Mwana Ni Mkuu Kuliko Malaika
11:1 Efe 3:1; 2Kor 1:1; Hes 12:6, 8; Yn 9:29; Ebr 2:3; 4:8; 12:25; Lk 1:70; Mdo 2:30Zamani Mungu alisema na baba zetu kwa njia ya manabii mara nyingi na kwa njia mbalimbali, 21:2 Kum 4:30; Ebr 9:26; 1Pet 1:20; Ebr 1:5; Mt 3:17; Ebr 3:6; 5:8; 7:28; Za 2:8; Mt 28:18; Yn 1:3; Ebr 11:3lakini katika siku hizi za mwisho anasema nasi kwa njia ya Mwanawe, ambaye amemweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia kwake aliuumba ulimwengu. 31:3 Yn 1:14; 14:9; Kol 1:17; Tit 2:14; Ebr 7:27; Mk 16:19Mwana ni mngʼao wa utukufu wa Mungu na mfano halisi wa nafsi yake, akivihifadhi vitu vyote kwa neno lake lenye uweza. Akiisha kufanya utakaso kwa ajili ya dhambi, aliketi mkono wa kuume wa Aliye Mkuu huko mbinguni. 41:4 Efe 1:21; Flp 2:9, 10; Ebr 8:6Kwa hiyo alifanyika bora kuliko malaika, kama jina alilorithi lilivyo bora kuliko lao.
51:5 Za 2:7; Mt 3:17; 2Sam 7:14Kwa maana ni malaika yupi ambaye wakati wowote Mungu alipata kumwambia,
“Wewe ni Mwanangu;
leo mimi nimekuzaa?”
Au tena,
“Mimi nitakuwa Baba yake,
naye atakuwa Mwanangu?”
61:6 Yn 3:16; Kol 1:18; Ebr 10:5; Kum 32:43; Za 97:7Tena, Mungu amletapo mzaliwa wake wa kwanza ulimwenguni, anasema,
“Malaika wote wa Mungu na wamsujudu.”
71:7 Za 104:4Anenapo kuhusu malaika asema,
“Huwafanya malaika wake kuwa pepo,
watumishi wake kuwa miali ya moto.”
81:8 Lk 1:33; Za 45:6, 7Lakini kwa habari za Mwana asema,
“Kiti chako cha enzi, Ee Mungu,
kitadumu milele na milele,
nayo haki itakuwa fimbo ya utawala
ya ufalme wako.
91:9 Flp 2:9; Isa 61:1, 3; Za 45:6, 7; Mdo 4; 27; 10:38Umependa haki na kuchukia uovu;
kwa hiyo Mungu, Mungu wako,
amekuweka juu ya wenzako
kwa kukupaka mafuta ya furaha.”
101:10 Za 8:6; 102:25; Zek 12:1Pia asema,
“Hapo mwanzo, Ee Bwana, uliweka misingi ya dunia,
nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.
111:11 Isa 34:4; 51:6; Ebr 12:27; Mt 24:35; 2Pet 3:7; 3:10; Ufu 21:1Hizo zitatoweka, lakini wewe utadumu;
zote zitachakaa kama vazi.
121:12 Ebr 13:8; Za 102:25, 27Utazikungʼutakungʼuta kama joho,
nazo zitachakaa kama vazi.
Lakini wewe hubadiliki,
nayo miaka yako haikomi kamwe.”
131:13 Ebr 1:3; Mk 16:19; Yos 10:24; Ebr 10:13; Za 110:1; Mt 22:44Je, ni kwa malaika yupi ambaye Mungu amepata kumwambia wakati wowote,
“Keti mkono wangu wa kuume,
hadi nitakapowaweka adui zako
chini ya miguu yako”?
141:14 Za 91:11; 103:20; Dan 7:10; Mt 25:34; Mk 10:17; Mdo 20:32; Rum 11:14; Ebr 2:3; 5:9; 9:28Je, malaika wote si roho watumikao, waliotumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu?
划时代的启示
1在古代,上帝曾借着先知以各种方式多次向我们的祖先说话; 2在这世界的末期,祂又借着自己的儿子亲自向我们说话。上帝早已立祂承受万物,并借着祂创造了宇宙万物。 3祂正是上帝荣耀的光辉,是上帝本体的真像。祂用自己充满能力的话语维系万物。祂洗净了世人的罪之后,便坐在天上至高上帝的右边。 4祂既承受了比天使更高的名分,就远超越天使。
5上帝从未对任何一个天使说:
“你是我的儿子,我今日成为你父亲。”
或说:
“我要做你的父亲,你要做我的儿子。”
6上帝差遣祂的长子到世上来时,说:
“上帝的天使都要敬拜祂。”
7上帝提到天使的时候,也只是说:
“上帝使祂的天使成为风,使祂的仆役成为火焰。”
8但论到祂的儿子,祂却说:
“上帝啊,你的宝座永远长存,
你以公义的杖执掌王权。
9你喜爱公义,憎恶邪恶。
所以上帝,你的上帝,
用喜乐之油膏你,使你超过同伴。”
10此外又说:
“主啊,太初你奠立大地的根基,
亲手创造诸天。
11天地都要消亡,但你永远长存。
天地都会像衣服渐渐破旧,
12你要像卷外衣一样把天地卷起来。
天地将如衣服一样被更换,
但你永远不变,
你的年日永无穷尽。”
13上帝从未对任何一个天使说:
“你坐在我的右边,
等我使你的仇敌成为你的脚凳。”
14天使岂不都是服役的灵吗?他们奉差遣,岂不是去为那些将要承受救恩的人服务吗?