Nehemia 7 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Nehemia 7:1-73

17:1 1Nya 26:12-19; Neh 6:1; 8:9; Za 68:25Baada ya ukuta kukamilika kujengwa upya na nikaweka milango, mabawabu wa lango, waimbaji, na Walawi waliteuliwa. 27:2 Neh 10:23; 2:8; Mit 26:24; 1Fal 18:37:2 Neh 7:3Nikamweka Hanani ndugu yangu kuwa kiongozi wa Yerusalemu, pamoja na Hanania jemadari wa ngome, kwa kuwa alikuwa mtu mwadilifu na mwenye kumcha Mungu kuliko watu wengine. 3Nikawaambia, “Malango ya Yerusalemu yasifunguliwe mpaka jua litakapokuwa limepanda. Walinzi wa malango wakiwa bado kwenye zamu, waamuru wafunge milango na waweke makomeo. Pia wateueni wenyeji wa Yerusalemu wawe walinzi, kila mmoja kwenye lindo lake, na wengine karibu na nyumba zao wenyewe.”

Orodha Ya Waliorudi Toka Uhamishoni

(Ezra 2:1-70)

47:4 Mit 1:10; Neh 11:1Mji ulikuwa mkubwa, tena wenye nafasi nyingi, lakini walikuwepo watu wachache ndani yake, nazo nyumba zilikuwa bado ni magofu. 57:5 Mit 2:6; Rum 11:36; 1Kor 4:7; 2Kor 8:16; Yak 1:17; Ezr 2:1-70Hivyo Mungu wangu akaweka moyoni mwangu kuwakusanya wakuu, maafisa na watu wa kawaida kwa ajili ya kuorodheshwa kulingana na jamaa zao. Nilikuta orodha ya vizazi ya wale waliokuwa wa kwanza kurudi toka utumwani. Haya ndiyo niliyokuta yameandikwa humo:

67:6 Ezr 2:1-10; 2Nya 36:20Hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake, 77:7 1Nya 3:19; Ezr 2:2wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispereti, Bigwai, Nehumu na Baana):

Orodha ya wanaume wa Israeli ilikuwa:

87:8 Ay 13:4; Dan 11:27wazao wa Paroshi 2,1729wazao wa Shefatia 37210wazao wa Ara 65211wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,81812wazao wa Elamu 1,25413wazao wa Zatu 84514wazao wa Zakai 76015wazao wa Binui 64816wazao wa Bebai 62817wazao wa Azgadi 2,32218wazao wa Adonikamu 66719wazao wa Bigwai 2,067207:20 Ezr 8:6wazao wa Adini 65521wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 9822wazao wa Hashumu 32823wazao wa Besai 32424wazao wa Harifu 11225wazao wa Gibeoni 95

267:26 2Sam 23:28; Mwa 35:6; Rut 2; 4watu wa Bethlehemu na Netofa 188277:27 Yos 21:18; Ezr 2:23watu wa Anathothi 12828watu wa Beth-Azmawethi 42297:29 Yos 18:25-26watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 74330watu wa Rama na Geba 621317:31 1Sam 13:2; Isa 10:27watu wa Mikmashi 122327:32 Mwa 12:8watu wa Betheli na Ai 12333watu wa Nebo 5234wazao wa Elamu 1,25435wazao wa Harimu 320367:36 Neh 3:2wazao wa Yeriko 345377:37 1Nya 8:12wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 72138wazao wa Senaa 3,930

397:39 1Nya 24:7Makuhani:

wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973407:40 1Nya 24:14wazao wa Imeri 1,052417:41 1Nya 9:12; 24:9wazao wa Pashuri 1,247427:42 1Nya 24:8; Ezr 10:31wazao wa Harimu 1,017

43Walawi:

wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia) 74

447:44 Neh 11:23Waimbaji:

wazao wa Asafu 148

457:45 1Nya 9:17Mabawabu wa malango:

wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 138

467:46 Neh 3:26Watumishi wa Hekalu:7:46 Yaani Wanethini (pia 7:60, 73).

wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,

47wazao wa Kerosi, Sia, Padoni,

48wazao wa Lebana, Hagaba, Shalmai,

49wazao wa Hanani, Gideli, Gahari,

50wazao wa Reaya, Resini, Nekoda,

51wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,

52wazao wa Besai, Meunimu, Nefusimu,

53wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,

54wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,

55wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,

56wazao wa Nesia na Hatifa.

577:57 Mwa 9:25, 26; 1Fal 5:13, 14; 2Nya 2:17, 18Wazao wa watumishi wa Solomoni:

wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,

58wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,

59wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Amoni.

607:60 1Nya 9:2Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392

617:61 Ezr 2:59Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:

62wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 642

637:63 2Sam 17:27; 19:31-34; 1Fal 2:7; Ezr 2:61Na kutoka miongoni mwa makuhani:

wazao wa Hobaya, Hakosi na Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).

64Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani, kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi. 657:65 Kut 28:30; Neh 8:9; Hes 7:89; 27:18-21Kwa hiyo, mtawala7:65 Au Tirshatha: jina la heshima aliloitwa mtawala wa Yuda chini ya Ufalme wa Uajemi (pia 7:70). aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.7:65 Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha juu cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.

66Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360; 67tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 245. 68Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245 69ngamia 435 na punda 6,720.

707:70 Neh 8:9; 10:1Baadhi ya viongozi wa jamaa walichangia kazi ya ujenzi. Mtawala alikabidhi kwenye hazina darkoni 1,0007:70 Darkoni 1,000 za dhahabu ni sawa na uzito wa kilo 8.6. za dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 kwa ajili ya makuhani. 717:71 1Nya 29:7; Ezr 2:69Baadhi ya viongozi wa jamaa walikabidhi kwenye hazina darkoni 20,000 za dhahabu,7:71 Darkoni 20,000 za dhahabu ni sawa na kilo 172. na mane 2,2007:71 Mane 2,200 za fedha ni sawa na kilo 1,300. za fedha kwa ajili ya kazi hiyo.

727:72 Ay 34:10; Kut 25:2Jumla ya matoleo ya watu wengine yalikuwa ni darkoni 20,000 za dhahabu, mane 2,000 za fedha, na mavazi sitini na saba ya makuhani.

737:73 Za 34:20; Neh 11:20; Kut 23:14-17; Law 23:24-44; Ezr 3:1Makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji na watumishi wa Hekalu, pamoja na baadhi ya watu wengine na Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao wenyewe.

Ezra Asoma Sheria

Ilipotimia miezi saba, nao Waisraeli wakiwa tayari wanaishi katika miji yao,

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

尼希米记 7:1-73

1城墙建完、门扇安好、歌乐手和利未人都已指派妥当后, 2我委任我的兄弟哈拿尼和城堡官员哈拿尼雅治理耶路撒冷,因为哈拿尼雅比众人更忠心、敬畏上帝。 3我吩咐他们说:“要在太阳升高、天气变热后,才能打开耶路撒冷的城门。守卫还在值勤时要关门上闩。要指派一些耶路撒冷的居民在各自的岗位看守,一些人在自己房屋附近看守。”

流亡归来者名单

4这城很大,但人口稀少,房屋尚未重建。 5我的上帝感动我召集贵族、官员和民众,按照他们的家谱进行登记。我找到第一批回归之人的家谱,上面记着:

6巴比伦尼布甲尼撒从前把犹大省的人掳到巴比伦,这些人的子孙回到耶路撒冷犹大后,各回本城。 7他们是与所罗巴伯耶书亚尼希米亚撒利雅拉米拿哈玛尼末底改必珊米斯毗列比革瓦伊尼宏巴拿一同回来的。

8以下是回来的以色列人的数目:

巴录的子孙两千一百七十二人; 9示法提雅的子孙三百七十二人; 10亚拉的子孙六百五十二人; 11巴哈·摩押的后裔,即耶书亚约押的子孙两千八百一十八人; 12以拦的子孙一千二百五十四人; 13萨土的子孙八百四十五人; 14萨改的子孙七百六十人; 15宾内的子孙六百四十八人; 16比拜的子孙六百二十八人; 17押甲的子孙两千三百二十二人; 18亚多尼干的子孙六百六十七人; 19比革瓦伊的子孙两千零六十七人; 20亚丁的子孙六百五十五人; 21亚特的子孙,即希西迦的子孙九十八人; 22哈顺的子孙三百二十八人; 23比赛的子孙三百二十四人; 24哈拉的子孙一百一十二人; 25基遍的子孙九十五人。

26伯利恒人和尼陀法人一百八十八名; 27亚拿突人一百二十八名; 28伯·亚斯玛弗人四十二名; 29基列·耶琳人、基非拉人和比录人七百四十三名; 30拉玛人和迦巴人六百二十一名; 31默玛人一百二十二名; 32伯特利人和人一百二十三名; 33另一尼波的子孙五十二人; 34另一以拦的子孙一千二百五十四人; 35哈琳的子孙三百二十人; 36耶利哥人三百四十五名; 37罗德人、哈第人和阿挪人七百二十一名; 38西拿人三千九百三十名。

39祭司有耶大雅家,即耶书亚的子孙九百七十三人; 40音麦的子孙一千零五十二人; 41巴施户珥的子孙一千二百四十七人; 42哈琳的子孙一千零一十七人。

43利未人有何达威的后裔,即耶书亚甲篾的子孙七十四人。 44负责歌乐的有亚萨的子孙一百四十八人。 45殿门守卫有沙龙的子孙、亚特的子孙、达们的子孙、亚谷的子孙、哈底大的子孙和朔拜的子孙一百三十八人。

46殿役有西哈的子孙、哈苏巴的子孙、答巴俄的子孙、 47基绿的子孙、西亚的子孙、巴顿的子孙、 48利巴拿的子孙、哈迦巴的子孙、萨买的子孙、 49哈难的子孙、吉德的子孙、迦哈的子孙、 50利亚雅的子孙、利汛的子孙、尼哥大的子孙、 51迦散的子孙、乌撒的子孙、巴西亚的子孙、 52比赛的子孙、米乌宁的子孙、尼普心的子孙、 53巴卜的子孙、哈古巴的子孙、哈忽的子孙、 54巴洗律的子孙、米希大的子孙、哈沙的子孙、 55巴柯的子孙、西西拉的子孙、答玛的子孙、 56尼细亚的子孙和哈提法的子孙。

57所罗门仆人的后裔有琐太的子孙、琐斐列的子孙、比路大的子孙、 58雅拉的子孙、达昆的子孙、吉德的子孙、 59示法提雅的子孙、哈替的子孙、玻黑列·哈斯巴音的子孙和亚们的子孙。

60殿役和所罗门仆人的子孙共三百九十二人。

61特·米拉特·哈萨基绿押但音麦上来的人不能证明自己是以色列的后代。 62他们是第来雅的子孙、多比雅的子孙和尼哥大的子孙,共六百四十二人。

63-64祭司中哈巴雅的子孙、哈哥斯的子孙和巴西莱的子孙在谱系中找不到自己的家谱,因此他们算为不洁净,不能做祭司。巴西莱子孙的祖先娶了基列巴西莱的女儿为妻,因此得了这名字。 65省长吩咐他们不可吃至圣之物,直到使用乌陵和土明的祭司出现。

66回到犹大的人共四万二千三百六十人。 67此外,他们还有七千三百三十七名男女仆婢,二百四十五名男女歌乐手, 68七百三十六匹马,二百四十五匹骡子, 69四百三十五头骆驼和六千七百二十头驴。

70有些族长为工程捐出财物。省长捐出八点五公斤金子、五十个碗和五百三十件祭司礼服。 71族长捐出一百七十公斤金子和一千二百公斤银子。 72民众捐出一百七十公斤金子、一千一百公斤银子和六十七件祭司礼服。

73于是,祭司、利未人、殿门守卫、歌乐手、一些民众、殿役和全体以色列人都住在自己的城里。到了七月,以色列人都住在各自的城里。