Sefania 2 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version

Sefania 2:1-15

12:1 2Nya 20:4; Yoe 1:14; 2:16; Yer 3:3; 6:15Kusanyikeni pamoja, kusanyikeni pamoja,

enyi taifa lisilo na aibu,

22:2 Isa 17:13; Hos 13:3; 2Fal 23:26; Yer 4:4; 10:25; Eze 7:19; Mao 4:11kabla ya wakati ulioamriwa haujafika

na siku ile inayopeperusha kama makapi,

kabla hasira kali ya Bwana haijaja juu yenu,

kabla siku ya ghadhabu ya Bwana

haijaja juu yenu.

32:3 Amo 5:6; Yoe 2:4; Isa 1:17; Za 45:4; 57:1; 76:9Mtafuteni Bwana, enyi nyote wanyenyekevu wa nchi,

ninyi ambao hufanya lile analoamuru.

Tafuteni haki, tafuteni unyenyekevu;

labda mtahifadhiwa

siku ya hasira ya Bwana.

Dhidi Ya Ufilisti

42:4 Mwa 10:19; Amo 1:6-8; Zek 9:5-7; Yer 6:4; 47:5Gaza utaachwa

na Ashkeloni utaachwa magofu.

Wakati wa adhuhuri Ashdodi utaachwa mtupu

na Ekroni utangʼolewa.

52:5 1Sam 30:14; Law 26:31; Eze 25:16; Yos 13:3; Isa 14:30Ole wenu ninyi ambao mnaishi kando ya bahari,

enyi Wakerethi;

neno la Bwana liko dhidi yenu,

ee Kanaani, nchi ya Wafilisti.

“Mimi nitawaangamiza,

na hakuna atakayebaki.”

62:6 Isa 5:17; 17:2Nchi kando ya bahari, mahali ambapo wanaishi Wakerethi,

patakuwa mahali pa wachungaji

na mazizi ya kondoo.

72:7 Isa 11:11; Hag 1:12; Mik 5:7; 4:10; Kut 4:31; Lk 1:68; Mwa 45:7; Kum 30:3; Za 126:4; Yer 23:3; 32:44; Hos 6:11; Eze 39:25; Yoe 3:1; Amo 1:6-8Itakuwa mali ya mabaki ya nyumba ya Yuda,

hapo watapata malisho.

Wakati wa jioni watajilaza chini

katika nyumba za Ashkeloni.

Bwana Mungu wao atawatunza,

naye atawarudishia wafungwa wao.

Dhidi Ya Moabu Na Amoni

82:8 Mwa 19:37; Yer 48:27; 49:1; Eze 25:3, 8; 21:28; Mao 3:61; Isa 16:6“Nimeyasikia matukano ya Moabu

nazo dhihaka za Waamoni,

ambao waliwatukana watu wangu

na kutoa vitisho dhidi ya nchi yao.

92:9 Kum 23:6; 29:23; Isa 11:14; Yer 48:1-47; 49:1-6; Eze 25:1-11; 2Fal 19:31; Amo 1:13; 2:1-3Hakika, kama niishivyo,”

asema Bwana Mwenye Nguvu Zote,

Mungu wa Israeli,

“hakika Moabu itakuwa kama Sodoma,

Waamoni kama Gomora:

mahali pa magugu na mashimo ya chumvi,

nchi ya ukiwa milele.

Mabaki ya watu wangu watawateka nyara;

mabaki ya taifa langu watarithi nchi yao.”

102:10 Ay 40:12; Isa 16:6; Yer 48:27; Za 9:6Hiki ndicho watarudishiwa kwa ajili ya kiburi chao,

kwa kutukana na kudhihaki

watu wa Bwana Mwenye Nguvu Zote.

112:11 Mwa 49:10; 10:5; Za 2:8; 22:27; Isa 2:2, 3; Mal 1:11; Yn 4:21; 1Tim 2:8; Yoe 2:11; 1Nya 19:1; Eze 25:6-7; Isa 12:4; Za 86:9; Sef 3:9Bwana atakuwa wa kuhofisha kwao

atakapoangamiza miungu yote ya nchi.

Mataifa katika kila pwani yatamwabudu,

kila moja katika nchi yake.

Dhidi Ya Kushi

122:12 Mwa 10:6; Isa 18:1; 20:4; Yer 46:10“Ninyi pia, ee Wakushi,

mtauawa kwa upanga wangu.”

Dhidi Ya Ashuru

132:13 Mwa 10:5-11; Zek 10:11; Mik 5:6Mungu atanyoosha mkono wake dhidi ya kaskazini

na kuangamiza Waashuru,

akiiacha Ninawi ukiwa

na pakame kama jangwa.

142:14 Isa 5:17; 13:21; 14:23; Ufu 18:2; Za 102:6Makundi ya kondoo na ngʼombe yatajilaza pale,

viumbe vya kila aina.

Bundi wa jangwani na bundi waliao kwa sauti nyembamba

wataishi juu ya nguzo zake.

Mwangwi wa kuita kwao utapita madirishani,

kifusi kitakuwa milangoni,

boriti za mierezi zitaachwa wazi.

152:15 Isa 32:9; 47:8; Eze 27:36; 28:2; Ufu 18:7; Yer 49:33; Nah 3:19Huu ndio mji uliotukuka na kuishi kwa furaha

wakijisikia salama.

Ulisema moyoni mwako,

“Mimi ndimi, na wala hapana mwingine ila mimi.”

Jinsi gani umekuwa gofu,

mahali pa kulala wanyama pori!

Wote wanaopita kando yake wanauzomea

na kutikisa mkono kwa dharau.

Nueva Versión Internacional

Sofonías 2:1-15

1Congréguense, sí, congréguense ustedes,2:1 congréguense ustedes. Texto de difícil traducción.

nación desvergonzada;

2antes que se cumpla lo que he determinado

y el día pase como paja arrastrada por el viento;

antes que caiga sobre ustedes la ira ardiente del Señor;

antes que venga sobre ustedes el día de la ira del Señor.

3Busquen al Señor, todos ustedes,

los humildes de la tierra,

los que obedecen sus órdenes.

Busquen la justicia, busquen la humildad;

tal vez encontrarán refugio

en el día de la ira del Señor.

Juicio contra los filisteos

4Gaza quedará abandonada

y Ascalón acabará en ruinas.

Asdod será expulsada a plena luz del día

y Ecrón será desarraigada.

5¡Ay de la nación queretea

que habita a la costa del mar!

La palabra del Señor es contra ti,

Canaán, tierra de los filisteos:

«Te aniquilaré

hasta no dejar en ti habitante».

6La costa del mar se convertirá en praderas,

en campos2:6 campos. Palabra de difícil traducción. de pastoreo y corrales de ovejas.

7Y esa tierra pertenecerá

al remanente del pueblo de Judá.

Allí pastarán sus ovejas

y al atardecer se echarán a descansar

en las casas de Ascalón;

porque los cuidará el Señor su Dios

para restaurarlos.2:7 para restaurarlos. Alt. y hará volver a sus cautivos.

Juicio contra Moab y Amón

8«He oído las burlas de Moab

y el menosprecio de los amonitas,

que insultaron a mi pueblo

y se mostraron arrogantes contra su territorio.

9Tan cierto como que yo vivo»,

afirma el Señor de los Ejércitos, el Dios de Israel,

«Moab vendrá a ser como Sodoma

y los amonitas como Gomorra:

se volverán campos de espinos y minas de sal,

ruina perpetua.

El remanente de mi pueblo los saqueará;

los sobrevivientes de mi nación heredarán su tierra».

10Este será el pago por su soberbia

y por insultar y ridiculizar

al pueblo del Señor de los Ejércitos.

11El Señor será terrible contra ellos,

cuando destruya a todos los dioses de la tierra;

y así hasta las naciones más remotas

se postrarán en adoración ante él,

cada cual en su propia tierra.

Juicio contra Cus

12«También ustedes, cusitas,

serán atravesados por mi espada».

Juicio contra Asiria

13Él extenderá su mano contra el norte;

aniquilará a Asiria

y dejará a Nínive en ruinas,

árida como un desierto.

14Se tenderán en medio de ella los rebaños

y toda clase de animales salvajes.

Pasarán la noche sobre sus columnas

tanto el búho del desierto como la lechuza.2:14 La identidad de estos animales es incierta. El paralelismo sugiere dos clases de aves, sin embargo, el segundo término hebreo parece referirse a una garza o a un puercoespín.

Resonarán por las ventanas sus graznidos,

habrá asolamiento en los umbrales,

las vigas de cedro quedarán al descubierto.

15Esta es la ciudad alegre

que habitaba segura,

la que se decía a sí misma:

«Yo y nadie más».

¡Cómo ha quedado convertida en espanto,

en guarida de fieras!

Todo el que pasa junto a ella

se mofa y le hace gestos con las manos.