Mwanzo 49 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version

Mwanzo 49:1-33

Yakobo Abariki Wanawe

149:1 Hes 24:14; Kum 31:29Ndipo Yakobo akawaita wanawe na kusema: “Kusanyikeni kunizunguka ili niweze kuwaambia lile litakalowatokea siku zijazo.

249:2 Yos 24:1; Za 34:11“Kusanyikeni na msikilize, enyi wana wa Yakobo,

msikilizeni baba yenu Israeli.

349:3 Mwa 29:32; Kum 21:17; Za 78:51“Reubeni, wewe ni mzaliwa wangu wa kwanza,

nguvu zangu, tunda la kwanza la nguvu zangu,

umepita kwa heshima, umepita kwa uwezo.

4Usiyezuiwa kama maji, basi hutakuwa mkuu tena,

kwa kuwa ulipanda kwenye kitanda cha baba yako,

kwenye kitanda changu na kukinajisi.

549:5 Mwa 29:33; Mit 4:17“Simeoni na Lawi ni wana ndugu:

panga zao ni silaha za jeuri.

649:6 Mit 1:15; Efe 5:11Mimi na nisiingie katika baraza lao,

nami nisiunganike katika kusanyiko lao,

kwa kuwa wamewaua watu katika hasira yao,

walikata mishipa ya miguu ya mafahali

kama walivyopenda.

749:7 Yos 19:1, 9; Mwa 29:35Hasira yao na ilaaniwe, kwa kuwa ni kali mno,

nayo ghadhabu yao ni ya ukatili!

Nitawatawanya katika Yakobo

Na kuwasambaza katika Israeli.

849:8 1Nya 5:2; Kum 28:48“Yuda, ndugu zako watakusifu;

mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako;

wana wa baba yako watakusujudia.

949:9 Hes 24:9; Ay 38:39Ee Yuda, wewe ni mwana simba;

unarudi toka mawindoni, mwanangu.

Kama simba hunyemelea na kulala chini,

kama simba jike: nani athubutuye kumwamsha?

1049:10 Eze 21:27; Isa 42:1Fimbo ya ufalme haitaondoka kwa Yuda,

wala fimbo ya mtawala kati ya miguu yake,

hadi aje yeye ambaye milki ni yake,

ambaye utii wa mataifa ni wake.

11Atamfunga punda wake katika mzabibu,

naye mwana-punda wake kwenye tawi lililo bora zaidi;

atafua mavazi yake katika divai,

majoho yake katika damu ya mizabibu.

12Macho yake yatakuwa mekundu kwa divai,

meno yake yatakuwa meupe kwa maziwa.

1349:13 Mwa 30:20; 10:19“Zabuloni ataishi pwani ya bahari

na kuwa bandari za kuegesha meli;

mpaka wake utapanuka kuelekea Sidoni.

14“Isakari ni punda mwenye nguvu

ambaye amelala kati ya mizigo yake.

1549:15 Yos 19:17-23; Eze 29:18Aonapo palivyo pazuri mahali pake pa kupumzika

na jinsi nchi yake inavyopendeza,

atainamisha bega lake kwenye mzigo

na kujitolea kwa ajili ya kazi ngumu.

16“Dani atahukumu watu wake kwa haki

kama mmoja wa makabila ya Israeli.

1749:17 Amu 18:27; Yer 8:17Dani atakuwa nyoka kando ya barabara,

nyoka mwenye sumu kando ya njia,

yule aumaye visigino vya farasi

ili yule ampandaye aanguke chali.

18“Ee Bwana, nautafuta wokovu wako.

19“Gadi atashambuliwa ghafula na kundi la washambuliaji,

lakini yeye atawageukia na kuwashinda kabisa.

2049:20 Mwa 30:13; Isa 25:6; Ay 29:6“Chakula cha Asheri kitakuwa kinono,

naye atatoa chakula kitamu kimfaacho mfalme.

21“Naftali ni kulungu jike aliyeachiwa huru

azaaye watoto wazuri.

2249:22 Mwa 30:24; Eze 19:10“Yosefu ni mzabibu uzaao,

mzabibu uzaao ulio kando ya chemchemi,

ambao matawi yake hutanda ukutani.

23Kwa uchungu wapiga mshale walimshambulia,

wakampiga mshale kwa ukatili.

2449:24 Za 18:34; Isa 1:24Lakini upinde wake ulibaki imara,

mikono yake ikatiwa nguvu,

na mkono wa Mwenye Nguvu wa Yakobo,

kwa sababu ya Mchungaji, Mwamba wa Israeli,

2549:25 Kut 18:4; Mwa 27:28kwa sababu ya Mungu wa baba yako, anayekusaidia,

kwa sababu ya Mwenyezi,49:25 Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania. yeye anayekubariki

kwa baraka za mbinguni juu,

baraka za kilindi kilichoko chini,

baraka za matitini na za tumbo la uzazi.

26Baraka za baba yako ni kubwa

kuliko baraka za milima ya kale,

nyingi kuliko vilima vya kale.

Baraka hizo zote na zikae juu ya kichwa cha Yosefu,

juu ya paji la yule mkuu miongoni mwa ndugu zake.

2749:27 Amu 20:12-13; Ebr 1:8; Hes 31:11“Benyamini ni mbwa mwitu mlafi mwenye njaa kuu;

asubuhi hurarua mawindo yake,

jioni hugawa nyara.”

28Haya yote ndiyo makabila kumi na mawili ya Israeli, na hivi ndivyo baba yao alivyowaambia alipowabariki, akimpa kila mmoja baraka inayomfaa.

Kifo Cha Yakobo

2949:29 Mwa 25:8; 2Sam 2:32Ndipo alipowapa maelekezo haya: “Mimi niko karibu kukusanywa kwa watu wangu. Mnizike pamoja na baba zangu kwenye pango katika shamba la Efroni, Mhiti, 30pango lililoko katika shamba la Makpela, karibu na Mamre huko Kanaani, ambalo Abrahamu alinunua kwa ajili ya mahali pa kuzikia kutoka kwa Efroni, Mhiti, pamoja na shamba. 3149:31 Mwa 25:9; 23:19Huko ndiko Abrahamu na Sara mkewe walikozikwa, huko akazikwa Isaki na Rebeka mkewe, na huko nilimzika Lea. 32Shamba hilo na pango lililoko ndani yake lilinunuliwa kutoka kwa Wahiti.”

3349:33 Mwa 25:8; Mdo 7:15Baada ya Yakobo kumaliza kutoa maelekezo hayo kwa wanawe, akarudisha miguu yake kitandani, akapumua pumzi ya mwisho, na akakusanywa kwa watu wake.

La Bible du Semeur (The Bible of the Sower)

Genèse 49:1-33

Jacob bénit les douze tribus d’Israël

1Jacob convoqua ses fils et leur dit :

Réunissez-vous et je vous révélerai ce qui vous arrivera dans les temps à venir.

2Rassemblez-vous et écoutez, ╵fils de Jacob !

Ecoutez ce que dit ╵Israël, votre père.

3Ruben, tu es mon premier-né,

le premier fruit de ma vigueur, ╵du temps où j’étais plein de force,

toi, tu es supérieur ╵en dignité ╵et supérieur en force.

4Bouillonnant comme l’eau, ╵tu n’auras pas le premier rang !

Car tu as profané ╵la couche de ton père, ╵en entrant dans mon lit49.4 Voir Gn 35.22..

5Siméon et Lévi sont frères,

ils se sont mis d’accord ╵pour semer la violence.

6Non, je ne veux pas m’associer ╵à leur complot !

Je mets un point d’honneur ╵à ne pas approuver ╵leurs délibérations !

Car mus par leur colère, ╵ils ont tué des hommes ;

poussés par leur caprice, ╵ils ont mutilé des taureaux49.6 Voir Gn 34.25..

7Que leur colère soit maudite, ╵car elle est violente.

Maudit soit leur emportement, ╵car il est implacable !

Moi je les éparpillerai ╵au milieu de Jacob,

je les disperserai ╵en Israël.

8O toi, Juda, ╵tes frères te rendront hommage,

ta main fera ployer ╵la nuque de tes ennemis,

et les fils de ton père ╵se prosterneront devant toi.

9Oui, Juda est un jeune lion49.9 Voir Nb 24.9 ; Ap 5.5..

Mon fils, tu reviens de la chasse

et tu t’es accroupi ╵et couché comme un lion,

comme une lionne : ╵qui te ferait lever ?

10Le sceptre ne s’écartera ╵pas de Juda,

et l’insigne de chef ╵ne sera pas ôté ╵d’entre ses pieds

jusqu’à la venue de celui ╵auquel ils appartiennent49.10 Nom diversement traduit : le Pacifique, le Dominateur, l’Envoyé. celui… appartiennent: rend un mot hébreu dont l’interprétation est discutée. Ez 21.32 semble confirmer la lecture adoptée ici. Cette prophétie est généralement rapportée au Messie qui devait naître de la tribu de Juda.

et à qui tous les peuples ╵rendront obéissance.

11Son âne, il l’attache à la vigne,

et, à un cep de choix, ╵le petit de l’ânesse.

Il lave dans le vin ╵son vêtement,

dans le jus des raisins ╵il nettoie son manteau49.11 Image soulignant l’abondance (voir Ap 7.14 ; 19.13)..

12Il a les yeux plus rouges que le vin,

les dents plus blanches que le lait49.12 Autre traduction : Ses yeux ont été rendus sombres par le vin, et ses dents blanches par le lait..

13Zabulon aura sa demeure ╵sur le rivage de la mer,

il aura sur sa côte ╵un port pour les navires,

son territoire s’étendra ╵jusqu’à Sidon.

14Issacar est un âne ╵très vigoureux

couché au beau milieu ╵de deux enclos.

15Il a trouvé ╵que le repos est bon,

que le pays est agréable,

il tend l’épaule ╵pour porter le fardeau,

et il s’assujettit ╵à la corvée.

16Dan jugera son peuple,

comme les autres tribus d’Israël.

17Que Dan soit un serpent ╵sur le chemin,

qu’il soit une vipère ╵sur le sentier,

mordant les jarrets du cheval,

pour que le cavalier ╵en tombe à la renverse.

18Je compte sur toi, Eternel ╵pour accorder la délivrance.

19Gad agressé par une troupe ╵l’assaillira

et c’est sa troupe à lui ╵qui poursuivra la troupe adverse.

20Aser a une riche nourriture.

C’est lui qui fournira ╵des mets dignes d’un roi.

21Nephtali est semblable ╵à une biche en liberté ╵qui donne de beaux faons.

22Joseph est un rameau fertile

d’un arbre plein de fruits ╵planté près d’une source.

Ses branches grimpent et s’élancent ╵par-dessus la muraille.

23Des archers le provoquent, ╵le prennent à partie,

et le harcèlent de leurs flèches.

24Mais son arc reste ferme

car ses bras pleins de force ╵conservent leur souplesse

grâce au secours ╵du Puissant de Jacob,

qui est le berger et le Roc ╵sur lequel Israël se fonde.

25Oui, le Dieu de ton père ╵viendra à ton secours,

le Tout-Puissant te bénira.

Qu’il veuille te bénir d’en haut ╵par des pluies abondantes

et par des eaux d’en bas ╵où repose l’abîme,

par de nombreux enfants ╵et beaucoup de troupeaux.

26Les bénédictions de ton père surpassent

celles des montagnes antiques

et les meilleurs produits ╵des collines anciennes.

Que ces bénédictions ╵soient sur la tête de Joseph,

et sur le front ╵du prince de ses frères49.26 Voir Dt 33.15. !

27Benjamin est semblable ╵à un loup qui déchire.

Dès le matin, ╵il dévore sa proie,

et sur le soir encore, ╵répartit le butin.

28Tous ceux-là ont formé les douze tribus d’Israël, c’est ainsi que leur parla leur père et qu’il les bénit, en prononçant pour chacun sa bénédiction propre.

La mort de Jacob

29Jacob leur donna ses instructions : Je vais aller rejoindre mes ancêtres, enterrez-moi auprès de mes pères dans la caverne qui se trouve dans le champ d’Ephrôn le Hittite, 30dans la caverne du champ de Makpéla, vis-à-vis de Mamré, au pays de Canaan, la caverne qu’Abraham a achetée, avec le champ, à Ephrôn le Hittite en propriété funéraire49.30 Voir Gn 23.3-18.. 31C’est là qu’on a enterré Abraham et sa femme Sara ; c’est là qu’on a enterré Isaac et sa femme Rébecca. C’est là aussi que j’ai enterré Léa. 32Le champ et la caverne qui s’y trouve ont été achetés aux Hittites.

33Lorsque Jacob eut achevé d’énoncer ses instructions à ses fils, il ramena ses pieds sur son lit, expira et fut réuni à ses ancêtres49.33 Voir Ac 7.15..