Wazao Wa Esau
(1 Nyakati 1:34-42)
136:1 Mwa 2:4; 25:30Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).
236:2 Mwa 26:34; 28:8-9Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi, 3pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.
436:4 1Nya 1:35Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli, 536:5 1Nya 1:35Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
636:6 Mwa 12:5; 1Nya 1:35Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake. 736:7 Mwa 13:6; 27:39Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao. 836:8 Kum 2:4Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
936:9 Mwa 2:4Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.
1036:10 Mwa 36:3Haya ndiyo majina ya wana wa Esau:
Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.
1136:11 1Nya 1:45Wana wa Elifazi ni:
Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.
1236:12 Kut 17:8, 16; 1Sam 15:2Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.
1336:13 Mwa 36:3Wana wa Reueli ni:
Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.
1436:14 Mwa 36:2Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni:
Yeushi, Yalamu na Kora.
1536:15 Mwa 36:19-40; Kut 15:15Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau:
Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni:
Temani, Omari, Sefo, Kenazi, 1636:16 Mwa 32:3Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.
1736:17 1Nya 1:37Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni:
Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.
1836:18 Mwa 36:2Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni:
Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.
1936:19 1Nya 1:35Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
2036:20 Mwa 14:6Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile:
Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, 2136:21 Mwa 36:30Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
22Wana wa Lotani walikuwa:
Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.
23Wana wa Shobali walikuwa:
Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
2436:24 Mwa 36:2Wana wa Sibeoni walikuwa:
Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.
2536:25 Mwa 36:2Watoto wa Ana walikuwa:
Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
26Wana wa Dishoni walikuwa:
Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
27Wana wa Eseri walikuwa:
Bilhani, Zaavani na Akani.
28Wana wa Dishani walikuwa:
Usi na Arani.
2936:29 Mwa 36:20Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori:
Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, 3036:30 Mwa 36:21Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
Watawala Wa Edomu
(1 Nyakati 1:43-54)
3136:31 Mwa 17:6Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:
32Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.
3336:33 Isa 34:6Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
3436:34 Yer 49:7Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
3536:35 Rut 1:1, 6; Mwa 19:37Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
36Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
3736:37 Mwa 26:22Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.
38Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
39Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
4036:40 Mwa 36:15Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao:
Timna, Alva, Yethethi, 41Oholibama, Ela, Pinoni, 42Kenazi, Temani, Mibsari, 4336:43 Mwa 36:9Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki.
Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.
Berättelsen över Esaus släkt
(1 Krön 1:35-42)
1Här följer berättelsen över Esaus släkt, han som också kallas Edom:
2Esau gifte sig med flickor från Kanaan: Ada, dotter till hettiten Elon, Oholivama, dotter till Ana och sondotter till hivén Sivon, 3och Basemat, dotter till Ismael och syster till Nevajot.
4Med Ada fick Esau sonen Elifas. Med Basemat fick han Reguel.
5Med Oholivama fick han sönerna Jeush, Jalam och Korach. Dessa föddes åt Esau i Kanaans land.
6Esau tog sina hustrur, barn, hela sitt husfolk, sin boskap och sina dragdjur, all rikedom som han hade fått i Kanaans land, och flyttade till ett annat land, bort från sin bror Jakob. 7Det fanns inte rum för dem båda på grund av all den egendom de hade. Landet där de bodde räckte inte till för dem nu när de hade så mycket djur. 8Så bosatte sig Esau i Seirs bergsbygd, dvs. Edom.
9Här följer en släkttavla för Esau, stamfar till edoméerna i bergslandet Seir:
10Esaus söner hette:
Elifas, som var född av Esaus hustru Ada, och Reguel, född av Esaus hustru Basemat.
11Elifas söner var
Teman, Omar, Sefo, Gatam och Kenas.
12Med sin bihustru Timna fick Elifas, Esaus son, dessutom Amalek. Dessa var ättlingar till Esaus hustru Ada.
13Reguels söner var:
Nachat, Serach, Shamma och Missa. De var ättlingar till Esaus hustru Basemat.
14Med sin hustru, Oholivama, dotter till Ana och sondotter till Sivon, fick han sönerna Jeush, Jalam och Korach.
15Från Esau kom följande stamhövdingar:
Esaus förstfödde Elifas söner var hövdingarna Teman, Omar, Sefo, Kenas, 16Korach, Gatam och Amalek, som var Elifas stamhövdingar i Edom, alltså Adas ättlingar.
17Esaus son Reguels ättlingar var Nachat, Serach, Shamma och Missa, som alltså var stamhövdingar i Edom, Esaus hustru Basemats ättlingar.
18Esaus hustru Oholivamas ättlingar var stamhövdingarna Jeush, Jalam och Korach. De var alltså stamhövdingar som härstammade från Esaus hustru Oholivama, dotter till Ana.
19Dessa var Esaus söner och stamhövdingar som härstammade från dem. Esau är lika med Edom.
20Horéen Seirs söner, urinvånarna i landet, var följande: Lotan, Shoval, Sivon, Ana, 21Dishon, Eser och Dishan. Dessa var alltså Seirs söners, horéernas, stamhövdingar i Edom.
22Lotans söner var Hori och Hemam. Timna var syster till Lotan.
23Shovals söner var Alvan, Manachat, Eval, Shefo och Onam.
24Sivons söner var Aja och Ana. Detta var den Ana som upptäckte de heta källorna i ökenlandet medan han gick och vaktade sin fars åsnor.
25Anas barn var Dishon och Oholivama.
26Dishons söner var Hemdan, Eshban, Jitran och Keran.
27Esers söner var Bilhan, Saavan och Akan.
28Dishans söner var Us och Aran.
29Horéernas stamhövdingar var Lotan, Shoval, Sivon, Ana, 30Dishon, Eser och Dishan. Dessa var alltså horéernas stamhövdingar i Seirs land, efter sina områden.
Edoms kungar
(1 Krön 1:43-54)
31Detta är de kungar som härskade i Edom innan Israel hade någon kung:
32Bela, Beors son, blev kung i Edom, och namnet på hans stad var Dinhava.
33När Bela dog blev Jovav, Serachs son, från Bosra, kung efter honom.
34När Jovav dog blev Husham från temanéernas land kung efter honom.
35När Husham dog blev Bedads son Hadad kung. Han besegrade midjaniterna i Moab, och han regerade från Avit.
36När Hadad dog besteg Samla från Masreka tronen.
37När sedan Samla dog blev Saul från Rechovot vid floden kung efter honom.
38När Saul dog blev Akbors son Baal Hanan kung.
39När Baal Hanan dog blev Hadar kung efter honom. Han regerade från Pagu. Hans hustru hette Mehetavel och var dotter till Matred, som var dotter till Me Sahav.
40Detta är alltså namnen på Esaus stamhövdingar, namn för namn efter sina släkten och boplatser:
furstarna Timna, Alva, Jetet, 41Oholivama, Ela, Pinon, 42Kenas, Teman, Mivsar, 43Magdiel och Iram. Dessa var Edoms stamfurstar efter deras boplatser i det land de tagit i besittning, och detta var Esau, Edoms stamfar.