Sefania 1 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Sefania 1:1-18

11:1 2Fal 22:1; 2Tim 3:16; 2Pet 1:21; 1Nya 3:14Neno la Bwana lililomjia Sefania mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, mwana wa Amaria, mwana wa Hezekia, wakati wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda:

Onyo La Maangamizi Yanayokuja

21:2 Mwa 6:7Bwana asema,

“Nitafagia kila kitu

kutoka kwenye uso wa dunia.”

31:3 Yer 4:25; 50:3; Hos 4:3; Eze 14:17“Nitafagilia mbali watu na wanyama;

nitafagilia mbali ndege wa angani

na samaki wa baharini.

Wafanyao maovu watapata tu kokoto,

nami nitamkatilia mbali mwanadamu atoke katika dunia,”

asema Bwana.

Dhidi Ya Yuda

41:4 Yer 6:12; 15:6; Mik 5:13; Sef 2:11; Hos 10:5“Nitaiadhibu Yuda

na wote wakaao Yerusalemu.

Kutoka mahali hapa nitakatilia mbali

kila mabaki ya Baali,

majina ya wapagani na makuhani

waabuduo sanamu:

51:5 Yer 5:7; 8:2; 1Fal 11:33; Law 18:21wale ambao husujudu juu ya mapaa

kuabudu jeshi la vitu vya angani,

wale ambao husujudu na kuapa kwa Bwana

na ambao pia huapa kwa Malkamu,

61:6 Yer 2:13; Isa 9:13; Hos 7:7wale wanaoacha kumfuata Bwana,

wala hawamtafuti Bwana

wala kutaka shauri lake.

71:7 Isa 13:6; 41:1; Eze 7:19; Yoe 3:14; Amo 5:18-20; Yer 46:10Nyamazeni mbele za Bwana Mwenyezi,

kwa maana siku ya Bwana iko karibu.

Bwana ameandaa dhabihu,

amewaweka wakfu wale aliowaalika.

81:8 Isa 24:21; Yer 39:6Katika siku ya dhabihu ya Bwana

nitawaadhibu wakuu

na wana wa mfalme

na wale wote wanaovaa

nguo za kigeni.

91:9 1Sam 5:5; Amo 3:10Katika siku hiyo nitaadhibu wote ambao

hukwepa kukanyaga kizingiti,

ambao hujaza hekalu la miungu yao

kwa dhuluma na udanganyifu.”

101:10 Isa 22:5; Neh 3:13; 2Nya 33:14; Amo 5:16Bwana asema, “Katika siku hiyo

kilio kitapanda juu kutoka lango la Samaki,

maombolezo kutoka mtaa wa pili,

na mshindo mkubwa kutoka vilimani.

111:11 Yak 5:1; Hos 9:6; Ufu 18:11, 12Ombolezeni, ninyi mnaoishi katika eneo la sokoni;

wafanyabiashara wenu wote wameangamizwa,

wote ambao wanafanya biashara ya fedha

wataangamizwa.

121:12 Amo 6:1; Ay 21:15; Za 10:11-13; Yer 48:11; Eze 8:12; 2Fal 21:16; Ay 22:13Wakati huo nitasaka mji wa Yerusalemu kwa taa,

na kuwaadhibu wale ambao

wanakaa katika hali ya kuridhika,

ambao ni kama divai

iliyobaki kwenye machicha,

ambao hudhani, ‘Bwana hatafanya lolote,

jema au baya.’

131:13 2Fal 24:13; Yer 15:13; Mik 6:15; Kum 28:30-39; Mao 5:2; Amo 5:11Utajiri wao utatekwa nyara,

nyumba zao zitabomolewa.

Watajenga nyumba,

lakini hawataishi ndani yake;

watapanda mizabibu

lakini hawatakunywa divai yake.

Siku Kubwa Ya Bwana

141:14 Yer 30:7; Ufu 6:17; Yoe 1:15; 2:1; Mal 4:5; Eze 7:7; Dan 7:13“Siku kubwa ya Bwana iko karibu:

iko karibu na inakuja haraka.

Sikilizeni! Kilio katika siku ya Bwana

kitakuwa kichungu,

hata shujaa atapiga kelele.

151:15 1Sam 2:9; Mk 13:24-25; Yoe 2:2Siku ile ni siku ya ghadhabu,

siku ya fadhaa na dhiki,

siku ya uharibifu na ukiwa,

siku ya giza na utusitusi,

siku ya mawingu na giza nene,

161:16 Yer 4:19; 8:16; Hos 5:8; Amo 3:6; Kum 28:52; Isa 2:15siku ya tarumbeta na mlio wa vita

dhidi ya miji yenye ngome

na dhidi ya minara mirefu.

171:17 Kum 28:52; Isa 59:10; Yer 9:22; Za 79:3; 83:10Nitawaletea watu dhiki,

nao watatembea kama vipofu,

kwa sababu wametenda dhambi

dhidi ya Bwana.

Damu yao itamwagwa kama vumbi

na matumbo yao kama taka.

181:18 Ay 20:20; 40:11; Eze 7:11; 7:19; Kum 29:20; Sef 3:8; Mwa 6:7Fedha yao wala dhahabu yao

hazitaweza kuwaokoa

katika siku hiyo ya ghadhabu ya Bwana.

Katika moto wa wivu wake

dunia yote itateketezwa,

kwa maana ataleta mwisho

wa wote wanaoishi katika dunia ghafula.”

Nueva Versión Internacional

Sofonías 1:1-18

1Esta es la palabra del Señor que vino a Sofonías, hijo de Cusí, hijo de Guedalías, hijo de Amarías, hijo de Ezequías, durante el reinado de Josías, hijo de Amón, rey de Judá:

Advertencia sobre la destrucción venidera

2«Arrasaré por completo

cuanto hay sobre la faz de la tierra»,

afirma el Señor.

3«Arrasaré con hombres y animales,

con las aves del cielo,

con los peces del mar

y con los ídolos que hacen caer a los malvados.1:3 caer a los malvados. Texto de difícil traducción.

»Destruiré a toda la humanidad

de sobre la faz de la tierra»,

afirma el Señor.

Juicio contra Judá

4«Extenderé mi mano contra Judá

y contra todos los habitantes de Jerusalén.

Exterminaré de este lugar todo rastro de Baal

y hasta el nombre de sus sacerdotes idólatras;

5a los que en las azoteas se postran en adoración

ante al ejército del cielo;

a los que, postrados en adoración,

juran lealtad al Señor

y al mismo tiempo a Moloc;1:5 Moloc. Lit. Malcán; es decir, Milcón.

6a los que se apartan del Señor

y no lo buscan ni lo consultan.

7»¡Silencio ante el Señor y Dios,

porque cercano está el día del Señor;

ha preparado el Señor un sacrificio

y ha consagrado a sus invitados!

8»En el día del sacrificio del Señor

castigaré a los oficiales y los hijos del rey,

y a cuantos se visten según modas extrañas.

9En aquel día castigaré

a cuantos evitan pisar el umbral,1:9 evitan pisar el umbral. Alusión a una práctica supersticiosa; véase 1S 5:5.

a los que llenan de violencia y engaño

la casa de sus dioses.1:9 la casa de sus dioses. Alt. el palacio de su señor.

10»Aquel día se oirán gritos de auxilio,

desde la puerta del Pescado,

quejidos desde el Barrio Nuevo,

y gran quebranto desde las colinas»,

afirma el Señor.

11«¡Giman, habitantes del Barrio del Mercado!1:11 Mercado. Alt. Mortero.

Aniquilados serán todos sus mercaderes,

exterminados cuantos comercian con plata.

12En aquel tiempo registraré Jerusalén con lámparas

para castigar a los que reposan tranquilos

como vino en su sedimento,

a los que piensan: “El Señor no va a hacer nada,

ni para bien ni para mal”.

13En botín se convertirán sus riquezas;

sus casas quedarán en ruinas:

“Edificarán casas,

pero no las habitarán;

plantarán viñas,

pero del vino no beberán”.

El gran día del Señor

14»Ya se acerca el gran día del Señor;

a toda prisa se acerca.

El clamor del día del Señor será amargo

y aun el más valiente gritará.

15Día de ira será aquel día,

día de aflicción y angustia,

día de ruina y destrucción,

día de tinieblas y penumbra,

día de niebla y densa oscuridad,

16día de trompeta y grito de batalla

contra las ciudades fortificadas,

contra las torres altas.

17»Traeré tal angustia a todo el pueblo

que andarán como ciegos,

porque pecaron contra el Señor.

Su sangre será derramada como polvo

y sus entrañas como estiércol.

18No los podrán librar

ni su plata ni su oro

en el día de la ira del Señor.

»En el fuego de su celo

será toda la tierra consumida;

en un instante reducirá a la nada

a todos los habitantes de la tierra».