Sefania 1 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Sefania 1:1-18

11:1 2Fal 22:1; 2Tim 3:16; 2Pet 1:21; 1Nya 3:14Neno la Bwana lililomjia Sefania mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, mwana wa Amaria, mwana wa Hezekia, wakati wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda:

Onyo La Maangamizi Yanayokuja

21:2 Mwa 6:7Bwana asema,

“Nitafagia kila kitu

kutoka kwenye uso wa dunia.”

31:3 Yer 4:25; 50:3; Hos 4:3; Eze 14:17“Nitafagilia mbali watu na wanyama;

nitafagilia mbali ndege wa angani

na samaki wa baharini.

Wafanyao maovu watapata tu kokoto,

nami nitamkatilia mbali mwanadamu atoke katika dunia,”

asema Bwana.

Dhidi Ya Yuda

41:4 Yer 6:12; 15:6; Mik 5:13; Sef 2:11; Hos 10:5“Nitaiadhibu Yuda

na wote wakaao Yerusalemu.

Kutoka mahali hapa nitakatilia mbali

kila mabaki ya Baali,

majina ya wapagani na makuhani

waabuduo sanamu:

51:5 Yer 5:7; 8:2; 1Fal 11:33; Law 18:21wale ambao husujudu juu ya mapaa

kuabudu jeshi la vitu vya angani,

wale ambao husujudu na kuapa kwa Bwana

na ambao pia huapa kwa Malkamu,

61:6 Yer 2:13; Isa 9:13; Hos 7:7wale wanaoacha kumfuata Bwana,

wala hawamtafuti Bwana

wala kutaka shauri lake.

71:7 Isa 13:6; 41:1; Eze 7:19; Yoe 3:14; Amo 5:18-20; Yer 46:10Nyamazeni mbele za Bwana Mwenyezi,

kwa maana siku ya Bwana iko karibu.

Bwana ameandaa dhabihu,

amewaweka wakfu wale aliowaalika.

81:8 Isa 24:21; Yer 39:6Katika siku ya dhabihu ya Bwana

nitawaadhibu wakuu

na wana wa mfalme

na wale wote wanaovaa

nguo za kigeni.

91:9 1Sam 5:5; Amo 3:10Katika siku hiyo nitaadhibu wote ambao

hukwepa kukanyaga kizingiti,

ambao hujaza hekalu la miungu yao

kwa dhuluma na udanganyifu.”

101:10 Isa 22:5; Neh 3:13; 2Nya 33:14; Amo 5:16Bwana asema, “Katika siku hiyo

kilio kitapanda juu kutoka lango la Samaki,

maombolezo kutoka mtaa wa pili,

na mshindo mkubwa kutoka vilimani.

111:11 Yak 5:1; Hos 9:6; Ufu 18:11, 12Ombolezeni, ninyi mnaoishi katika eneo la sokoni;

wafanyabiashara wenu wote wameangamizwa,

wote ambao wanafanya biashara ya fedha

wataangamizwa.

121:12 Amo 6:1; Ay 21:15; Za 10:11-13; Yer 48:11; Eze 8:12; 2Fal 21:16; Ay 22:13Wakati huo nitasaka mji wa Yerusalemu kwa taa,

na kuwaadhibu wale ambao

wanakaa katika hali ya kuridhika,

ambao ni kama divai

iliyobaki kwenye machicha,

ambao hudhani, ‘Bwana hatafanya lolote,

jema au baya.’

131:13 2Fal 24:13; Yer 15:13; Mik 6:15; Kum 28:30-39; Mao 5:2; Amo 5:11Utajiri wao utatekwa nyara,

nyumba zao zitabomolewa.

Watajenga nyumba,

lakini hawataishi ndani yake;

watapanda mizabibu

lakini hawatakunywa divai yake.

Siku Kubwa Ya Bwana

141:14 Yer 30:7; Ufu 6:17; Yoe 1:15; 2:1; Mal 4:5; Eze 7:7; Dan 7:13“Siku kubwa ya Bwana iko karibu:

iko karibu na inakuja haraka.

Sikilizeni! Kilio katika siku ya Bwana

kitakuwa kichungu,

hata shujaa atapiga kelele.

151:15 1Sam 2:9; Mk 13:24-25; Yoe 2:2Siku ile ni siku ya ghadhabu,

siku ya fadhaa na dhiki,

siku ya uharibifu na ukiwa,

siku ya giza na utusitusi,

siku ya mawingu na giza nene,

161:16 Yer 4:19; 8:16; Hos 5:8; Amo 3:6; Kum 28:52; Isa 2:15siku ya tarumbeta na mlio wa vita

dhidi ya miji yenye ngome

na dhidi ya minara mirefu.

171:17 Kum 28:52; Isa 59:10; Yer 9:22; Za 79:3; 83:10Nitawaletea watu dhiki,

nao watatembea kama vipofu,

kwa sababu wametenda dhambi

dhidi ya Bwana.

Damu yao itamwagwa kama vumbi

na matumbo yao kama taka.

181:18 Ay 20:20; 40:11; Eze 7:11; 7:19; Kum 29:20; Sef 3:8; Mwa 6:7Fedha yao wala dhahabu yao

hazitaweza kuwaokoa

katika siku hiyo ya ghadhabu ya Bwana.

Katika moto wa wivu wake

dunia yote itateketezwa,

kwa maana ataleta mwisho

wa wote wanaoishi katika dunia ghafula.”

Japanese Contemporary Bible

ゼパニヤ書 1:1-18

1

1表題――主からのことば。あて先――ゼパニヤ。彼はクシの子、ゲダルヤの孫、アマルヤの曾孫、ヒゼキヤの曾々孫。時代――ユダの王、アモンの子ヨシヤの治世。

主の日に下される全世界へのさばき

2主はこう言う。

「わたしは、おまえの国にあるものを一掃し、

徹底的に滅ぼす。

3人も動物もだ。

人間と人間が拝む偶像、すべては消え去る。

空の鳥も海の魚も死に絶える。

4わたしはこぶしでユダとエルサレムを打ち砕き、

残っているバアルの礼拝者を断ち滅ぼす。

偶像に仕える祭司を抹殺し、

そのため、彼らの記憶さえ消え去る。

5彼らは屋上に上って、太陽や月や星を拝んでいる。

『主に従っている』と言いながら、

モレクをも礼拝している。

わたしは、そんな彼らを滅ぼす。

6そして、以前は主を礼拝していたのに

今は礼拝していない者や、主を愛したことも

愛そうと思ったこともない者を滅ぼす。」

7静まって、主の前に立て。

主のさばきの恐ろしい日がくるからだ。

神はご自分の民を虐殺する手はずを整え、

死刑執行人を選んでいる。

8「さばきの日に、わたしはユダの指導者と君主たち、

それに異教の服を着ている者すべてを罰する。

9そうだ、異教の習慣に従う者や、

盗みや人殺しをほしいままにして、

主人の家を暴力と詐欺による邪悪な利得で満たす者を

罰する。

10警告を発する叫び声が、

エルサレムの中心から遠く離れた門から上がり、

だんだん近づいてきて、ついに前進する軍勢の音が、

町が立っている丘の頂に達する。

11エルサレムの民よ、泣き悲しめ。

町の貪欲な商売人、高利貸しは一人残らず死ぬのだ。

12わたしは、ともしびをかざして、

エルサレムの暗い隅々まで捜し回る。

罪にどっぷりつかり、神に関心を示さず、

神はそっとしておいてくれると考えている者たちを

見つけ出して罰するのだ。

13彼らの財産は敵に奪われ、家は荒らされる。

自分たちが建てた新しい家に住む機会は決してない。

自分たちが植えたぶどう畑のぶどう酒を

飲むことも決してない。

14その恐るべき日は近い。

急ぎ足でやってくる。

その日には、勇士たちも泣きくずれる。

15それは神の怒りが注ぎ出される日、

恐ろしい苦悩と苦痛の日、崩壊と荒廃の日、

暗闇と陰鬱、

暗雲と暗黒の日。

16角笛が吹き鳴らされ、ときの声が上がる。

城壁で囲まれた町と、最も強固な胸壁が崩れ落ちる。

17わたしは彼らを、

目が見えずに手探りで道を捜し回る人のように

無力にする。主に罪を犯したからだ。

それで、彼らの血はちりの中に注ぎ出され、

死体は地面に置かれたまま朽ちはてる。」

18あなたがたの金銀も、主の怒りの日には役に立たない。

そんなもので自分の身代金を払うことはできない。

神のねたみの炎が、全地をなめ尽くすからだ。

神はユダの民すべてをたちまちのうちに取り除く。