Tito 1 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Tito 1:1-16

11:1 Rum 1:1; 1Tim 2:4Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume wa Yesu Kristo kwa ajili ya imani ya wateule wa Mungu na kuijua kweli iletayo utauwa: 21:2 2Tim 1:1; 1:9imani na ujuzi ulioko katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu, asiyesema uongo, aliahidi hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, 31:3 1Tim 1:6; 2Tim 1:10; 1Tim 1:11; Lk 1:47naye kwa wakati wake aliouweka alilidhihirisha neno lake kwa njia ya mahubiri ambayo mimi nimewekewa amana kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu:

41:4 2Kor 2:13; 1Tim 1:2; Rum 1:7; 1:12; 2Kor 4:13; Gal 2:3Kwa Tito, mwanangu hasa katika imani tunayoshiriki sote:

Neema iwe kwako na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Mwokozi wetu.

Kazi Ya Tito Huko Krete

51:5 Mdo 27:7; 11:30Sababu ya mimi kukuacha huko Krete ni ili uweke utaratibu mambo yale yaliyosalia na kuwaweka wazee wa kanisa katika kila mji, kama nilivyokuagiza. 61:6 1Tim 3:2; 3:12; 4; 1The 3:13Mzee wa kanisa asiwe na lawama, awe mume wa mke mmoja, mtu ambaye watoto wake ni waaminio na wala hawashtakiwi kwa ufisadi. 71:7 1Tim 3:1; 1Kor 4:1; 1Tim 3:3, 8Kwa kuwa mwangalizi, kama wakili wa Mungu, imempasa kuwa mtu asiye na lawama, asiwe mwenye majivuno au mwepesi wa hasira, wala mlevi, wala asiwe mtu mwenye tamaa ya mapato yasiyo ya halali. 81:8 1Tim 3:2; 2Tim 3:3Bali awe mkarimu, anayependa mema, mwenye kiasi, mwenye haki, mwadilifu, mnyofu, mtakatifu na mwenye kuitawala nafsi yake. 91:9 1Kor 16:13; 1Tim 1:10Inampasa alishike kwa uthabiti lile neno la imani kama lilivyofundishwa, kusudi aweze kuwaonya wengine kwa mafundisho manyofu na kuwakanusha wale wanaopingana nayo.

Walimu Wa Uongo

101:10 1Tim 1:6; Mdo 11:2Kwa maana wako wengi wasiotii, wenye maneno yasiyo na maana, hasa wale wa kikundi cha tohara. 111:11 2Tim 3:6; Tit 3:6; Yn 10:12; 1Pet 5:2Hao ni lazima wanyamazishwe, kwa sababu wanaharibu watu wa nyumba nzima wakifundisha mambo yasiyowapasa kufundisha. Wanafanya hivyo kwa ajili ya kujipatia mapato ya udanganyifu. 121:12 Mdo 17:28; 2:11Hata mmojawapo wa manabii wao mwenyewe amesema, “Wakrete ni waongo siku zote, wanyama wabaya, walafi, wavivu.” 131:13 2Kor 13:10; Tit 2:2Ushuhuda huu ni kweli. Kwa hiyo, uwakemee kwa ukali wapate kuwa wazima katika imani, 141:14 1Tim 4:7; 1:4; Kol 2:22; 2Tim 4:4ili wasiendelee kuangalia hadithi za Kiyahudi au maagizo ya wale watu wanaoikataa kweli. 151:15 Rum 14:14, 23; Za 18:26; Mt 7:14-19; Mdo 10:9-16Kwa wale walio safi, kila kitu ni safi kwao. Lakini kwa wale waliopotoka na wasioamini, hakuna chochote kilicho safi. Kwa kweli nia zao na dhamiri zao zimepotoka. 161:16 1Yn 2; 4; Yer 5; 2; 12:2; Hos 8:2, 3Wanadai kumjua Mungu, lakini kwa matendo yao wanamkana. Hao watu ni chukizo, wasiotii, wasiofaa kwa jambo lolote jema.

New International Reader’s Version

Titus 1:1-16

1I, Paul, am writing this letter. I serve God, and I am an apostle of Jesus Christ. God sent me to help his chosen people believe in Christ more and more. God sent me to help them understand even more the truth that leads to godly living. 2That belief and understanding lead to the hope of eternal life. Before time began, God promised to give that life. And he does not lie. 3Now, at just the right time, he has made his promise clear. He did this through the preaching that he trusted me with. God our Savior has commanded all these things.

4Titus, I am sending you this letter. You are my true son in the faith we share.

May God the Father and Christ Jesus our Savior give you grace and peace.

Choosing Elders Who Love What Is Good

5I left you on the island of Crete. I did this because there were some things that hadn’t been finished. I wanted you to put them in order. I also wanted you to appoint elders in every town. I told you how to do it. 6An elder must be without blame. He must be faithful to his wife. His children must be believers. They must not give anyone a reason to say that they are wild and don’t obey. 7A church leader takes care of God’s family. That’s why he must be without blame. He must not look after only his own interests. He must not get angry easily. He must not get drunk. He must not push people around. He must not try to get money by cheating people. 8Instead, a church leader must welcome people into his home. He must love what is good. He must control his mind and feelings. He must do what is right. He must be holy. He must control the desires of his body. 9The message as it has been taught can be trusted. He must hold firmly to it. Then he will be able to use true teaching to comfort others and build them up. He will be able to prove that people who oppose it are wrong.

Warning People Who Fail to Do Good

10Many people refuse to obey God. All they do is talk about things that mean nothing. They try to fool others. No one does these things more than the circumcision group. 11They must be stopped. They are making trouble for entire families. They do this by teaching things they shouldn’t. They do these things to cheat people. 12One of Crete’s own prophets has a saying. He says, “People from Crete are always liars. They are evil beasts. They don’t want to work. They live only to eat.” 13This saying is true. So give a strong warning to people who refuse to obey God. Then they will understand the faith correctly. 14Then they will pay no attention to Jewish stories that aren’t true. They won’t listen to the mere human commands of people who turn away from the truth. 15To people who are pure, all things are pure. But to those who have twisted minds and don’t believe, nothing is pure. In fact, their minds and their sense of what is right and wrong are twisted. 16They claim to know God. But their actions show they don’t know him. They are hated by God. They refuse to obey him. They aren’t fit to do anything good.