Waamuzi 2 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version

Waamuzi 2:1-23

Malaika Wa Bwana Huko Bokimu

12:1 Mwa 16:7; Kum 11:30; Kut 20:2; Amu 6:8; Law 26:42-44; Kum 7:9Malaika wa Bwana akakwea kutoka Gilgali hadi Bokimu, naye akasema, “Niliwapandisha kutoka Misri na kuwaingiza katika nchi niliyoapa kuwapa baba zenu. Nikasema, ‘Kamwe sitalivunja Agano langu nanyi. 22:2 Kut 23:32; 34:12; Kum 7:2; Kut 23:24; 34:13; Kum 7:5; 2Nya 14:3; Yer 7:28Nanyi msifanye agano na watu wa nchi hii, bali mtazibomoa madhabahu yao.’ Lakini ninyi hamkunitii mimi. Kwa nini mmefanya jambo hili? 32:3 Yos 23:13; Hes 33:55; Kut 10:7; Za 106:36Sasa basi ninawaambia kuwa sitawafukuza watoke katikati yenu ila watakuwa miiba kwenu, nao miungu yao itakuwa tanzi kwenu.”

42:4 Mwa 27:38; Hes 25:6; 2Fal 17:13Malaika wa Bwana alipomaliza kusema mambo haya kwa Waisraeli wote, watu wakalia kwa sauti kuu. 5Wakapaita mahali pale Bokimu. Nao wakamtolea Bwana sadaka.

Kifo Cha Yoshua

6Baada ya Yoshua kuwapa watu ruhusa waende zao, Waisraeli wakaenda kwenye urithi wao wenyewe ili kumiliki nchi yao. 7Watu wakamtumikia Bwana siku zote za maisha ya Yoshua, na za hao wazee walioishi baada ya Yoshua kufa, waliokuwa wameona mambo makuu ambayo Bwana alikuwa ametenda kwa ajili ya Israeli.

8Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana, akafa akiwa na umri wa miaka 110. 92:9 Yos 19:50Wakamzika katika nchi ya urithi wake, huko Timnath-Heresi2:9 Unajulikana pia kama Timnath-Sera, ona Yos 19:50; 24:30. katika nchi ya vilima ya Efraimu, kaskazini ya Mlima Gaashi.

102:10 1Nya 28:9; Kut 5:2; Gal 4:8Baada ya kizazi kile chote kukusanywa pamoja na baba zao, kikainuka kizazi kingine baada yao ambacho hakikumjua Bwana, wala matendo yale aliyokuwa ametenda kwa ajili ya Waisraeli. 112:11 1Fal 15:26; Amu 3:12; 4:1; 6:1; 3:7; 8:33; 1Fal 16:31; 22:53; 2Fal 10:18; 17:16Kwa hiyo Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Bwana na kuwatumikia Mabaali. 122:12 Kum 32:12; Za 106:36; Kum 31:16; Amu 10:6; Hes 11:33; Kum 4:25; Za 78:5, 8; 106:40Wakamwacha Bwana, Mungu wa baba zao, aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri. Wakaifuata na kuiabudu miungu mbalimbali ya mataifa yanayowazunguka. Wakamkasirisha Bwana, 132:13 1Sam 7:3; 1Fal 11:5, 33; 2Fal 23:13; Amu 3:7; 5:8; 6:25; 8:33; 10:6; 1Sam 31:10; Neh 9:26; Za 78:56; Yer 11:10kwa sababu walimwacha na kutumikia Baali na Maashtorethi. 142:14 Kum 31:17; Neh 9:27; Za 106:41; 44; 10; 89:41; Eze 34:8; Kum 32:30; Amu 3:8; Kum 28:25Hivyo hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawatia mikononi mwa wavamizi waliowateka nyara. Akawauza katika mikono ya adui zao pande zote, hivyo hawakuweza tena kuwazuia adui zao. 152:15 Rum 1:13; Ay 19:21; 5:5; 20:22; Za 32:4; Mwa 35:3; 2Sam 22:7; 2Nya 15:4; Za 18:6Popote Israeli walipotoka kwenda kupigana, mkono wa Bwana ulikuwa kinyume nao ili kuwashinda, kama vile alivyokuwa amewaapia. Nao wakawa katika taabu kubwa.

162:16 Rum 1; 1; 1Sam 4:18; 7:6, 15; 2Sam 7:11; 1Nya 17:10; Mdo 13:20; 1Sam 11:3; Za 106:43Ndipo Bwana akawainua waamuzi, ambao waliwaokoa katika mikono ya hao watu waliowashambulia. 172:17 Kut 34:15; Hes 15:39; Za 4:2; Neh 9:26; Za 106:36; Kum 9:12Lakini hawakuwasikiliza hata waamuzi wao, bali walifanya uasherati kwa kuifuata miungu mingine na kuiabudu. Waligeuka mara na kuiacha njia ambayo baba zao waliiendea, yaani, njia ya kutii amri za Bwana. 182:18 1Sam 7:3; 2Fal 13:5; Isa 19:20; 43:3, 11; 45:15, 21; 49:20; 60:16; 63:8; Hes 10:9; Kum 32:36; Kut 2:23Kila mara Bwana alipowainulia mwamuzi, Bwana alikuwa pamoja na huyo mwamuzi, naye aliwaokoa kutoka mikononi mwa adui zao kwa kipindi chote alichoishi yule mwamuzi. Kwa kuwa Bwana aliwahurumia kwa sababu ya kilio chao cha huzuni kwa ajili ya wale waliokuwa wakiwatesa na kuwataabisha. 192:19 Mwa 6:11; Kum 4:16; 32:17; Neh 9:2; Za 78:57; Yer 44:9; Amu 4:1; 8:33; Kut 32:9Lakini kila mara mwamuzi alipofariki, watu walirudia katika hali mbaya ya uovu zaidi kuliko baba zao, wakiifuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu. Walikataa kuacha matendo yao maovu na njia zao za ukaidi.

202:20 Kum 31:17; Yos 23:16; 7:11; 1Fal 17:15Kwa hiyo Bwana akawakasirikia sana Israeli na kusema, “Kwa kuwa taifa hili limevunja Agano lile nililofanya na baba zao na hawakunisikiliza, 212:21 Yos 23:5mimi nami sitafukuza taifa lolote ambalo Yoshua aliliacha alipofariki. 222:22 Mwa 22:1; Kut 15:25Nitayatumia ili nipate kuwapima Israeli na kuona kama wataishika njia ya Bwana na kuenenda katika hiyo kama njia baba zao walivyofanya.” 232:23 Amu 1:1Bwana alikuwa ameyaacha hayo mataifa yabaki; hakuyaondoa mara moja kwa kuyatia mikononi mwa Yoshua.

Nueva Versión Internacional

Jueces 2:1-23

El ángel del Señor en Boquín

1El ángel del Señor subió de Guilgal a Boquín y dijo: «Yo los saqué a ustedes de Egipto y los hice entrar en la tierra que juré dar a sus antepasados. Dije: “Nunca quebrantaré mi pacto con ustedes; 2ustedes, por su parte, no harán ningún pacto con la gente de esta tierra, sino que derribarán sus altares”. ¡Pero me han desobedecido! ¿Por qué han actuado así? 3Pues quiero que sepan que no expulsaré de la presencia de ustedes a esa gente; ellos les harán la vida imposible y sus dioses les serán una trampa».

4Cuando el ángel del Señor habló así a todos los israelitas, el pueblo lloró a gritos. 5Por eso llamaron a aquel lugar Boquín,2:5 En hebreo, Boquín significa los que lloran. y allí ofrecieron sacrificios al Señor.

Desobediencia y derrota

2:6-9Jos 24:29-31

6Cuando Josué despidió al pueblo, los israelitas se fueron a tomar posesión de la tierra, cada uno a su propio territorio. 7Durante toda la vida de Josué, el pueblo sirvió al Señor. Así sucedió también durante el tiempo en que estuvieron al frente de Israel los jefes que habían compartido el liderazgo con Josué y que habían visto todas las grandes obras que el Señor había hecho por Israel.

8Josué, hijo de Nun, siervo del Señor, murió a la edad de ciento diez años 9y lo sepultaron en Timnat Jeres,2:9 Timnat Jeres. También conocida como Timnat Sera (véanse Jos 19:50 y 24:30). tierra de su heredad, en la región montañosa de Efraín, al norte del monte de Gaas.

10También murió toda aquella generación y surgió otra que no conocía al Señor ni sabía lo que él había hecho por Israel. 11Esos israelitas hicieron lo malo ante los ojos del Señor y adoraron a los ídolos de Baal. 12Abandonaron al Señor, Dios de sus antepasados, que los había sacado de Egipto, siguieron a otros dioses —dioses de los pueblos que los rodeaban— y los adoraron, provocando así la ira del Señor. 13Abandonaron al Señor y adoraron a Baal y a las imágenes de Astarté. 14Entonces el Señor se enfureció contra los israelitas y los entregó en manos de invasores que los saquearon. Los dejó en manos de los enemigos que tenían a su alrededor, a los que ya no pudieron hacerles frente. 15Cada vez que los israelitas salían a combatir, la mano del Señor estaba en contra de ellos para su mal, tal como el Señor se lo había dicho y jurado. Así llegaron a verse muy angustiados.

16Entonces el Señor hizo surgir líderes2:16 líderes. Tradicionalmente jueces; así en el resto de este libro. que los libraron del poder de esos invasores. 17Sin embargo, tampoco escucharon a esos líderes, sino que se prostituyeron al entregarse a otros dioses y adorarlos. Muy pronto se apartaron del camino que habían seguido sus antepasados, el camino de la obediencia a los mandamientos del Señor. 18Cada vez que el Señor levantaba entre ellos un líder, el Señor estaba con él. Mientras ese líder vivía, los libraba del poder de sus enemigos, porque el Señor se compadecía de ellos al oírlos gemir por causa de quienes los oprimían y afligían. 19Pero cuando el líder moría, ellos volvían a corromperse aún más que sus antepasados, pues se iban tras otros dioses, a los que servían y adoraban. De tal forma se negaban a abandonar sus malvadas costumbres y su obstinada conducta.

20Por eso el Señor se enfureció contra Israel y dijo: «Puesto que esta nación ha violado el pacto que yo establecí con sus antepasados y no me ha obedecido, 21tampoco yo echaré de su presencia a ninguna de las naciones que Josué dejó al morir. 22Las usaré para poner a prueba a Israel y ver si guarda mi camino y anda por él, como lo hicieron sus antepasados». 23Por eso el Señor dejó en paz a esas naciones; no las echó enseguida ni las entregó en manos de Josué.