli su samo poslužnički duhovi koje Bog šalje služiti onima koji će baštiniti spasenje.