Tito 3 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version

Tito 3:1-15

Kutenda Mema

13:1 Rum 13:1; 2Tim 2:21Wakumbushe watu kuwanyenyekea watawala na kuwatii wenye mamlaka, wawe tayari kutenda kila lililo jema. 23:2 Efe 4:31; 2Tim 2:24Wasimnenee mtu yeyote mabaya, wasiwe wagomvi, bali wawe wapole, wakionyesha unyenyekevu kwa watu wote.

33:3 Efe 2:2, 5, 8; 1Kor 6:11Maana sisi wenyewe wakati fulani tulikuwa wajinga, wasiotii, tukiwa watumwa wa tamaa mbaya na anasa za kila aina. Tuliishi katika uovu na wivu, tukichukiwa na kuchukiana sisi kwa sisi. 43:4 Efe 2:7; Tit 2:11; Mit 8:31; 1Tim 2:3Lakini wema na upendo wa Mungu Mwokozi wetu ulipofunuliwa, 53:5 Efe 2:9; Rum 12:2; 3:20; 9:11; Gal 2:16; 2Tim 1:9; Yn 3:3, 5alituokoa, si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyotenda, bali kwa sababu ya rehema zake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa mara ya pili na kwa kufanywa wapya kwa njia ya Roho Mtakatifu, 63:6 Rum 5:5; Eze 36:25; Yoe 2:28; Yn 1:16; Mdo 2:33; 10:45ambaye Mungu alitumiminia kwa wingi kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu, 73:7 Rum 3:24; 8:24; Tit 1:2ili kwamba, tukiisha kuhesabiwa haki kwa neema yake, tupate kuwa warithi tukiwa na tumaini la uzima wa milele. 83:8 1Tim 1:15; Tit 2:14Hili ni neno la kuaminiwa. Nami nataka uyasisitize mambo haya, ili wale ambao wamemwamini Mungu wapate kuwa waangalifu kujitoa kwa ajili ya kutenda mema wakati wote. Mambo haya ni mazuri tena ya manufaa kwa kila mtu.

93:9 1Tim 1:14; 2Tim 2:14Lakini jiepushe na maswali ya kipuzi, mambo ya koo, mabishano na ugomvi kuhusu sheria, kwa sababu hayana faida, tena ni ubatili. 103:10 Rum 16:17; 2Kor 13:2; Mt 18:17; 2The 3:6, 14; 2Tim 3:5; Yn 10Mtu anayesababisha mafarakano, mwonye mara ya kwanza, kisha mwonye mara ya pili. Baada ya hapo, usihusike naye tena. 113:11 Mdo 13:46; 1Tim 6:4, 5Kwa kuwa unajua kwamba mtu kama huyo amepotoka na tena ni mwenye dhambi. Yeye amejihukumu mwenyewe.

Maneno Ya Mwisho Na Kumtamkia Baraka

123:12 Mdo 20:4; 2Tim 4:9, 21Mara nitakapomtuma Artema au Tikiko kwako, jitahidi kuja unione huko Nikopoli, kwa sababu nimeamua kukaa huko wakati wa majira ya baridi. 133:13 Mdo 18:24Fanya kila uwezalo uwasafirishe Zena yule mwanasheria na Apolo na uhakikishe kwamba wana kila kitu wanachohitaji katika safari yao. 14Watu wetu hawana budi kujifunza kutenda mema, ili waweze kuyakimu mahitaji ya kila siku, wasije wakaishi maisha yasiyokuwa na matunda.

153:15 1Tim 1:2; Kol 4:18Wote walio pamoja nami wanakusalimu. Wasalimu wale wanaotupenda katika imani.

Neema iwe nanyi nyote. Amen.

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

提多書 3:1-15

專心行善

1你要提醒眾人順服執政掌權者,要服從,隨時準備做各種善事。 2不要毀謗,不要爭吵,要謙和、恭敬地對待每一個人。 3從前我們也愚蠢、悖逆、易受迷惑,受各種私慾和享樂驅使,心裡充滿惡念和嫉妒,令人憎惡,也彼此憎恨。 4但我們的救主上帝向人彰顯了祂的恩慈和仁愛, 5藉著重生之洗和聖靈的更新拯救了我們,這並非因為我們有義行,而是因為祂的憐憫。 6上帝藉著我們的救主耶穌基督把聖靈豐豐富富地澆灌在我們身上。 7這樣,我們既然靠著祂的恩典被稱為義人,就可以成為後嗣,有永生的盼望。 8以上這些話是可信的,希望你認真強調,使信上帝的人專心行善。這都是造福眾人的美事。

9要避免愚昧的爭論、有關家譜的辯駁和律法上的爭執,因為這些毫無益處。 10對於製造分裂的人,警告過一兩次後,要和他斷絕來往。 11因為你知道這種人已經背道犯罪,自定己罪。

信末的囑咐與問候

12我會派亞提馬或者推基古去見你。到時候,你要盡快到尼哥波立來見我,因為我決定在那裡過冬。 13你要為西納律師和亞波羅送行,盡力幫助他們,讓他們路上一無所缺。 14我們的弟兄姊妹也要學習行善,供應有急需的人,免得毫無建樹。

15這裡的弟兄姊妹都問候你,也請你問候那些因信仰而愛我們的人。

願恩典常與你們眾人同在!