Ufunuo 21 – NEN & PCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ufunuo 21:1-27

Mbingu Mpya Na Nchi Mpya

121:1 Isa 65:17; 2Pet 3:13Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya, kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza vimekwisha kupita, wala hapakuwepo na bahari tena. 221:2 Ebr 11:10; 12:22Nikaona Mji Mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, ukiwa umeandaliwa kama bibi arusi aliyepambwa kwa ajili ya mumewe. 321:3 2Kor 6:16; Zek 2:10; Isa 8:8Nami nikasikia sauti kubwa kutoka kile kiti cha enzi ikisema, “Sasa makao ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atakaa pamoja nao. Yeye atakuwa Mungu wao nao watakuwa watu wake, naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao. 421:4 Ufu 7:17; 1Kor 15:26; Isa 35:10; 65:19Atafuta kila chozi kutoka macho yao. Mauti haitakuwepo tena, wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu, kwa maana mambo ya kwanza yamekwisha kupita.”

521:5 Ufu 4:9; 20:11; 19:9Naye yule aliyeketi juu ya kile kiti cha enzi akasema, “Tazama, nayafanya mambo yote kuwa mapya!” Kisha akasema, “Andika haya, maana maneno haya ni ya kuaminika tena ni kweli.”

621:6 Ufu 16:17; 1:8; 22:13; Yn 4:10Akaniambia, “Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Yeye aonaye kiu nitampa kunywa kutoka chemchemi ya maji ya uzima bila gharama yoyote. 721:7 Ufu 2:7; 2Sam 7:14Yeye ashindaye atayarithi haya yote, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu. 821:8 Za 5:6; Ufu 2:11Lakini waoga, wasioamini, wachafu, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, pamoja na waongo wote, mahali pao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.”

921:9 Ufu 15:1, 6, 7; 19:7Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na yale mabakuli saba ya hayo mapigo saba ya mwisho akaja akaniambia, “Njoo, nami nitakuonyesha bibi arusi, yaani, mke wa Mwana-Kondoo.” 1021:10 Ufu 17:3; 1:10; Eze 40:2; Ufu 21:2Naye akanichukua katika Roho hadi kwenye mlima mkubwa na mrefu, akanionyesha ule Mji Mtakatifu, Yerusalemu, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu. 1121:11 Ufu 15:8; 4:6; Isa 60:1, 2; Eze 43:2; Ufu 21:23; 21:18, 19Ulikuwa ukingʼaa kwa utukufu wa Mungu kama kito chenye thamani sana, kama yaspi, safi kama kioo. 1221:12 Eze 48:30-34Ulikuwa na ukuta mkubwa, mrefu wenye malango kumi na mawili, pakiwa na malaika kumi na wawili kwenye hayo malango. Kwenye malango hayo yaliandikwa majina ya yale makabila kumi na mawili ya Israeli. 1321:13 Eze 48:31, 34Kulikuwa na malango matatu upande wa mashariki, matatu upande wa kaskazini, matatu upande wa kusini na matatu upande wa magharibi. 1421:14 Efe 2:20; Ebr 11:10; Mdo 1:2621:14 Ufu 11:1; Eze 40:3; Ufu 21:12Ukuta wa huo mji ulikuwa na misingi kumi na miwili, na juu yake yaliandikwa majina ya wale mitume kumi na wawili wa Mwana-Kondoo.

15Huyo malaika aliyesema nami alikuwa na ufito wa dhahabu wa kupimia huo mji, malango yake na kuta zake. 1621:16 Eze 45:16; 48:16; 17Mji huo ulikuwa mraba, urefu wake ulikuwa sawa na upana wake. Akaupima huo mji kwa huo ufito akakuta una kama kilomita 2,200;21:16 Kilomita 2,200 hapa ni sawa na maili 1,200. urefu wake na upana wake na kwenda juu kwake vilikuwa sawa. 1721:17 Ufu 13:18Akaupima ukuta wake, ulikuwa na unene wa dhiraa 14421:17 Dhiraa 144 ni karibu mita 65. kwa kipimo cha kibinadamu ambacho huyo malaika alikuwa akikitumia. 1821:18 Ufu 21:11, 21Ukuta huo ulijengwa kwa yaspi hali mji wenyewe ulijengwa kwa dhahabu safi, ikingʼaa kama kioo. 1921:19 Kut 28:17-20Misingi ya kuta za mji huo zilipambwa kwa kila aina ya kito cha thamani. Msingi wa kwanza ulikuwa wa yaspi, wa pili yakuti samawi, wa tatu kalkedoni, wa nne zumaridi, 2021:20 Ufu 4:3wa tano sardoniki, wa sita akiki, wa saba krisolitho, wa nane zabarajadi, wa tisa yakuti manjano, wa kumi krisopraso, wa kumi na moja hiakintho, wa kumi na mbili amethisto. 2121:21 Ufu 21:12; Isa 54:12; Ufu 21:18Yale malango kumi na mbili yalikuwa ni lulu kumi na mbili, kila lango lilikuwa limetengenezwa kwa lulu moja. Barabara kuu ya mji huo ilikuwa ya dhahabu safi ingʼaayo kama kioo.

2221:22 Yn 4:21-23; Ufu 1:8; 5:6Sikuona Hekalu ndani ya huo mji kwa sababu Bwana Mungu Mwenyezi na Mwana-Kondoo ndio hekalu lake. 2321:23 Isa 24:23; 22:5Ule mji hauhitaji jua wala mwezi kuuangazia, kwa sababu utukufu wa Mungu ndio nuru yake na Mwana-Kondoo ndiye taa yake. 2421:24 Isa 60:3, 5Mataifa yatatembea yakiangaziwa na nuru yake na wafalme wa duniani wataleta fahari yao ndani yake. 2521:25 Isa 60:11; Zek 14:7; Ufu 22:5Malango yake hayatafungwa kamwe, kwa maana hakutakuwa na usiku humo. 2621:26 Ufu 21:24Utukufu na heshima za mataifa zitaletwa humo. 2721:27 Yoe 3:17; Ufu 22:14, 15Lakini kitu kichafu hakitaingia humo kamwe, wala mtu yeyote atendaye mambo ya aibu au ya udanganyifu. Bali watakaoingia humo ni wale tu ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo.

Persian Contemporary Bible

مکاشفه 21:1-27

اورشليم تازه

1سپس زمين و آسمان تازه‌ای را ديدم، چون آن زمين و آسمان اول ناپديد شده بود. از دريا هم ديگر خبری نبود. 2و من، يوحنا، شهر مقدسِ اورشليم را ديدم كه از آسمان از جانب خدا پايين می‌آمد. چه منظرهٔ باشكوهی بود! شهر اورشليم به زيبايی يک عروس بود كه خود را برای ملاقات داماد آماده كرده باشد!

3از تخت، صدايی بلند شنيدم كه می‌گفت: «خوب نگاه كن! خانهٔ خدا از اين پس در ميان انسانها خواهد بود. از اين پس خدا با ايشان زندگی خواهد كرد و ايشان خلق‌های خدا خواهند شد. بله، خود خدا با ايشان خواهد بود. 4خدا تمام اشكها را از چشمان آنها پاک خواهد ساخت. ديگر نه مرگی خواهد بود و نه غمی، نه ناله‌ای و نه دردی، زيرا تمام اينها متعلق به دنيای پيشين بود كه از بين رفت.»

5آنگاه او كه بر تخت نشسته بود، گفت: «ببين! الان همه چيز را نو می‌سازم!» و به من گفت: «اين را بنويس چون آنچه می‌گويم، راست و درست است. 6ديگر تمام شد! من الف و يا، و اول و آخر هستم. من به هر كه تشنه باشد از چشمهٔ آب حيات به رايگان خواهم داد تا بنوشد. 7هر كه پيروز شود تمام اين نعمتها را به ارث خواهد برد و من خدای او خواهم بود و او فرزند من. 8ولی ترسوها كه از پيروی من رو برمی‌گردانند و كسانی كه به من ايمان ندارند، فاسدان و قاتلان و زناكاران، جادوگران و دروغگويان، و كسانی كه به جای خدا، بت می‌پرستند، جای همه در درياچه‌ای است كه با آتش و گوگرد می‌سوزد. اين همان مرگ دوم است.»

9آنگاه يكی از آن هفت فرشته كه هفت جام بلای آخر را دارند، نزد من آمد و گفت: «همراه من بيا تا عروس را به تو نشان دهم. او همسر بره است.»

10سپس در يک رؤيا، مرا به قله كوه بلندی برد. از آنجا، شهر مقدس اورشليم را ديدم كه از جانب خدا از آسمان پايين می‌آمد. 11شهر غرق در جلال و شكوه خدا بود، و مثل يک تكه جواهر قيمتی كه بلورهای شفافش برق می‌زند، می‌درخشيد. 12ديوارهای شهر، پهن و بلند بود. شهر دوازده دروازه و دوازده فرشتهٔ دربان داشت. اسامی دوازده قبيلهٔ بنی‌اسرائيل روی دروازه‌ها نوشته شده بود. 13در هر طرف، يعنی در شمال، جنوب، شرق و غرب شهر، سه دروازه وجود داشت. 14ديوارهای شهر دوازده پايه داشت كه بر آنها اسامی رسولان «برّه» نوشته شده بود.

15در دست فرشته يک چوب طلا بود كه با آن در نظر داشت شهر و دروازه‌ها و ديوارهايش را اندازه بگيرد. 16وقتی شهر را اندازه گرفت، معلوم شد به شكل مربع است، يعنی طول و عرضش با هم مساوی است. در واقع، شهر به شكل مكعب بود، زيرا بلندی‌اش نيز به اندازهٔ طول و عرضش بود، يعنی هر ضلعش دوازده هزار تير پرتاب بود. 17سپس بلندی ديوار شهر را اندازه گرفت و معلوم شد در همه جا صد و چهل و چهار ذراع است. فرشته با استفاده از واحدهای مشخص، اين اندازه‌ها را به من گفت.

18‏-19خود شهر از طلای خالص مانند شيشه شفاف ساخته شده بود و ديوار آن از يَشم بود كه بر روی دوازده لايه از سنگهای زيربنای جواهرنشان ساخته شده بود: لايهٔ اول از يشم، دومی از سنگ لاجورد، سومی از عقيق سفيد، چهارمی از زمرد، 20پنجمی از عقيق سرخ، ششمی از عقيق، هفتمی از زبرجد، هشتمی از ياقوت كبود، نهمی از ياقوت زرد، دهمی از عقيق سبز، يازدهمی از فيروزه و دوازدهمی از ياقوت بود.

21جنس دوازده دروازهٔ شهر از مرواريد بود، هر دروازهٔ از يک قطعه مرواريد. خيابان اصلی شهر از طلای ناب بود كه مثل شيشه می‌درخشيد.

22در شهر هيچ عبادتگاهی ديده نمی‌شد، زيرا خدای توانا و «برّه» را همه جا بدون هيچ واسطه‌ای پرستش می‌كردند. 23اين شهر احتياجی به نور خورشيد و ماه نداشت، چون شكوه و جلال خدا و «بره» شهر را روشن می‌ساخت. 24نورش قومهای زمين را نيز نورانی می‌كرد، و پادشاهان دنيا می‌آمدند و جلال خود را نثار آن می‌كردند. 25دروازه‌های شهر هرگز بسته نمی‌شود، چون در آنجا هميشه روز است و شبی وجود ندارد! 26عزّت و جلال و افتخار تمام قومها به آن وارد می‌شود. 27هيچ بدی يا شخص نادرست و فاسد اجازه ورود به آنجا را ندارد. اين شهر فقط جای كسانی است كه نامشان در كتاب حيات «برّه» نوشته شده باشد.